Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Nimeyasema humu ndani kua mwandishi katika baadhi ya mambo ametia chumvi watu wakaanza kuniuliza kama mimi ni mhutu au mtusi? Mimi sio mnyarwanda lakini namjua huyu mwandishi. Kwanza tukumbuke ana miaka 19 hajakanyaga Rwanda, lakini ameachambua mambo yaliotokea huko baada ya yeye kutoroka nchi as if alikuepo. Ni vizuri pia kutomfanya kua only our reliable source ya yaliotokea. Katika kitabu chake hakuna mahali aiposema kua kuna hata operation moja aliohusika/shiriki. Za kuambiwa......

Sent using Jamii Forums mobile app
1.PNG
2.PNG
3.PNG
huyo David hImbara alikuwa ni mshauri wa kagame,hicho nita kidownload leo nianze kukisoma kesho
 
Mbona muonekano wake ndio huohuo tokea akiwa kijana Mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
vitani alikuwa muoga kuna siku walipigwa ambush ila technic ilkuwa ni wao kunyamaza kimya ili kumvuta na kumchanganya adui yeye kapaniki kaanza kufyatua ma risasi,wenzake wakakataa kuwa naye akarudishwa ofisini kwenyemambo ya intelejensia ambapo ndipo kwenye umahiri wake ikiwepo alishawahi kumsave museveni na jaribio la kupinduliwa
lakini alikuwa pia katili sana huko hadi wakampa jina la utani PILATO,Siku moja kuna madogo wanajeshi walilewa akaamuru wawekwe lock up kuna mkubwa mmoja akaja kuwatoa wakaenda uwanja wa vita,waliporudi kagame akamuwakia yule jamaa,alikula makofi ya nguvu hadi akaanguka kuanzia siku hiyo akaanza kuvaabullet proof akiamini kuna wenzake wanamchukia watamuua anytime
 
Sema huyu mtu atakuja kufa kifo kibaya sana, ikiwa haya yaliozungumzwa humu ameyatenda kiukweli! Ni mtu katili mno na mara nyingi makatili hufa vifo vya fedhea sana. you live by the Gun, you die by the Gun!
Kama yupo UK hataweza PK,labda kama jamaa angekuwa SA.......
 
Stori zakutunga hizi kutoka kwa maadui wa Kagame, sasa Kagame alimuuaje Rwigema wakati yeye Kagame alikuwa masomoni Uingereza Rwigema alivyouwa???sitaki hata kufuatilia habari hizi..jamaa wameshindwa vita sasa wamehamishia vita mtandaoni.
Aliuliwa na sniper alietumia bunduki ya Gen Rwigema. Gen. Rwigema alimpa sniper rifle kama zawadi. Na huyo sniper alichaguliwa na kagame pamoja na kijana mwingine wakaenda kusoma ukomandoo nje ya nchi so aliacha ameshawaanraa vijana wake kabla hajaenda masomoni. Na kumbuka pk alikuwa ni link kati ya jeshi na wanasiasa. Ndie alikuwa mshauri wa siada jeshini.

Leadermoe
 
Nimeyasema humu ndani kua mwandishi katika baadhi ya mambo ametia chumvi watu wakaanza kuniuliza kama mimi ni mhutu au mtusi? Mimi sio mnyarwanda lakini namjua huyu mwandishi. Kwanza tukumbuke ana miaka 19 hajakanyaga Rwanda, lakini ameachambua mambo yaliotokea huko baada ya yeye kutoroka nchi as if alikuepo. Ni vizuri pia kutomfanya kua only our reliable source ya yaliotokea. Katika kitabu chake hakuna mahali aiposema kua kuna hata operation moja aliohusika/shiriki. Za kuambiwa......

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo kabisa amesema hata yeye alishiriki ila ni kwa kudhani ni kwa ajili ya inchi ila baadae akagundua alitumiwa. Na kuna sehem ameomba msamaha kwa wahanga

Leadermoe
 
vitani alikuwa muoga kuna siku walipigwa ambush ila technic ilkuwa ni wao kunyamaza kimya ili kumvuta na kumchanganya adui yeye kapaniki kaanza kufyatua ma risasi,wenzake wakakataa kuwa naye akarudishwa ofisini kwenyemambo ya intelejensia ambapo ndipo kwenye umahiri wake ikiwepo alishawahi kumsave museveni na jaribio la kupinduliwa
lakini alikuwa pia katili sana huko hadi wakampa jina la utani PILATO,Siku moja kuna madogo wanajeshi walilewa akaamuru wawekwe lock up kuna mkubwa mmoja akaja kuwatoa wakaenda uwanja wa vita,waliporudi kagame akamuwakia yule jamaa,alikula makofi ya nguvu hadi akaanguka kuanzia siku hiyo akaanza kuvaabullet proof akiamini kuna wenzake wanamchukia watamuua anytime
Mkuu Nani alikula makofi?
kagame au huyo mkubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana kwangu ilikuwa siku nyingine ya kufurahia kuwa sehemu ya member wa jamii forum. Hii ilitokana mwanajamii mmoja nzagambadume kupost link ya kitabu kilichoandikwa na mlinzi wa raisi Kagame aliyekimbilia UK kuepuka kifo kilichokuwa tayari mlangoni mwake.

