Mjadala : Je wanufaika wa NHIF tulipie pesa ya kumuona Daktari, NHIF igharamie huduma Nyingine zote kwa ubora?

Mjadala : Je wanufaika wa NHIF tulipie pesa ya kumuona Daktari, NHIF igharamie huduma Nyingine zote kwa ubora?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari JF , Kiuhalisia matibabu ni gharama sana na tukisema pesa tunazochangia zigharamie kila kitu Changamoto zinazojitokeza katika matibabu tunayopata hazita kwisha .

Kuna kitu kinaitwa pesa ya kumuona Daktari au consultation fee , hii pesa inayolipwa kwa ajili ya kumuona Daktari haijalishi matibabu utakayo pata .

Kwa kifupi Mfuko wa NHIF kwa uzoefu wangu mdogo ni kwa Hospitali nyingi malipo ya hii pesa huzidi Malipo yanayofanyika hospitali husika kwa mwezi huo ya Vipimo na gharama ya operations . Kitu ambacho huwa kinakula pesa zaidi huwa Ni Dawa

Hivyo Mfuko kila mwezi hufanya malipo makubwa sana kwa ajili ya issue ya Consultations pesa ambayo kama isingelipwa ingeweza kulipwa kwa huduma Nyingine na tukazipata kwa UBORA MKUBWA SANA .

Hivi wanufaika mnaonaje tukawa tunalipia pesa ya kumuona Daktari:-

1. Huduma zikawa bora sababu pesa nyingi inakuwepo

2. Itasaidia kupunguza matibabu yasiyo sahihi ya Bima

Mfano tukamuona Daktari kwa 5,000 MD, 15,000 - kwa Daktari bingwa lakini ukaingia ukapata vipimo vizuri na huduma Nyingine kama dawa na Upasuaji?​
 
Habari JF , Kiuhalisia matibabu ni gharama sana na tukisema pesa tunazochangia zigharamie kila kitu Changamoto zinazojitokeza katika matibabu tunayopata hazita kwisha .

Kuna kitu kinaitwa pesa ya kumuona Daktari au consultation fee , hii pesa inayolipwa kwa ajili ya kumuona Daktari haijalishi matibabu utakayo pata .

Kwa kifupi Mfuko wa NHIF kwa uzoefu wangu mdogo ni kwa Hospitali nyingi malipo ya hii pesa huzidi Malipo yanayofanyika hospitali husika kwa mwezi huo ya Vipimo na gharama ya operations . Kitu ambacho huwa kinakula pesa zaidi huwa Ni Dawa

Hivyo Mfuko kila mwezi hufanya malipo makubwa sana kwa ajili ya issue ya Consultations pesa ambayo kama isingelipwa ingeweza kulipwa kwa huduma Nyingine na tukazipata kwa UBORA MKUBWA SANA .

Hivi wanufaika mnaonaje tukawa tunalipia pesa ya kumuona Daktari:-

1.Huduma zikawa bora sababu pesa nyingi inakuwepo

2.Itasaidia kupunguza matibabu yasiyo sahihi ya Bima

Mfano tukamuona Daktari kwa 5,000 MD ,15,000 - kwa Daktari bingwa lakini ukaingia ukapata vipimo vizuri na huduma Nyingine kama dawa na Upasuaji?​

Kwani wewe ni katika wale akisema CAG hukopeshana pesa NHIF kwa matumizi yenu ya nyumbani?
 
Habari JF , Kiuhalisia matibabu ni gharama sana na tukisema pesa tunazochangia zigharamie kila kitu Changamoto zinazojitokeza katika matibabu tunayopata hazita kwisha .

Kuna kitu kinaitwa pesa ya kumuona Daktari au consultation fee , hii pesa inayolipwa kwa ajili ya kumuona Daktari haijalishi matibabu utakayo pata .

Kwa kifupi Mfuko wa NHIF kwa uzoefu wangu mdogo ni kwa Hospitali nyingi malipo ya hii pesa huzidi Malipo yanayofanyika hospitali husika kwa mwezi huo ya Vipimo na gharama ya operations . Kitu ambacho huwa kinakula pesa zaidi huwa Ni Dawa

Hivyo Mfuko kila mwezi hufanya malipo makubwa sana kwa ajili ya issue ya Consultations pesa ambayo kama isingelipwa ingeweza kulipwa kwa huduma Nyingine na tukazipata kwa UBORA MKUBWA SANA .

