Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kama kinachoponya ni imani , kwa nini watu waende kwa huyo mtu,? afu cjaelewa mpk leo huyu mtu ni mganga au mchungaji?
picha hizo wameshaweka jamaa fulaniJuzi hapa kuna wana JF walienda huko sasa wamefikia wapi kuhusu hayo mambo maana hapa tunataka more pics na habari zaidi maana so far habari ni zile zile....tupeni more news guys.....
Du ! kama watendaji wa serikali yetu pamoja na jamaa zao wa karibu wamepata tiba hawaoni kama kuna sababu ya kuwawezesha watanzania wa kawaida kufika huko,je ni mlalahoi gani anayeweza kukodi landcruiser kwenda huko ? wao wantumia ma VX na MAPATROL ya SU,STK,STJ,DFP nk. Hawa ni wa binafsi mno,hakuna hata mmoja aliyetoa mwito wa kuboresha miundo mbinu kule !
Jamani mbona hamuongelei ishu ya kusimama kwaresima huduma?
Mkuu niwaellyester jibu ntakupa laikini kabla sjakupa nkuulize swali...Kibwetere alikuwa mganga mchungaji??? n jibu kwandha thwali langu
Naomba kujibiwa swala hili kwa mwenye ufahamu tafadhali. Huyo babu mnasema ni mchungaji/askofu and the like. Na kuwa imani ndio inaponya. Je watu wa dini zingine eg waislamu nao wanaenda? Je wanaoenda nao wanapona wakibaki na imani ya dini zao? Msaada tafadhali
Nikweli unachosema, I once when was pregnant of my first born outside the country..Sasa nikaambiwa kuwa nitoe history ya ndugu zangu wakti wa uzazi na 50% wenye maumbile kama yangu walikuwa wamepasuliwa. Me on my side nilishajiambia sitaki kupasuliwa so ili kuondoa biase ya Dr. nikaandika hakuna hata mmoja aliyepasuliwa wote wana deliver normally. Dr. akanipima baadaye akaniambia it seams wewe hutaweza kudeliver normal...akasema itategemea your choice though ila tutaweka hii note wakati wa kujifungua ikitokea tatizo tutakupasua..Then kabla ya my time siku moja nimeenda clinic Dr. kunipima nikaona anachukua simu akaita tax nikaambiwa nisiende nyumbani moja kwa moja niende referal hosp...Nikaenda kufika kule duuh nikawekwa ma machine mengi mengi then nikauliza kwani tatizo nini wakaniambia we suspect the baby is dead...nikamwambia dr. my baby can never die! Akaona huyu mgonjwa anajipa moyo...akasema yes its good to think that way but also its gud to prepare your mind incase we find out its dead...nikamwambia tena I choose not to prepare my mind for the lose but to believe is alive for christ is also alive and have never left me alone...Dr. akaona hii argument siyo nzuri akaendelea na vipimo..So akasema I cant feel the beats and you see you can read from your side there is graph nikamwambia I dont believe the graph give me time...Basi wakaniambia okay then we will examine you after 15 min. naona alinikubalia ili asiniumize..Then after 15min they examined wakakuta mapigo kwa mbali...nikaambiwa nipumzike na nilale kwa ubavu kila baada ya 5 min wananichunguza mapigo yakapanda mpaka normal... Then wakasema wanipeleke theatre pindi ile enxiety ikiondoka nikamwambie dr. I dont want that way i will deliver normally...So dr. akaniangalia akasema please its risk for me I understand what you mean my darling na kuni pet pet kwingi..Nikamwambia I will sign and will bear all the consequences! Wakaniacha day one niko salama na mtoto mzima then wakasema kama ndivyo basi tuna initiate labour lakini kama contraction hazitakuwa nyingi then tunakupasua nikasema sawa...Wakanianziashia put the cathetor and kuniwekea maji ya uchungu huku waki monitor progress ya mtoto..and the thing went on mpaka nikapata baby boy normal bila kupasuliwa alive until todate Glory to God!
So second born at Aghakhan dr akaniambia nipeleke report ya yule wa kwanza kusoma akasema huyu ceasarian session kama kwenye excelent centre mambo yalikuwa hivi sisi hatutake risk...nikanyamamza maana dr wetu collaboration na mgonjwa unatakiwa kuwa makini they know almost everything even against your will...So was praying God to make my day of delivery before that date nakweli ikawa a week before na dr. aliyekuwepo akasema aah huyu mwacheni mbona anajifungua kawaida ila mwekeeni maji ya chungu and thats how I got my second born. Why all this kuwa chosha no but to tell you siyo kila kitu science inaweza kujibu na mjue kuwa kama ni hiyo science hata mimi naifahamu inside out lakini haijatawala maisha yangu iko applicable to a limited extent for me science without faith is empty!
yesu hawezi kukufata hapo nyumbani huwaponya watu kwa kupitia watu na babu ana revealed knowledge kutoka kwa kristo,cheki imaniMwenye uwezo wa Kuponya ni YESU KRISTO
Ina maana mkuu wangu Moshdar hawa wanaosema wamepona wanatutapeli?
But am not suppose to argue with you coz, Imani yangu na yako ni tofauti.
mimi na amini katika uponyaji wa bwana Yesu. wewe humwamini Yesu. wapi na wapi?.
Naomba nikujulishe kwamba damu ya yesu inaponya.