Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
 
Nilisoma kwenye gazette moja la Ulaya, Janet Kagame ndiye muendeshaji wa miradi ya familia. Huwa anasafiri sana kwenda Marekani kwa shughuli za biashara na kusimamia matibabu ya mume wake.

Tofauti na wake wa madiktekata wengine kama Grace Mugabe,Janet Kagame ana play a low profile. Hata shopping anafanya ya kawaida tu si kufuru.
Pia ni mwenezaji wa propaganda za genocide ulaya na amerika kupitia makanisa ya kipentekosti yaliyojaa wafuasi wa RPF, ukiwa mhutu kwenye hayo makanisa unaangaliwa kwa machale.
 
Pia ni mwenezaji wa propaganda za genocide ulaya na amerika kupitia makanisa ya kipentekosti yaliyojaa wafuasi wa RPF, ukiwa mhutu kwenye hayo makanisa unaangaliwa kwa machale.
Enzi zile ninakwenda club hawa members wa RPF walikuwa wanacheza pamoja kama kikundi. Hawaruhusu mtu asiye kwenye circle yao.
 
Huu mjadala kutoka kwenye hiki kitabu unanikumbusha kitabu kilichokususu utawala wa Raisi wa US, Donald Trump, "Fire and Fury, Inside the Trump White House". Hapa pia Mwandishi Noble Marara amefanikiwa kutulisha tunachopenda kula(kusikia) na naona kuna chumvi zaidi, na wengi wetu tunatekwa hapa kwasababu hatujaruhusu kuwa free thinkers tunaotoa nafasi ya kusikia na kujifunza kutoka pande zote za hadithi bila ku-take sides.
 
Dah! jamaa ana roho mbaya sana ukikutana nae unakimbia kama umekutana na mnyama mkali wa porini.
 
Huu mjadala kutoka kwenye hiki kitabu unanikumbusha kitabu kilichokususu utawala wa Raisi wa US, Donald Trump, "Fire and Fury, Inside the Trump White House". Hapa pia Mwandishi Noble Marara amefanikiwa kutulisha tunachopenda kula(kusikia) na naona kuna chumvi zaidi, na wengi wetu tunatekwa hapa kwasababu hatujaruhusu kuwa free thinkers tunaotoa nafasi ya kusikia na kujifunza kutoka pande zote za hadithi bila ku-take sides.
Wewe ni mtusi unataka tule matango yako tusile ya mshikaji.Poleni sana mnajaribu kutumia akili nyiiiingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mtusi unataka tule matango yako tusile ya mshikaji.
Hapa ndio unapofeli Mkuu, umesoma nilichoandika ila hujaelewa, hakuna mahali nilipopinga hoja za Mwandishi wa kitabu, nimesisitiza mtu kuwa na fikra huru ili uweze kujifunza unachosoma, sidhani kwa muhemko ulionao unaweza soma kitabu kingine chenye maoni tofauti na hiki. Kuwa huru kusoma na kujifunza.
 
Mimi naamini yaliyomo kwenye kitabu hiki kwa asilimia zaidi ya 95, sababu ni kuwa Kagame ndie raisi ambaye kwa ufahamu wangu amekimbiwa na wasaidizi wengi na kukimbilia nje ya nchi, hata huko nje wanafuatwa na kudhuliwa. Pia jinsi anavyo deal na wapinzani wake.
 
Hapa ndio unapofeli Mkuu, umesoma nilichoandika ila hujaelewa, hakuna mahali nilipopinga hoja za Mwandishi wa kitabu, nimesisitiza mtu kuwa na fikra huru ili uweze kujifunza unachosoma, sidhani kwa muhemko ulionao unaweza soma kitabu kingine chenye maoni tofauti na hiki. Kuwa huru kusoma na kujifunza.
Poa ila toa hoja sasa hata biblia inapingwa kulia kushoto na Yesu nwenyewe alipata shida,

We watu wana kimbia nchi na yule dada kamsulubisha na kumfilisi kwa kuchukua form tu ku gombea urais, unataka ushahidi gani tena, waliokimbia akawafuata huko huko SA, wakakamatwa . Hii habari ilitoka kwenye news za kawaida siku nyingi kama ukikuwepo duniani.

Na yeye anatafuta kila mbinu abaki pale pale.. Nyie watusi watu wa ajabu sana. Ila dada zenu wakali, inabidi tu tuwe wapole.

Naona watu wanataka tusikie upande wa pili sijui wanataka His Excellency PK mwenyewe aje JF apige comment tena aandike ki Tutsi kabisa ndio wataacha ubishi.

Leteni nondo zenu upande wa pili acheni bla bla blah



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mh labda TISS ya zamani sasa hivi kila idara serikalini inamsikiliza mtu mmoja,wangekuwa wanafanya kazi yao kimakini wasimgemruhusu jamaa kumkumbatia kagame kichwakichwa hivi ,najiskia hadi kutapika nikikumbuka alivyosema ataleta vijana wa Rwanda wa IT kwa ajili ya ATCL
Hats wakuu was vitengo walisikitika sana tatizo jamaa haambiliki ukimwambia ukweli umeenda. Kitengo kinahitaji reformation kubwa sasa kama ni ukweli humo ndani wamejazwa uvccm unadhani watashauri nini?
 
Back
Top Bottom