Hivi wanufaika mnaonaje tukawa tunalipia pesa ya kumuona Daktari:-

1.Huduma zikawa bora sababu pesa nyingi inakuwepo

2.Itasaidia kupunguza matibabu yasiyo sahihi ya Bima

Mfano tukamuona Daktari kwa 5,000 MD ,15,000 - kwa Daktari bingwa lakini ukaingia ukapata vipimo vizuri na huduma Nyingine kama dawa na Upasuaji?​
Kwani si wanalipia mshahara hiyo hela ya nini?
 
we nae acha kukurupuka hakuna mtu anayeumwa kila mwezi na hata kama wapo kuna watu wanamaliza mwaka bila kutumia hiyo bima je na wao warudishiwe chenji ama?
kama hawarudishiwi basi hiyo chenji itatumika kuwachangia hao wanaoumwa kila mwezi
labda kama nawe ni mnufaika wa hizo chenji za watu
Habari JF , Kiuhalisia matibabu ni gharama sana na tukisema pesa tunazochangia zigharamie kila kitu Changamoto zinazojitokeza katika matibabu tunayopata hazita kwisha .

Kuna kitu kinaitwa pesa ya kumuona Daktari au consultation fee , hii pesa inayolipwa kwa ajili ya kumuona Daktari haijalishi matibabu utakayo pata .

Kwa kifupi Mfuko wa NHIF kwa uzoefu wangu mdogo ni kwa Hospitali nyingi malipo ya hii pesa huzidi Malipo yanayofanyika hospitali husika kwa mwezi huo ya Vipimo na gharama ya operations . Kitu ambacho huwa kinakula pesa zaidi huwa Ni Dawa

Hivyo Mfuko kila mwezi hufanya malipo makubwa sana kwa ajili ya issue ya Consultations pesa ambayo kama isingelipwa ingeweza kulipwa kwa huduma Nyingine na tukazipata kwa UBORA MKUBWA SANA .

Hivi wanufaika mnaonaje tukawa tunalipia pesa ya kumuona Daktari:-

1.Huduma zikawa bora sababu pesa nyingi inakuwepo

2.Itasaidia kupunguza matibabu yasiyo sahihi ya Bima

Mfano tukamuona Daktari kwa 5,000 MD ,15,000 - kwa Daktari bingwa lakini ukaingia ukapata vipimo vizuri na huduma Nyingine kama dawa na Upasuaji?​
 
Yaani mtu nakatwa 40000/= Kila mwezi sometimes namalizaga hata mwaka bila kutumia bima Leo nitoke pesa ya kumuona daktari,kweli!!!!!!!!!???????

Yaani mtu nakatwa 40000/= Kila mwezi sometimes namalizaga hata mwaka bila kutumia bima Leo nitoke pesa ya kumuona daktari,kweli!!!!!!!!!???????
Sasa wewe hiyo 40k kwenye matibabu inatosha nini ?

Au NHIF waweke kila mtu atibiwe kwa hicho kiwango anachochangia kikizidi alipie ?

Kumuona Daktari bingwa 25000 akiandika ultrasound tu ni 15000 hiyo 40k yako imeisha

Matibabu sio rahisi kihivyo

Huo mwaka unaokaa bila kuumwa hiyo pesa ndio inatumika kwa wengine wenye uhitaji kwa kipindi hicho
 
we nae acha kukurupuka hakuna mtu anayeumwa kila mwezi na hata kama wapo kuna watu wanamaliza mwaka bila kutumia hiyo bima je na wao warudishiwe chenji ama?
kama hawarudishiwi basi hiyo chenji itatumika kuwachangia hao wanaoumwa kila mwezi
labda kama nawe ni mnufaika wa hizo chenji za watu
Tatizo watu hamuelewi maana ya huu mfuko , Wanachama wanachangia pesa ndogo sana hazitoshi matibabu kinachofanyika ni cost sharing sasa hivi wewe huumwi pesa yako inatumiwa na wenye uhitaji kwa wakati huu
 
Bora waongeze makato,
Ila hio consultation fee wabaki wanalipa wao
Hii ni another option, kama tunahitaji huduma bora basi lazima either makato yaongezeke au kuangalia namna bora ya kutumia kilichopo.

Pesa ya consultation ni kubwa sana inalipwa kwa hospital zote ,pesa ambayo tukiamua kujilipia inaweza kwenda sehemu nyingine

Mfano mtu hujaumwa Mwaka ukaenda ukalipa 15k au 20k kwa ajili ya kumuona Daktari bingwa na ukupata huduma bora na haraka bila kukosa kipimo chochote na kupata dawa yoyote nzuri utakuwa umepata msaada kuliko kutolipa
 
Back
Top Bottom