Kidagaa kimemwozea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 3,680 Reaction score 6,554 Sep 2, 2023 #1 Karibu mdau tujadili nafasi ya serikali katika kuwezesha vijana kujiajiri.
ki2c JF-Expert Member Joined Jan 17, 2016 Posts 7,719 Reaction score 14,506 Sep 2, 2023 #2 Ungepata access ya baadhi ya viongozi serikalini ambao husema vijana tujiajiri,wakupe majibu stahki,japo wao hushtuka pale kunapofanyika mabadiliko ya viongozi serikalini,kwa hofu ya kupoteza nyadhifa zao. Rejea kauli ya Nchemba.
Ungepata access ya baadhi ya viongozi serikalini ambao husema vijana tujiajiri,wakupe majibu stahki,japo wao hushtuka pale kunapofanyika mabadiliko ya viongozi serikalini,kwa hofu ya kupoteza nyadhifa zao. Rejea kauli ya Nchemba.
Kidagaa kimemwozea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 3,680 Reaction score 6,554 Sep 2, 2023 Thread starter #3 😆😆