MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

Mkuuu, shukran sana kwa maelezo yako.
 
Naungana na wewe kwenye uchaguzi huu. Lakini angalizo kwa uzoefu anunue X150 ile ya 4 Speed, Hii ya 5 speed ataumia sana endapo atachoma clutch, sema inakimbia kweli kweli

Mkuu natanguliza shukrani.

Mkuu hii BM X150, 4 gears nimejaribu kuiulizia juu juu wakasema hazipatikani siku hizi. Je kuna dear gan ambae anazo ?
 
Oil kuna za 1500km (ambazo wataalam wanashauri badili at 1000km tumia total).

Lami inachanja mbuga haswa, mshindani wake kwa mbali labda Power King (mchina) iliyofungwa sproket kubwa mbele.

Mzigo inabeba
Mkuu samahani, naomba unijuze.
Nimejaribu kupitia sites kadhaa wanaisifiaa kwa performance yake wakisema inabeba na heavy load na ni nzuri kwa on-off roads, je ni kweli au ni lugha ya biashara? Kwa uzoefu wa waliowahi kuitumia hili imekaaje.
 

Attachments

  • Screenshot_20200608-084001.png
    147.9 KB · Views: 41
Mkuu,

Utamu wa ngoma uingie ucheze. Hizi pikipiki X150 ni nzuri kwa kweli. Zina nguvu, zina speed na zinavumilia mzigo. Tatizo ni matunzo, ukizembea Oil Change, ikawa inashikwa shikwa na kila mtu lazima utaichukia.

Angalizo: Boxer kwenye tope inateleza sana
 
Shukran mkuu. Kwa kweli hii BM X150 nimeipenda sana. Kipindi cha nyuma nilvutia na haojue DH125 na kuzitilia shaka boxer ila kwa maelezo yenu wadau na fuatilia yangu hapa na pale kweli boxer hii nimeikubali.

Ngoja njipange niingie mjini nchkue chombo. Sema gear 4 kama walisema hilo toleo siku hizi et haliji.
 
Kuna mtu alishwahi kutumia hii Boxer X150 anipe uzoefu?

Ubora na Changamoto zake ni zipi?
 
Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.

Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7.houjo
Fekon mkuu ndio mpango mzima...yani zimekuja kupoteza soko la san lg.

Wanakwambia zinakubali service,ukitia loba la machungwa piki piki inaamka huku unatafuna muwa bila shida.
 
Siku ukitaka kununua gari nadhani hapatakalika
hahah ahapana kabisa kule sina complications kabisa sitaki longo longo pia sina interest sana na style za magari na ikifika I go for a simple one ku move hapa kwenda pale.....hizo mambo nimekua naziona na sijawahi kuw ana interest.....mkwanja wa kununu sina pia..hata ukiwepo easy go
 
Mkuu nakuhakikishia siku utakayomiliki boxer hutotamani tena kuendesha pikipiki za mchina, believe me!
 
Nina Dt nabadili block, jamaa wa veta anasema wanachonga block vizuri, ushauri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…