kama wamekuchangia nadhani utakuwa na orodha ya waliokuchangia,,,,,,basi hao ndio wachangie ila kadi zikizidi waleleze wazi kuwa huna pesa.
Mi sielewi kabisa watu wanaoana wao kisha nichangie mie WHAT THE HECK!!Sherehe ni jambo la hiari na ukitaka sherehe kubwa unatakiwa uwe na uwezo wa kuimudu gharama zake sio kutafuta kuwapa watu lawama...Wadau hii michango imekuwakero sasa,
binafsi mpaka sasa hivi nina kadi 6 za michango,simu kila mda inapigwa kukumbushwa michango,sms
ndo usiseme.
Inatubidi kubadilika kabisa na hii michango isiyokuwa na tija zaidi ya kuacha madeni na lawama.
Unapigiwa simu kila mara kama unadaiwa vile.
Kama na wewe umekutana na kero yoyote embu tujuze hapa na nini suluhisho?
Hiyo si Kama ushirika wa pombe kwenye bar? Marafiki watakunywesha mpaka ushindwe kukumbuka nyumbani kwako, lakini muombe akusaidie japo sembe ya Siku hiyo atakwambia "....brother pombe nkunyweshe na mkeo nkulishie?......"
Hii siyo kweli hata kidogo, kutengwa na kundi la wajinga is good reddense & Great relief.tatizo usipochanga unatengwa na marafiki, siku ukipatwa na matatizo wansema huyo siyo mwenzetu! mbona huwa changii? mfano hivi karibuni maeneo ya kawe mama mwenye nyumba alimpa mpanagaji wake notice kisa hajachangia birth day ya mtoto
kati ya hizo mkuu kuna kadi mbili wameandika kabisa mchango sio chini ya laki moja,kuna raia wengine sijui huwa wanafikiria kwa kutumia ma------?
mi sielewi kabisa watu wanaoana wao kisha nichangie mie what the heck!!sherehe ni jambo la hiari na ukitaka sherehe kubwa unatakiwa uwe na uwezo wa kuimudu gharama zake sio kutafuta kuwapa watu lawama...
Msibani kutoka mchango wa rambirambi ni poa lakini harusi no no :nono::nono:,sichangii mtu na sina haja ya kuchangiwa na mtu period!!
hii siyo kweli hata kidogo, kutengwa na kundi la wajinga is good reddense & great relief.
Kutengwa na dhehebu lako la dini ndio kitu angalau unaweza ukajali lakini siyo genge la wajinga wanaoona kuchangishana pesa nyingi kwa ajili ya kulewea siku moja kwa gear ya harusi huku wakiwaacha maharusi na ufukara wao ni ujinga zaidi.
Wadau hii michango imekuwakero sasa,
binafsi mpaka sasa hivi nina kadi 6 za michango,simu kila mda inapigwa kukumbushwa michango,sms
ndo usiseme.
Inatubidi kubadilika kabisa na hii michango isiyokuwa na tija zaidi ya kuacha madeni na lawama.
Unapigiwa simu kila mara kama unadaiwa vile.
Kama na wewe umekutana na kero yoyote embu tujuze hapa na nini suluhisho?
juzi kuna mtu kaja ananiambia dada naomba ndoo 2 tu za rangi nipige kule kwangu niamie nikase hawa ndio watu kuliko nichangie harusi bora nimpe huyuMi sielewi kabisa watu wanaoana wao kisha nichangie mie WHAT THE HECK!!Sherehe ni jambo la hiari na ukitaka sherehe kubwa unatakiwa uwe na uwezo wa kuimudu gharama zake sio kutafuta kuwapa watu lawama...
Msibani kutoka mchango wa rambirambi ni poa lakini harusi no no :nono::nono:,sichangii mtu na sina haja ya kuchangiwa na mtu PERIOD!!
sikuchangisha na sikufanya hayo masendoff/kitchen party sababu yakukwepa kero hizo jinsi ninavyokwazika sitaki mtu nimkwaze
message ninazotumiwa ni nyingi watu wengine ni majirani tu hata hatuna uhusianao ila nasema sichangii ,mshahara wenyewe huu,mwisho wa mwaka huu! ada january kichwa kishaanza kuniuma kwa kweli nichangie maharusi ada hakuna mtu atanisaidia bora lawama kuliko fedheha ya wanangu kubaki nyumbani bila ada.kuna mtu alitaka mchango wa harusi na kparty yaani shangazi yangu na mimi ile june nimebanwa na ada za watoto second term,mpaka leo huyu shangazi ameacha kuwasiliana nami kabisaa ila nilimwambia nina watoto wakulipia ada na nitachangia sherehe wanangu wabaki nyumbani au nifanyeje ??bora lawama kuliko fedheha