Mjadala: Je, ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta itapunguza bei ya mafuta kwa kiasi gani? "Jambo letu hatarini"

Mjadala: Je, ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta itapunguza bei ya mafuta kwa kiasi gani? "Jambo letu hatarini"

Ndugu zangu,

Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania.

Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta ulisababisha Serikali kukosa mapato zaidi ya bilioni 100 ikabidi Rais Samia abatilishe nafuu hio na kurudisha tozo hiyo.

Kwa hesabu za haraka haraka ni dhahiri ruzuku ya bilioni 100 huenda isiwe na unafuu wenye tija kwa lita ya mafuta ambayo kwa sasa yanauzwa angalau shilingi 3,200 kwa lita moja kwani wakati Makamba akitangaza nafuu hii itakayoanza tarehe 01.06.2022 pia amesema bei ya mafuta itaendelea kupaa.

Je,ruzuku hii ya bilioni 100 itaweza kumeza ongezeko la bei ya mafuta kiasi cha kuleta ahueni kwa mwananchi? Kimahesabu jibu ni hapana.

Bila Serikali kuwa kali na makini katika usimamizi wa "mnyororo" wa biashara ya mafuta ruzuku hii ni kazi bure.Mnyororo wa biashara ya mafuta unaanzia kwenye ununuzi wa mafuta kutoka ng'ambo hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho.Hili ndilo jukumu la msingi kwani ruzuku sio "sustainable".

Serikali ikumbuke kuwa Rais kaahidi wafanyakazi nyongeza ya mshahara sasa kupunguza matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) na kutumia kama ruzuku itasababisha kutokuwa na bajeti ya nyongeza ya mshahara.

Nawasilisha.
Hakuna fedha itakayotolewa hapo ni usanii tu. Watu wamepiga hesabu mafuta yameshuka kwa hiyo yatakayoagizwa yatakuwa na bei ya chini.
 
Serikali ifanye yafuatayo

Isitishe uendelezaji wa Makao Makuu

Ipunguze posho

Isiajiri

Safari zipunguzwe, ile misafari mirefu iwe mifupi

Miradi isiyo na manufaa ifutwe, maana haitarudisha pesa

Tufunge mikanda haswa
Elimu yangu ndogo inaniambia hatua ya kwanza serkali kupunguza mfumuko wa bei huwa ni kupunguza matumiz yake kwanza! Uliyoyataja naona yako mle mle.
Lakin kwavile hawa jamaa hawana dhamira ya dhat ndo kabsa waziri anatumia helicopiter kuzunguka ovyo ovyo.
Ziara za mama huenda zina tija lakin kwa kipind hiki apunguze.
Kuna watu wanakula posho kuliko wasaudia.
Siku hii nchi ikipata uhuru tuanze kuachana na migari mikubwa km v8. Tunaweka order za cc 2000 mwisho! Iwepo mifumo ya tren na madaraja yake.
Tuache kupoteza muda wa watu na uzalishaj kwa misafara utadhan enz za mwanakondoo anapita.
Tuaminishane kuwa sisi ni maskin lakin tuna akili za kutoka tulipo kwa kubana matumiz.
Yan unakuta mtu kwake mambo yakikaa vibaya ana akili za kuiambia familia ijibane. Lakin huyo huyo akiwa ofisin kwake dhid ya familia ya kitanzania anafuja kama mshamba. Ulafi wa manenge na mandawa
 
Ndugu zangu,

Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania.

Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta ulisababisha Serikali kukosa mapato zaidi ya bilioni 100 ikabidi Rais Samia abatilishe nafuu hio na kurudisha tozo hiyo.

Kwa hesabu za haraka haraka ni dhahiri ruzuku ya bilioni 100 huenda isiwe na unafuu wenye tija kwa lita ya mafuta ambayo kwa sasa yanauzwa angalau shilingi 3,200 kwa lita moja kwani wakati Makamba akitangaza nafuu hii itakayoanza tarehe 01.06.2022 pia amesema bei ya mafuta itaendelea kupaa.

