Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

acha uongo wako salim saleh na museven wamechangia mama, baba tofauti baba ake ni muislam. na museven ni mkristo. hivi hujui museven ana mtoto moshi na mama yake ni mchaga?
sio kweli acha hizo, wote ni watoto wa mzee kaguta
 
mdogo mtu alibadili dini
Mkuu hauko sahihi. Salim saleh ni jina lake la kivita (nom de guerre). Ukiwa vitani inabidi kutumia jina la kivita tofauti na jina lako halisi. Hii ni kwa sababu mawasiliano (kwa wakati huo mainly radio calls) yanaweza kuwa intercepted na adui. Jina hili la kivita linatumika ili hata adui akisikia mazungumzo yenu asielewe chochote, kwa sababu majina mnayajua nyinyi wenyewe tu. Salim saleh lilikuwa ni jina la huyu bro la kivita.
Imetokea tu kuwa hata walipotoka vitani jina la salim saleh likawa limemganda ndio maana analitumia mpaka leo.
 
angalia sekunde 27 museveni anaogopa hata kumsalimia,sijui alihisi sumu?
 
Tanzania kama siyo zenji ingekuwa hivyo, sis tunabadilishana vijiti.. hiki kigingi ndiyo kinacho mshinda magu kuibaka katiba na kuwa rais wa milele wavaa kanzu moto wao mnaujua
Ngoja tuone

Ila jpm na pk wanafanana sana mambo yao. Sema mmoja kamzidi mwenzake akili.
 
Kagame kawasaidia sanaa hao jamaa, ni rais wao anaestaili na kufaa, alipowatoa kunatisha, lakini naona haya hayazuii kua ka jamaa ni ka genius haswaaa,,, kwa tulio wai kusoma vitabu vya gaddafi akiwa bado hai ata hatushangai, ni kawaida kuandikwa viongozi wanaojitahidi,,,iv inaingia akilini mlinzi huyu huyu kuendelea kuyajua mambo hadi ya 2015 baina ya rais na marais wenzake hahaha,,,, too bad kuna watu wanajiita wana wa israel huku africa wakati mambo wanayowafanyia wapalestina, wote dunia nzima tungepaswa kuwapiga vita hawa watu, lakini waafrica tulivyo wajinga bado tunawaona wakina George Bush ni bonge la ma viongozi, wakati watu kama hao waliiuaa mamilion ya waarab huko middle east.

ka kagame kana fight watu wake ambao ni wachache wasiuliwe wote, kasingefanya ivyo wangekaua kenyewe,,, trust me ka kagame kapo mbele ya muda kushinda viongozi wote africa, kanavyoishi na ugaidi kanaoufanya ndio ule ule unaofanywa na wakina putin nk. nk. nk.
 
angalia sekunde 27 museveni anaogopa hata kumsalimia,sijui alihisi sumu?
hahahahaah nimecheka, doooh museveni anakaogopa kishenzii....ujue kajamaa kamekaa ki hitler hitler hivi....sema kagame ni bonge la rais, yaani mwanaume unapaswa kua hivi haueleweki eleweki ukizinguliwa mtu anajijua muda wa kutubu umefika.
 
Operation kubwa ya kwanza kuondoa Wanyarwanda Tanzania ilifanywa na Mkapa. Kwa mara ya kwanza Wanyarwanda hawakuamini wazee wa kazi FFU na JWTZ walichowafanya
 
Huenda ni kuchafuana tu! Si kila kitu cha kuamini huenda mwandishi kazidisha chumvi ili kumpaka matope adui yake.
Naungana na wewe kuhusu mwandishi kuongeza chumvi ila mengi alioeleza yana ukweli mwingi ndani especially kuhusu ukorofi wa kagame na vurugu zinazoendelea mashariki mwa kongo
 
Ngumu kung'amua hilo mkuu! Kila mwandishi anaandika kile anachotaka watu wafahamu maana yeye ndio anachagua kipi aandike na kipi aache.
Chief hujui hta kuunganisha matukio? Hebu jiulize kwanini wasaidizi wengi wa kagame walikuwa wanauwawa kwenye mazingira ya kutatanisha? Ni kipi hasa kinachosababisha kagame kuwa mkorofi kwa majirani zake? Na vipi kuhusu wale viongozi waliogombana na kagame na kukimbilia south africa ilikuwaje mpaka wakashambuliwa na mmoja kuuwawa? Tuachane na hyo yote tujiulize kipi kinachosababisha vurugu kutoisha mashariki mwa kongo?
 
Acheni propaganda mna uhakika kilichoandikwa humo ni ukweli???
Hamna tofauti na wapiga kahawa wa kijiweni jamaa kama ana uhakika kagame kaua watu wote hao si ampeleke mahakamani??


Sent from my iPhone using JamiiForums
Chief kama hujakisoma hicho kitabu kipakue usome, kifupi ni kuwa mwandishi wa hicho kitabu kuna mambo mengi ameeleza ambayo ukiunganisha dots unaona kbsa kuna something wrong about kagame leadership
 
Chief hiki kitabu nimekisoma chote ....to be honest licha ya mwandishi kuongeza chumvi hpa na pale lakini vitu vingi alivyoeleza ukiunganisha dots utaona kbsa kagame ana kesi ya kujibu, especially kinachoendelea eastern kongo na ukumbuke kuwa so far kagame alishagombana na Tanzania, burundi na hivi karibuni uganda hii inakuonyesha kuna kitu hakipo sawa kwenye uongozi wa kagame
 
Embu funguka kidogo Mkuu, sijakuelewa. Ina maana waligombania mwanamke?
Kagame alipiga simu kwa daktari wake akapokea beki tatu wake akamjibu mbovu bila kujua anaeongea nae ni raisi wa nchi ....kagame kwa hasira akawasha gari yake mpaka nyumbani kwa daktari na kumpa mabanzi ya kutosha beki tatu
 
Hivi inapata nini au raha gani kutumia lugha yenye ukakasi kama hii? Ukitafutwa ushugulikiwe utaanza kupiga mayowe kama mwanamke
 
Mnaomshangaa huyu mlinzi kujua ya Kagame nawashangaa sana mbona Mange yuko America na anaongea mambo ya huku hata ya kipuuzi mnayaamini?

Mtu yuko Marekani anawataka muandamane huku na mnakubali
 
Hivi inapata nini au raha gani kutumia lugha yenye ukakasi kama hii? Ukitafutwa ushugulikiwe utaanza kupiga mayowe kama mwanamke
Atakaye poteza muda kunitafuta atakuwa chizi, kunishughurikia kwa lipi? Ndio hayo mambo ya kishamba ya kutekana tekana mmeteka na kuua wangapi je watu wameacha kuonesha hisia zao? Zaidi zaidi wanazidi kuongezeka ila wewe unaendelea kujiongezea maadui.
 
nimekuuliza swali unaniambia niweke ushahidi,hukumsikiarafiki yake kagame siku anapokea bombardier ya kwanza alichosema kuhusu kuleta vijana wa IT toka Rwanda ku operate ATCL?hilo la Rwanda kuwa na office special bandarini na kahama hulijui nalo?
Huyo jamaa atakusumbua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…