Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Umeweka mambo sawa, mwenye kuelewa na aelewe [emoji122]Inshaallah
 
Does that fucking change that kagame is a killer ..na he will die horribly one day

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni Mtusi au Mhutu tuanzie hapo halafu tupe source ya taarifa.

Je si kweli kwamba Kagame anataka afie kwenye kiti ?

Hata mimi naona kuna exaggarations kwenye store lakini jinsi alivyomuonea yule Dada kwa kugombea Urais, kumweka ndani na kumfilisi mali zake kuna ukweli kuhusu tabia yake. Anadhani yeye Mungu. Ni pumzi tu ndio inamdanganya.

Propaganda unazojaribu kuleta zimepitwa na wakati, na bado store nyingine zitakuja tu toka kwa hao educated kama wewe nyambaf.


.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe download hicho kitabu hapo juu ktk post namba 20 uone ukatili wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hatupati store za upande wa pili huyu jamaa amekandya kinyama .

Tuambie wana JF huko Kigali maisha vipi kwa sasa ?
Kuna watoto wakali sana huko kila dizain sidhani kama wana roho mbaya kama jamaa alivyokandamiza.

Au labda KCRA ya Rwanda watadukua simu zenu mtaishia pabaya.

Karibuni bongo pamoja na matatizo sisi tumetulia na mbegu kama za Kigali zinatuchanganya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urafiki wa Kagame na Tz ni wa kimaslahi tu. Once that is accomplished, they can do anything to him. Tz will not intervene, like we always do.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiko online
Unaweza ukaki download chote mkuu

Ova


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…