KWA NINI NAMTAJA KIKWETE NA MEMBE

Kwanza ijulikane wazi kuwa Watanzania wengi tulifahamu kuwa Kikwete alikuwa raisi mpole na kufikia hatua ya tukamuita raisi dhaifu aliyezungukwa na marafiki wabaya (walio na hulka ya kujinufaisha wao na familia zao). Nakumbuka nikiwa navuka Mtukula kwenda Kampala siku hiyo sitausahau hasa baada ya kukuta kundi la raia wa Rwanda wakiwa na mizigo yao wakifurushwa kurudishwa Rwanda bila kujali walikuwa na mifugo au makazi,wameoa Watanzania au Watanzania wamewaoa walilazimishwa kurudi makwao kwa amri ya raisi Jakaya Kikwete!!.

Pale mpakani alikuwepo mama mmoja na mwanae wamelala kandoni kidogo mwa barabara huku mtoto akiwa na hali mbaya bila nguo ndipo utu wa Kitanzania niliuona pale kwani yule mama kama alitoka hapo basi hatasahau maisha yake yote kwani alichangiwa na abiria wa Kitanzania kwa kupewa vyakula, nguo na pesa na katika basi gumzo ilikuwa Kikwete ana bifu na Kagame lao binafsi lkn limesababisha hadi wasiohusika wanataabika ukweli hata mimi nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanamshutumu raisi. Tulienda mbali kwa kusema huu ukatili si angeuelekeza kwa wezi walioko serikalini mwake lkn msimamo wa Kikwete ulikuwa palepale na hadi anatoka madarakani sikumbuki kama Kikwete alishawahi kwenda ziara Rwanda.

MEMBE ambaye alikuwa mtu wa karibu wa raisi Kikwete wengi tulijua ni usalama wa Taifa (TISS) hivyo tulifahamu kuwa linalotokea baina ya Tanzania na Rwanda basi kwa namna moja Membe alikuwa anafahamu tukizingatia kuwa alishakuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka kadhaa.

KITABU CHA NOBLE MARARA
Kitabu hiki ukianza tu kukisoma sio tu utastaajabu usiyoyafahamu kuhusu Kagame ila utashangaa kwa nini tuna urafiki na mtu dizaini hii (Kagame na Rwanda). Kitabu kimemweka wazi Kagame maisha yake,tabia yake,ukatili wake,namna anavyosuka mipango ya mauaji na namna anavyoplan kujisafisha namna alivyokuwa anazini na wake za watu wake wa karibu akiwa analindwa na ma body guards wake!!

Mtu anayeandika kitabu hiki kumbuka ni mtu aliyekuwa anamlinda Kagame kuanzia asubuhi gadi asubuhi nyingine, yeye mwenyewe kashiriki mauaji akifikiria anailinda Rwanda na Kagame kumbe ni chuki na kujiimarisha tu kwa Kagame rafiki wa karibu wa Tanzania kwa sasa!! Hadi anatoroka alikuwa tayari yuko kwenye target za Kagame

Katika haya maelezo mafupi sana nimeelewa sasa kuwa Mh. raisi Mstaafu Kikwete alibaini na kujilidhisha pasipo shaka kuwa urafiki na huyu mtu sio kabisa hasa baada ya majeshi ya Tanzania kuwapa kichapo M23 jeshi katili la Kagame kipindi hicho huko DRC

Sent using Jamii Forums mobile app
swadakta mkuu kuna kambi ipo kasulu mtabila ilikuwa ya wakimbizi sasa hivi ni kambi ya jkt kikwete aliwafukunza wakimbizi wote kumbe kulikuwa na kitu anahisi ingawa tulimsema vibaya kikwete lakini alikuwa anajua anafanya nini tumewachapa sana wakimbizi mtabila kumbe walikuwa wanajua wanafanya nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vitani alikuwa muoga kuna siku walipigwa ambush ila technic ilkuwa ni wao kunyamaza kimya ili kumvuta na kumchanganya adui yeye kapaniki kaanza kufyatua ma risasi,wenzake wakakataa kuwa naye akarudishwa ofisini kwenyemambo ya intelejensia ambapo ndipo kwenye umahiri wake ikiwepo alishawahi kumsave museveni na jaribio la kupinduliwa
lakini alikuwa pia katili sana huko hadi wakampa jina la utani PILATO,Siku moja kuna madogo wanajeshi walilewa akaamuru wawekwe lock up kuna mkubwa mmoja akaja kuwatoa wakaenda uwanja wa vita,waliporudi kagame akamuwakia yule jamaa,alikula makofi ya nguvu hadi akaanguka kuanzia siku hiyo akaanza kuvaabullet proof akiamini kuna wenzake wanamchukia watamuua anytime
Unaamini ni kweli? Kama alikuwa muoga hivyo unadhani ilikuaje RPF ilikubali kuongozwa na kiongozi muoga?
 
Back
Top Bottom