MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

Wazee natamani piki piki ya shamba off road iwe inaimili mizigo kama mbolea ,mbegu lakin isiwe mchina wala muhind. kabisa wala isizidi M3.5 nasisitiza siyo ya bata,isiwe mchina wala muhindi ,isiwe gali
Dah! Bila shaka umeshanunua,ningekushauri chukua HONLG au haujoe ila HONLG ndio mpango mzima.
 
Wazee natamani piki piki ya shamba off road iwe inaimili mizigo kama mbolea ,mbegu lakin isiwe mchina wala muhind. kabisa wala isizidi M3.5 nasisitiza siyo ya bata,isiwe mchina wala muhindi ,isiwe gali
hapo unabakiza Mjapani...na kwa specs zako huwez pata mjapani kwa hiyo bei
 
View attachment 1474069
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF
Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.

Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7. Houjo
---

---

---



View attachment 1474084

BAADHI YA MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU WA JF

---

---

---

---

---

---
. Mkuu. Naomba unipe sifa za Honda cg 125 gia 4, zinazotumia kick
 
okay, basi utafute iliyotumika chini ya mwaka na haijafunguliwa engene. NB; uende na fundi unayemwamini akuhakikishie ubora wake
Utafahamje kuwa haijafikisha mwaka mtaani, maana siku hizi meter zinasogezwa nyuma
 
Mkuu Umetaja Piki piki Nyingi tuu kama Boxer,Fekon,Sanlg,TVS,nk

Ila Mwisho wa yote Kuna Pikipiki moja inaitwa HOAUJUE...au Kiswahili wanasena "Haujue" Hii Pikipiki ni noma Asikwambie Mtuu,Uliza waendesha Pikipiki watakuambia.

Ni Imara,inapiga Mzigo na Nzito. Ikitulia Barabarani Hakuna na Boxer, TVS,au wala sijui nini atafuata hii. Niliwahi Siku moja Kupakia Mzigo wangu,gunia 2 za Nazi kwenye "Hoaujue" nami nikapanda Boxer, Tumeanza tuu Boxer akatupita akaenda mbali.

Baada ya kama Dk 7 hivi,lilitupita kama tunesimama, nikamwambia Dereva wa Boxer Aisee vipi ongeza mwendo Mkuu,akaniambia hiyo ni "Hoaujoue" taamka "Haujue" ni balaa siwezi fuata pale linapokuwa limechanganya!

Na ni BORA usipime! Yaani Imara!

Inavumilia kila hali!
Hii pikipiki sijawahi kuikubali hata kidogo
Kwenye mbio naipa kongole ila kwenye nguvu imeachwa mbali sana na pikipiki kama Kinglion sanlg, Skygo na Toyo.
 
Habari mwanajamvi

Kwa pikipiki ambayo yaweza kufaa kwa biasharaya boda boda na matumizi kama matembezi yako ambayo unaweza kuitumia bila stress yoyote ile Haojue x press 125 na TVS hlx 125 kwa sababu hazina fuel consuption kubwa

Kwa pikipiki yenye nguvu kwa mizigo jaribu sinoray 180.6, kinglion 150, na TOYO Power King 150.

Hizo pikipiki zote zina engine ngumu yenye life span kubwa. Asanten
 
Utafahamje kuwa haijafikisha mwaka mtaani, maana siku hizi meter zinasogezwa nyuma
Halafu labda magari, speedometer za pikipiki mbovu zinakufa tunanunua mpya (tunaozipenda) tunafunga zinaanza na sifuri!!!!.

Labda aangalie kadi kuhusu mwaka iloingizwa na ilotengenezwa, napo ni kama anaamini TRA wanafuatilia siriazi miaka ya pikipiki.
 
Hivi vyuma naweza pata kweli!
JamiiForums-1304816232.jpg
JamiiForums-838737573.jpg
 
Nataka nijichange ninunue sinoray 250 cc kwa ajili ya matumizi binafsi shida isionekane kama bodaboda msaada anaejua ulaji wake wa mafuta na uzuri wa pikipiki yenyewe
 

Attachments

  • Screenshot_20240209-124933_Facebook.jpg
    Screenshot_20240209-124933_Facebook.jpg
    163.2 KB · Views: 51
Back
Top Bottom