Je,ruzuku hii ya bilioni 100 itaweza kumeza ongezeko la bei ya mafuta kiasi cha kuleta ahueni kwa mwananchi? Kimahesabu jibu ni hapana.

Bila Serikali kuwa kali na makini katika usimamizi wa "mnyororo" wa biashara ya mafuta ruzuku hii ni kazi bure.Mnyororo wa biashara ya mafuta unaanzia kwenye ununuzi wa mafuta kutoka ng'ambo hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho.Hili ndilo jukumu la msingi kwani ruzuku sio "sustainable".

Serikali ikumbuke kuwa Rais kaahidi wafanyakazi nyongeza ya mshahara sasa kupunguza matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) na kutumia kama ruzuku itasababisha kutokuwa na bajeti ya nyongeza ya mshahara.

Nawasilisha.
hapo kwenye supply chain ndipo lilipo tatizo inawezekana serikali inanunua mafuta kwa mtu wa 5 au 6, na kila mmoja ana profit margin kubwa
 
Ndugu zangu,

Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania.

Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta ulisababisha Serikali kukosa mapato zaidi ya bilioni 100 ikabidi Rais Samia abatilishe nafuu hio na kurudisha tozo hiyo.

Kwa hesabu za haraka haraka ni dhahiri ruzuku ya bilioni 100 huenda isiwe na unafuu wenye tija kwa lita ya mafuta ambayo kwa sasa yanauzwa angalau shilingi 3,200 kwa lita moja kwani wakati Makamba akitangaza nafuu hii itakayoanza tarehe 01.06.2022 pia amesema bei ya mafuta itaendelea kupaa.

Je,ruzuku hii ya bilioni 100 itaweza kumeza ongezeko la bei ya mafuta kiasi cha kuleta ahueni kwa mwananchi? Kimahesabu jibu ni hapana.

Bila Serikali kuwa kali na makini katika usimamizi wa "mnyororo" wa biashara ya mafuta ruzuku hii ni kazi bure.Mnyororo wa biashara ya mafuta unaanzia kwenye ununuzi wa mafuta kutoka ng'ambo hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho.Hili ndilo jukumu la msingi kwani ruzuku sio "sustainable".

Serikali ikumbuke kuwa Rais kaahidi wafanyakazi nyongeza ya mshahara sasa kupunguza matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) na kutumia kama ruzuku itasababisha kutokuwa na bajeti ya nyongeza ya mshahara.

Nawasilisha.

Lingekuwa jambo jema kama ingetafutwa 200b badala ya hiyo 100b sijaelewa kwanini serikali haioni kwanini bei ya mafuta Zanzibar ni tofati kabisa na bei ya mafuta Tanganyika, ni vema uthibiti wa bei ungeweka lengo tuwe na bei za kulingana na Zanzibar sababu Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Serikali ishinikizwe iongeze ruzuku kufikia 200b ili bei iweze kupungua angalau shilingi 500 na kuthibiti mianya yote kwenye supply chain ya mafuta maana kuna taarifa kwamba kuna mianya mingi ya kutengeneza pesa kwenye huu utaratibu wa bulky procurement
 
Serikali ifanye yafuatayo

Isitishe uendelezaji wa Makao Makuu

Ipunguze posho

Isiajiri

Safari zipunguzwe, ile misafari mirefu iwe mifupi

Miradi isiyo na manufaa ifutwe, maana haitarudisha pesa

Tufunge mikanda haswa

Wewe unaamini pesa Hakuna kwenye serikali mkuu mkuu?
Alafu isiajiri itakuwaje na vyuo vifungwe?
Makao makuu Kwani mkandarasi si kashamalizwa au bado Anadai?
Hakuna mradi usiyo na faida ukitoa atcl.... Hapo kwenye serikali kujibana nakusapoti wapunguziane posho na safari zisizo na ulazima....

