M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Xtrail Big No bora hata ISUZU BIGHORN ya diesel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kluger na rough road ni kujitafutia tu shida, si gari rough roadKluger ndo mnyama wa rough road kwa tunaoanza maisha na mikopo ya CRDB
unamaanisha niniNissan ni ndoa ya kikristo
Huyo FUNDI Biafra anaitwa naniiNimekuPM mkuu
hakuna cha spea mkataba kwa hali ilivyo sasa lazima upigwe tu k'kibuyu!Wachina wanafyatua spea huo mkataba wako utauweka kwapani tu.
Hahaaaaaaaaa umetisha mkuu.Tuma japo pichaKuna kaka yangu ana xtrail kafunga injini ya Rav4 mwendo mdundo ila body ni plastic anafunga na waya/nyaya.