Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Nipitie twende wote nikatibiwe maradhi yangu....natafuta kampani tu hapa.....!!!
 
sasa kama kinachoponya ni imani , kwa nini watu waende kwa huyo mtu,? afu cjaelewa mpk leo huyu mtu ni mganga au mchungaji?

Mkuu niwaellyester jibu ntakupa laikini kabla sjakupa nkuulize swali...Kibwetere alikuwa mganga mchungaji??? n jibu kwandha thwali langu
 
Juzi hapa kuna wana JF walienda huko sasa wamefikia wapi kuhusu hayo mambo maana hapa tunataka more pics na habari zaidi maana so far habari ni zile zile....tupeni more news guys.....
picha hizo wameshaweka jamaa fulani
 

Attachments

  • magari wakinywa dawa.jpg
    magari wakinywa dawa.jpg
    272.3 KB · Views: 33
  • PICHA MAGARI.JPG
    PICHA MAGARI.JPG
    228.5 KB · Views: 28
  • GARI LA MANISPAA NDANI YA MCHUNGAJI.JPG
    GARI LA MANISPAA NDANI YA MCHUNGAJI.JPG
    204.7 KB · Views: 27
Du ! kama watendaji wa serikali yetu pamoja na jamaa zao wa karibu wamepata tiba hawaoni kama kuna sababu ya kuwawezesha watanzania wa kawaida kufika huko,je ni mlalahoi gani anayeweza kukodi landcruiser kwenda huko ? wao wantumia ma VX na MAPATROL ya SU,STK,STJ,DFP nk. Hawa ni wa binafsi mno,hakuna hata mmoja aliyetoa mwito wa kuboresha miundo mbinu kule !

Na hakuna hata atakaye jitokeza kujaribu kusaidia ... Kama hawatasukumwa!!!
 
Mkuu niwaellyester jibu ntakupa laikini kabla sjakupa nkuulize swali...Kibwetere alikuwa mganga mchungaji??? n jibu kwandha thwali langu

Ina maana mkuu wangu Moshdar hawa wanaosema wamepona wanatutapeli?
But am not suppose to argue with you coz, Imani yangu na yako ni tofauti.
mimi na amini katika uponyaji wa bwana Yesu. wewe humwamini Yesu. wapi na wapi?.
Naomba nikujulishe kwamba damu ya yesu inaponya.
 
nimeambiwa ukipona unapaswa kutoa sadaka pale unapoabudu ie. Umrudie Mungu wako umjuae.
Naomba kujibiwa swala hili kwa mwenye ufahamu tafadhali. Huyo babu mnasema ni mchungaji/askofu and the like. Na kuwa imani ndio inaponya. Je watu wa dini zingine eg waislamu nao wanaenda? Je wanaoenda nao wanapona wakibaki na imani ya dini zao? Msaada tafadhali
 
Nikweli unachosema, I once when was pregnant of my first born outside the country..Sasa nikaambiwa kuwa nitoe history ya ndugu zangu wakti wa uzazi na 50% wenye maumbile kama yangu walikuwa wamepasuliwa. Me on my side nilishajiambia sitaki kupasuliwa so ili kuondoa biase ya Dr. nikaandika hakuna hata mmoja aliyepasuliwa wote wana deliver normally. Dr. akanipima baadaye akaniambia it seams wewe hutaweza kudeliver normal...akasema itategemea your choice though ila tutaweka hii note wakati wa kujifungua ikitokea tatizo tutakupasua..Then kabla ya my time siku moja nimeenda clinic Dr. kunipima nikaona anachukua simu akaita tax nikaambiwa nisiende nyumbani moja kwa moja niende referal hosp...Nikaenda kufika kule duuh nikawekwa ma machine mengi mengi then nikauliza kwani tatizo nini wakaniambia we suspect the baby is dead...nikamwambia dr. my baby can never die! Akaona huyu mgonjwa anajipa moyo...akasema yes its good to think that way but also its gud to prepare your mind incase we find out its dead...nikamwambia tena I choose not to prepare my mind for the lose but to believe is alive for christ is also alive and have never left me alone...Dr. akaona hii argument siyo nzuri akaendelea na vipimo..So akasema I cant feel the beats and you see you can read from your side there is graph nikamwambia I dont believe the graph give me time...Basi wakaniambia okay then we will examine you after 15 min. naona alinikubalia ili asiniumize..Then after 15min they examined wakakuta mapigo kwa mbali...nikaambiwa nipumzike na nilale kwa ubavu kila baada ya 5 min wananichunguza mapigo yakapanda mpaka normal... Then wakasema wanipeleke theatre pindi ile enxiety ikiondoka nikamwambie dr. I dont want that way i will deliver normally...So dr. akaniangalia akasema please its risk for me I understand what you mean my darling na kuni pet pet kwingi..Nikamwambia I will sign and will bear all the consequences! Wakaniacha day one niko salama na mtoto mzima then wakasema kama ndivyo basi tuna initiate labour lakini kama contraction hazitakuwa nyingi then tunakupasua nikasema sawa...Wakanianziashia put the cathetor and kuniwekea maji ya uchungu huku waki monitor progress ya mtoto..and the thing went on mpaka nikapata baby boy normal bila kupasuliwa alive until todate Glory to God!