Serikali isiwe kazi yake nikukusanya kodi tu zipo fursa nyingi zakutosegeza... tuna mapori kibao serikali inaweza kuwekeza kwenye kilimo na tukawa na chakula cha inchi lakini na cha biashara!!! Kilimo peke ake kinatosha kufanya tanzania iwe tajiri! Lakini tuna madini, gas, ardhi yakutosha, mifugo na bado ni masikini sisi!!! Ningeweza nineomba wanipe hii inchi mwaka mmoja tu na bandari ipo lakini ni masikini ajabu sana hii
 
Jibu ni inategemea na muda ambao serikali itaSubsidize..

Kumbuka: Subsidy iko fixed yaani Tsh 100 Billioni.

Quantity to be subsidized: Variable

Tanzania inatumia Mafuta jumla lita Million 400 kwa mwezi.

Hivyo basi, kama serikali itasubsidize kwa muda wa mwezi mmoja, bei itapungua kama ifuatavyo:

Punguzo, P1 = Tsh100 Billioni / 400 Million litres

P1 = Tsh 250 per litre for 1 month

Pia, kama serikali itasubsidize kwa muda wa mwaka mmoja, bei itapungua kama ifuatavyo:

Punguzo, P12 = Tsh100 Billioni / 4.8 Billion litres

P12 = Tsh 20.8 per litre for 1 year.

Hitimisho: kiwango cha bei ya mafuta itakayopungua kutokana subsidy iliyoweka serikali itategemea na distribution timeframe, kwa maana kwamba kama muda utakuwa ni kwa mwezi mmoja, bei itapungua Tsh 250 kwa kila lita ya mafuta..ila kama distribution itakuwa kwa mwaka mzima then bei ya mafuta itapungua kwa Tsh 20.8 kwa kila lita..
Kwa maelezo Yale ya Makamba hiyo ni ruzuku ya mwezi mmja kabla ya kupata pesa za mkopo na kabla ya kuanza kutumika kwa broader measures kama zitakavyokuwa outlined kwenye budget readout
 
Serikali ifanye yafuatayo

Isitishe uendelezaji wa Makao Makuu

Ipunguze posho

Isiajiri

Safari zipunguzwe, ile misafari mirefu iwe mifupi

Miradi isiyo na manufaa ifutwe, maana haitarudisha pesa

Tufunge mikanda haswa
Kwanini msifunge mkanda kwenye kununua mafuta 3200?
 
Ndugu zangu,

Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania.

Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta ulisababisha Serikali kukosa mapato zaidi ya bilioni 100 ikabidi Rais Samia abatilishe nafuu hio na kurudisha tozo hiyo.

Kwa hesabu za haraka haraka ni dhahiri ruzuku ya bilioni 100 huenda isiwe na unafuu wenye tija kwa lita ya mafuta ambayo kwa sasa yanauzwa angalau shilingi 3,200 kwa lita moja kwani wakati Makamba akitangaza nafuu hii itakayoanza tarehe 01.06.2022 pia amesema bei ya mafuta itaendelea kupaa.

Je,ruzuku hii ya bilioni 100 itaweza kumeza ongezeko la bei ya mafuta kiasi cha kuleta ahueni kwa mwananchi? Kimahesabu jibu ni hapana.

Bila Serikali kuwa kali na makini katika usimamizi wa "mnyororo" wa biashara ya mafuta ruzuku hii ni kazi bure.Mnyororo wa biashara ya mafuta unaanzia kwenye ununuzi wa mafuta kutoka ng'ambo hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho.Hili ndilo jukumu la msingi kwani ruzuku sio "sustainable".

Serikali ikumbuke kuwa Rais kaahidi wafanyakazi nyongeza ya mshahara sasa kupunguza matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) na kutumia kama ruzuku itasababisha kutokuwa na bajeti ya nyongeza ya mshahara.

