Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 407
- 178
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ya kutembelea chukua Ace125 individualWazoefu bilashaka wakina Boxer na TVs hapa sio level yao.
Nichukue ipi Kati ya Blue(Ace125 Tax) au Nyekundu (Ace125 Individual)
Kwa Kariakoo inaenda bei gani na ukoagiza inaenda bei gani ?Kama ya kutembelea chukua Ace125 individual
2,600,000/=Kwa Kariakoo inaenda bei gani na ukoagiza inaenda bei gani ?
Kwani zina utofauti katika ubora na uhimilivu?Kama ya kutembelea chukua Ace125 individual
Engine ni moja, tofauti ni show ya mbele na frame pamoja na kiti cha kukaliaKwani zina utofauti katika ubora na uhimilivu?
Nataka nijichange ninunue sinoray 250 cc kwa ajili ya matumizi binafsi shida isionekane kama bodaboda msaada anaejua ulaji wake wa mafuta na uzuri wa pikipiki yenyewe
Pikipiki ni pikipiki kikubwa matunzo kama unahitaji ya kwendea Bush shambani sanlg, sinoray,kinglion na haouj ila kama ofisini na kulia misele tvs na boxer zina show nzuri kwendea ata ukweniWakuu nataka niende dukani kuchukua pikipiki
Kati ya kinglion au sinoray ipi ni pikipiki nzuri kwa kubebea mizigo ya dukani tena barabara mbovu za porini pia kufika mashambani
Utaonekana bodaboda...Ukweni haojue hafai mkuu?
pkipiki ni HONDA tu.
Ninzuli kweli??Honda Ace
Bei ngapi hii Ina range kiongozi...Chuma iko futa kidogo mwendo mkubwa roho ya paka na chenji inabaki[emoji1436][emoji1436][emoji1436]View attachment 1264399
Boxer ndio no 1 halafu inafatia Tvs na hizo takataka zingine
(pengine) hana hata baiskeli 😁😁Boxer ndio no 1 halafu inafatia Tvs na hizo takataka zingine
Mmmh kilo 200!Pia brow inawezo mzuri kwenye mlipa ukiwa na kamzgo kama watu wawili wanene
Kubeba kg 200 na kupanda mlima