So second born at Aghakhan dr akaniambia nipeleke report ya yule wa kwanza kusoma akasema huyu ceasarian session kama kwenye excelent centre mambo yalikuwa hivi sisi hatutake risk...nikanyamamza maana dr wetu collaboration na mgonjwa unatakiwa kuwa makini they know almost everything even against your will...So was praying God to make my day of delivery before that date nakweli ikawa a week before na dr. aliyekuwepo akasema aah huyu mwacheni mbona anajifungua kawaida ila mwekeeni maji ya chungu and thats how I got my second born. Why all this kuwa chosha no but to tell you siyo kila kitu science inaweza kujibu na mjue kuwa kama ni hiyo science hata mimi naifahamu inside out lakini haijatawala maisha yangu iko applicable to a limited extent for me science without faith is empty!

Story yako umeitoa mwenyewe lakini inakosa scientific evidence ya matukio hayo ili iweze kujadiliwa kisayansi. Pamoja na hayo mapungufu ya msingi story kama hizi zinaweza kuwa ni isolated cases. Na hizi ziko katika science. Effectiveness au decisions katika tiba huwa zinabase on mean values. Sio kila tiba au medical responce inakuwa sawa kwa kila subject. Kwa hiyo ikiwa wewe ulirespond tofauti na wataalam walivyotazamia hiyo sio ajabu. Ila ikiwa subjects wengi zaidi watarespond kama wewe then hiyo medical decision inafanyiwa review. Hii bado inabaki scientific. Ila hatuwezi kuamini kuwa kwa kuwa wewe ulifanikiwa kujifungua bila C/S basi subjects kama wewe nao waruhusiwe ki hivyo kwa njia ya imani. Hapa ndiko tunapotofautiana.
 
Daaa pics hizo nimeziona kwa michuzi nikasema wacha niziweke na hapa labda kuna wengine huwa hawapendi kuingia huko...........
 
Awataka wakazi wa Loliondo, Simanjiro, Mto wa Mbu, Mererani na Arusha yote kufurika kwa wingi siku ya Alhamis hii, atakapotia timu kutoa uponyaji. Atumia mda mwingi kutaja na kurudia rudia namba zake lukuki za simu.
 
Babu uzuri wa bei yake ndio unaonesha wazi kwamba ametumwa na mungu, sio huyu msanii ndodi eti dozi ya minyoo sh laki nne, mbwa kabisa huyu.
 
Hii inaonyesha wazi jinsi watanzania wengi masikini kwa matajiri tulivyo na afya dhaifu.Tunangoja kufa tu serikali yetu imeisahau sekta ya afya tupotupo tu kwa kudra za mwenyezi mungu.Hatuna tamaduni ya kupima afya zetu pia ni ghali mno kuweza mudu vipimo vyote mihimu.Lkn jambo jingine muhimu ni vyakula tulavyo ambavyo ni chanzo pia cha baadhi ya magonjwa.Michele ya hovyo,kuku wa kisasa,mboga za msimbazi kwa utaratibu huu tutaenda fia ktk foleni kwa babu loliondo.
 
Kama ni suala la kiroho sijui kama vipimo vitasaidia.
 
Ina maana mkuu wangu Moshdar hawa wanaosema wamepona wanatutapeli?
But am not suppose to argue with you coz, Imani yangu na yako ni tofauti.
mimi na amini katika uponyaji wa bwana Yesu. wewe humwamini Yesu. wapi na wapi?.
Naomba nikujulishe kwamba damu ya yesu inaponya.

mkuu Mlachake tuwauklize wale ndugu zetu sabato masalia waliotuambia-ga watapaa kuelekea ughaibuni bila document yoyote!!!! naskia walikuwa wanamtaja mtu mmoja wanamwita yesu kuwa ndiye wanaenda kwa nguvu zake wala hawahitaji hata passoprt wala tikit.

naona na wewee unasema unamwamini huyu yesu, sawa kaka hamna shida amini tu unachotaka mradi usiwabugudhi wenzako kwa imani yako wala usilazimishe kila mtu aamini unachoamini wewe. mimi mbudha (naskia hata wahindu) hawaamini huyo yesu wako. naskia waislamu wao wanamwamini Allah na mtume Mohamed na marastafar wanamwamini Jah never die. kila mtu na imani yake mkuu, tatizo linakukuja pale unapotaka kutumia imani yako kuwadanganya watu waseme "majiiii" ili eti risasi ya jerumani isiingie na badala yake igeuke kuwa maji
 
Kwa vile ni la imani halina uhusiano na vipimo vya kisayansi kabisa!!Swala ni kwamba watu wanapona kupitia imani!
 
Back
Top Bottom