alipooteshwa na Mungu amemwambia kuna meli mbili zinakuja na watu kutoka ulaya watakapoisha tu watu hao na dawa itaisha nguvu so watu waende kwa wingi wawahi maana meli zinakaribia kufika.Kuna habari nimezipata kuwa Mkwere alipokuwa kwenye zoezi la kufukua nyayo alipita kwa mchungaji na kupewa dawa mwenye macho haambiwi tazama na masikio haambiwi sikia na ****** haambiwi kujamba kila mwenye tatizo aende aapate tiba!
we ndo utafanya watu wasiende kudanganywa tena coz umemtaja mdanganyika mkuu kuwa naye kaenda. kama unataka kudanganya watu waende kudanganywa tafuta bac catalyst anaendana, achana na mkwere, kwanza alikwenda huko aliomba ruhusa kwa shehe yahya amtabirie kwanza??!!! teh teh teh jamani mbavu zangu, nchi hii jamani!!!!! du! hiv kama prezdaa anaongoza nchi kwa rada za kishirikina itakuwa laymen n women kudanganywa kulishwa uchafu etii ni dawa ya ngoma??? haya fungueni zipu zenu bac eti kuna dawa muone moto wake..wafuasi wa kinjekitile nyie!! haya semeni majiiiii na risasi haitaingia.....teh teh teh teeeeeee, uuuuwi, apaaa wandeeee, zama hizi za dot com bado tu tunashoiya jaman????!!!! je tutafikaaa?? chambeche mzee wangu makwaia wa kuhenga!