Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 82
- Thread starter
-
- #21
heeeeeeeee, yani hapo mkuu umelenga!.
ebwana kuna kikao kimoja nilihudhuria, mshkaji alikunywa bia 4, kumbe watu wanamuangalia tu spidi yake, kufika kwenye uchakavu si akatoa 1000/=, acha akunjwe shati alipie,. hakuna usawa mie ninywe maji ya 300 mwingine anywe bia 5 halafu tutoe sawa uchakavu, Lol.
Tozeni kodi ya angalau asilimia 79% kwa kila harusi
Hulka ya kusema "hapana" Tanzania haipo. With time, people will learn!
Nitaingia kwenye ujasiriamali rasmi muda si mrefu. Nitakwenda kuvuna hizo pesa mnazochangishana. (Kwa kutoa jasho, of course!) Je, wewe umekaa upande gani wa TV - anayetizama au anayetizamwa?
Kuna jamaa mmoja Dar anahusika na biashara za kufunga mizingi na rims kwenye magari, huju jamaa alifanya kitu SAFI SANA alikusanya michango kama 30mil baada ya hapo akasambaza kadi za harusi, siku moja kabda ya harusi akatuma taarifa kuwa harusi inafungwa kama kawaida lakini sherehe ya harusi imesimamishwa ghafla kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake na kuwa angewajulisha ni lini sherehe itafanyika....huu ni mwaka nne kinywa hakuna sherehe na 30mil kamalizia nyumba yake mbezi.....hii safi sana...wabongo mkome kutoa michango