Nawasilisha.
Kuongeza ruzuku ni kuongeza mfumuko wa bei, na hata hivyo haitoshi hata robo ya mahitaji. full stop.
 
Nyongeza itakuwepo tena kubwa maana bila nyongeza kazi hazitafanyika.

Mama siyo mnafiki. Mnaafiki huahidi na hatimizi ahadi.

Maamaaaaa saaaaaafiiiiiiiii!!!!
 
Ndugu zangu,

Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania.

Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta ulisababisha Serikali kukosa mapato zaidi ya bilioni 100 ikabidi Rais Samia abatilishe nafuu hio na kurudisha tozo hiyo.

Kwa hesabu za haraka haraka ni dhahiri ruzuku ya bilioni 100 huenda isiwe na unafuu wenye tija kwa lita ya mafuta ambayo kwa sasa yanauzwa angalau shilingi 3,200 kwa lita moja kwani wakati Makamba akitangaza nafuu hii itakayoanza tarehe 01.06.2022 pia amesema bei ya mafuta itaendelea kupaa.

Je,ruzuku hii ya bilioni 100 itaweza kumeza ongezeko la bei ya mafuta kiasi cha kuleta ahueni kwa mwananchi? Kimahesabu jibu ni hapana.

Bila Serikali kuwa kali na makini katika usimamizi wa "mnyororo" wa biashara ya mafuta ruzuku hii ni kazi bure.Mnyororo wa biashara ya mafuta unaanzia kwenye ununuzi wa mafuta kutoka ng'ambo hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho.Hili ndilo jukumu la msingi kwani ruzuku sio "sustainable".

Serikali ikumbuke kuwa Rais kaahidi wafanyakazi nyongeza ya mshahara sasa kupunguza matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) na kutumia kama ruzuku itasababisha kutokuwa na bajeti ya nyongeza ya mshahara.

Nawasilisha.
Nilijaribu kufanya makadilio yangu.
Tanzania tunatumia takribani lita 387,000,000 ya mafuta ya Petrol na Dizeli kwa mwezi. Kwa sababu haya ndio mafuta yanayotumika zaidi kuliko Mafuta ya Taa na ya Ndege basi tu assume kua hiyo Bilioni moja atawekwa kwenye petrol na Diesel. Na ikiwa hivyo basi tutegemee punguzo la kati ya Tsh 300 mpaka Tsh 600 kwa lita.
 
Ndugu zangu,

Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania.

Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta ulisababisha Serikali kukosa mapato zaidi ya bilioni 100 ikabidi Rais Samia abatilishe nafuu hio na kurudisha tozo hiyo.

Kwa hesabu za haraka haraka ni dhahiri ruzuku ya bilioni 100 huenda isiwe na unafuu wenye tija kwa lita ya mafuta ambayo kwa sasa yanauzwa angalau shilingi 3,200 kwa lita moja kwani wakati Makamba akitangaza nafuu hii itakayoanza tarehe 01.06.2022 pia amesema bei ya mafuta itaendelea kupaa.

Je,ruzuku hii ya bilioni 100 itaweza kumeza ongezeko la bei ya mafuta kiasi cha kuleta ahueni kwa mwananchi? Kimahesabu jibu ni hapana.

Bila Serikali kuwa kali na makini katika usimamizi wa "mnyororo" wa biashara ya mafuta ruzuku hii ni kazi bure.Mnyororo wa biashara ya mafuta unaanzia kwenye ununuzi wa mafuta kutoka ng'ambo hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho.Hili ndilo jukumu la msingi kwani ruzuku sio "sustainable".

Serikali ikumbuke kuwa Rais kaahidi wafanyakazi nyongeza ya mshahara sasa kupunguza matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) na kutumia kama ruzuku itasababisha kutokuwa na bajeti ya nyongeza ya mshahara.

Nawasilisha.
Upigaji tu
 
Back
Top Bottom