Jibu ni inategemea na muda ambao serikali itaSubsidize..
Kumbuka: Subsidy iko fixed yaani Tsh 100 Billioni.
Quantity to be subsidized: Variable
Tanzania inatumia Mafuta jumla lita Million 400 kwa mwezi.
Hivyo basi, kama serikali itasubsidize kwa muda wa mwezi mmoja, bei itapungua kama ifuatavyo:
Punguzo, P1 = Tsh100 Billioni / 400 Million litres
P1 = Tsh 250 per litre for 1 month
Pia, kama serikali itasubsidize kwa muda wa mwaka mmoja, bei itapungua kama ifuatavyo:
Punguzo, P12 = Tsh100 Billioni / 4.8 Billion litres
P12 = Tsh 20.8 per litre for 1 year.
Hitimisho: kiwango cha bei ya mafuta itakayopungua kutokana subsidy iliyoweka serikali itategemea na distribution timeframe, kwa maana kwamba kama muda utakuwa ni kwa mwezi mmoja, bei itapungua Tsh 250 kwa kila lita ya mafuta..ila kama distribution itakuwa kwa mwaka mzima then bei ya mafuta itapungua kwa Tsh 20.8 kwa kila lita..