MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

ambae spoket zinamsumbua kila sku ni bodaboda huyo boxer nnayo tangu 2015 kwa matumizi binafsi tu cjui mambo ya spoket wala suspension ni kubadili oil na tairi. yan kama ningekua na service history laki 4 haifiki miaka yote 5.. na inatembea kilometa almost 40 daily
 
Ulishanunua?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo town na umesema utakuwa unapiga na boda boda sometime, chukua boxer bm 150, hizi za MO Gia tano Zina bei Sana unaweza chukua toleo la nyuma kama Ile bm 150 "mdomo wa mamba" kasoro yake ni spare zake ni ghali kidogo tofauti na mchina ila ukiitunza vizuri ni pikipiki nzuri
Nipo tu town Moro, barabara ziko safi tu labda kidogo za mtaa kiasi ndo haziko vzr kivile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua pikipiki za mchina zina himili rough road achana na za wahindi utajuta, Mi naiminia Sana salng 150 roho ya paka,ukikosa hiyo chukua fekon, kinglion au t better zote 150 . Hizo pikipiki za kazi wanaoishi bush wanaelewa kazi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, nimekuelewa. Nashkuru kwa ushauri wako. Ntaufanyia kazi. Ntakuja na feedback mambo yakienda vema mkuu.
 
Sawa mkuu, nimekuelewa. Nashkuru kwa ushauri wako. Ntaufanyia kazi. Ntakuja na feedback mambo yakienda vema mkuu.
tatizo la boxer ni luxury lkn hutakiwa kukaa nayo muda mrefu itazingua ikianza kuwajua mafundi tofauti na mchina
boxer za mwanzo zilikuwa kiboko sio za saiv
mkuu me nakushar ulizia mabodaboda watakwambia pikipiki mzuri ni haojue 125-8 old model na sio mayai
 
Inatakiwa ukae nayo muda gani? Alafu ubaya wa boda boda ukiwauliza ni kwamva kila mmoja anasifia yake..wa TVS ataisifia yake hivo hivo wa Boxer, sanlg, honda n.k
 

Mkuu upo?? ukuje hapa nikuulize kitu kuhusu houjue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…