Mjadala: Je, ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta itapunguza bei ya mafuta kwa kiasi gani? "Jambo letu hatarini"

Hizi ruzuku zinatolewa kwa utaratibu wa aina gani? Tanzania kila kitu ni fursa ya wajanja kupiga
 
Suluhisho hapa ni kupunguza tozo katika Lita Moja ya mafuta yanayouzwa kwa Lita nitakribani sh 900
 
Itapigwa tu kama itatolewa kweli na mafuta yatapanda. Tupo hapa. Kuna watu wako bar wanagongesha cheers wakiisubiria kwa hamu kama itatoka.
 
Nawezaje kuhamia zanzibar, natokea NANJILINJI?
 
Duh
 
Ni muhimu ikajulikana ili isije kuwa faida tu kwa wauza mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…