Ngumu kung'amua hilo mkuu! Kila mwandishi anaandika kile anachotaka watu wafahamu maana yeye ndio anachagua kipi aandike na kipi aache.View attachment 1073689View attachment 1073690hawa nao wanadanganya?
Mkuu tuna appreciate moyo wako wa kuweza kusoma na kutudadavulia hapa .Big UpUkurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Huyu ndo Marara?Nimefuatilia kumbe hata mwezi wa tatu Police huko UK wamemtahadhalisha Marara kuwa Kagame anamfuatilia kwa kukodi wauaji wamuue huko huko aliko.View attachment 1072662
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mleta uzi ni muhimu kusoma hicho kitabu ukiwa na Akiba ya jicho la tatu. Haifai kuweka hapa maandishi na simulizi na madai ya huyo mwandishi ukasema ndio ukweli na kuanza kumhukumu Kagame. Tungepata vitabu kadhaa vya pande mbili au hata pande 3 tujue ukweli umelala wapi. Lakini kumsikiliza huyu bodyguard mmoja sikubaliani nayo kabisa. Hata mimi nitakitafuta kitabu hiki nikisome na kuendelea kufanya utafiti Zaidi kuhusu Kagame, lakini ukweli ni kwamba kwenye kuongoza haswa unapotaka kuweka mambo sawa hutakosa maadui huo ndio ukweli. Kuna mengi mazuri na mabaya mengi tunasikia kuhusu Kagame lakini pia tunasikia Rwanda inaendelea vizuri sana kiuchumi sasa labda Wanyarwanda watuambie kama Kagame amesaidia nchi au la. Kwenye kuongoza nchi na kuleta mabadiriko ya jamaa mengi sana mabaya hupitiwa hakuna taifa lilifanikiwa duniani bila kupita kwenye wakati ambao sio wa kujivunia soma nchi za Ulaya, Marekani, Asia wenzetu walipita vipindi vibaya sana lakini leo wako wapi…? Hebu tuwe na akili ya mtu mzima.
"lakini pia tunasikia Rwanda inaendelea vizuri sana kiuchumi"
Stori za Uchumi mzuri wa Rwanda ni propoganda tupu za viongozi wachache wa magharibi walioshindwa kushughulika vizuri na mauaji ya kimbari na mashirika ya maendeleo yanayotaka kuonyesha kwa kulazimisha matokeo mazuri ya misaada. Nenda kaangalie data zake ulinganishe na mataifa mengine,ni ya kawaida sana.
Aaaaah senior officer acha povuWewe ni Mtusi au Mhutu tuanzie hapo halafu tupe source ya taarifa.
Je si kweli kwamba Kagame anataka afie kwenye kiti ?
Hata mimi naona kuna exaggarations kwenye store lakini jinsi alivyomuonea yule Dada kwa kugombea Urais, kumweka ndani na kumfilisi mali zake kuna ukweli kuhusu tabia yake. Anadhani yeye Mungu. Ni pumzi tu ndio inamdanganya.
Propaganda unazojaribu kuleta zimepitwa na wakati, na bado store nyingine zitakuja tu toka kwa hao educated kama wewe nyambaf.
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anatumia genocide kama political tool for silencing his opponents. I don't like that.... Wapo wahutu Wengi waliokufa wakipinga genocide. PK hataki kusikia hilo. Poor him!
Your point then...?Hivi kabla hamjaanza kushangilia yaliomo kwenye hicho kitabu mnamjua aliekiandika ni nani kwanza? Huyo jama Marara kweli alikua kati kikosi cha kumlinda raisi na alikua dereva katika miaka hio ya mwishoni 90's alikua anaendesha vifaru walivhoachiwa na UN kwa ajili ya usalama wa viongozi. Kwa vile alikua uneducated young man hakua anakaa na senior officers mpaka ahadisiwe kinachoendelea. Alitimuliwa jeshini na kukimbia nchi na huko ulaya aliko anatafuta attention tu watu kwani ameshakosana na aliokimbia nao wengi huko ughaibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba unisaidie softcopy MkuuNimeipata Soft Copy yake ngoja nisome
Hulazimishwi kufahamuKuna Genocidals humu yaani hawatulii bila kuleta negative threads za Kagame na Rwanda.
Ukisoma threads humu JF utasema Rwanda hakukaliki kumbe stori zinaishia humu humu...uzuri wanyarwanda wengi JF hata hawaifahamu na kiswahili hawaelewi hivyo kelele zote hizi hazina impact yoyote kwa wahusika..
Unadhani adui ataandika nini zaidi ya kutunga hadithi!!
Hiki kitabu pamoja na vingine havina ukweli wowote ni propaganda za maadui wa Kagame..