Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.


we ndo utafanya watu wasiende kudanganywa tena coz umemtaja mdanganyika mkuu kuwa naye kaenda. kama unataka kudanganya watu waende kudanganywa tafuta bac catalyst anaendana, achana na mkwere, kwanza alikwenda huko aliomba ruhusa kwa shehe yahya amtabirie kwanza??!!! teh teh teh jamani mbavu zangu, nchi hii jamani!!!!! du! hiv kama prezdaa anaongoza nchi kwa rada za kishirikina itakuwa laymen n women kudanganywa kulishwa uchafu etii ni dawa ya ngoma??? haya fungueni zipu zenu bac eti kuna dawa muone moto wake..wafuasi wa kinjekitile nyie!! haya semeni majiiiii na risasi haitaingia.....teh teh teh teeeeeee, uuuuwi, apaaa wandeeee, zama hizi za dot com bado tu tunashoiya jaman????!!!! je tutafikaaa?? chambeche mzee wangu makwaia wa kuhenga!
 
Is this material from the septic Tank?...
Lengo lako nini kuandika takamwili hizi?
Unashangaa mawaziri kwenda huko...my hairs!..Hivi kuumwa kuna uwaziri?
Kwanini usimshangae mkwere aliyekuwa wa kwanza kwenda?

umeshasema "mkwere" sasa tushangae nini tena!!!! mbona hatukushangaa wakti Shehe Yahay anampa rada za kuwaongoza wadanganyika kuwatoa dunia ya tatu kuwapeleka ya saba!!!

tafuta mfano mwingine unaoweza ku-fuel huu ujinga, huo uliotoa utafanya wadanganyika wastuke haraka....comed mpooooo, dili la kutuvunja mbavu hilo hapoooooo peupeeeeeeee!!!
 

ndugu yangu ukishangaa ya musa utayaona ya firauni...wewe wawashangaa mawaziri wakati aliewateua anaongoza nchi kwa rada za shehe yahya??!!..mtashangaa sana mwaka huu!!
 
jamaa hesabu yake nzuri, amejua akiweka bei juu maswali yatakua mengi. Vuna baba wa loliondo, ujanja si lazima ukae twn
 
Jamani, nasisitiza umakini katika jambo hili, watu wengi wamelizwa na waganga!, mganga hakubali kushindwa, yaani utashindwa wewe lakini si yeye!.

Mti mzuri utaujua kwa matunda yake!. Tuvute subira tuone mwisho wa haya. Isije ikawa Shetani anataka kudanganya watu kwamba wamepona virusi, matokeo yake wakaacha ARV, na wengine wakaanzisha maambukizi mapya kwao wenyewe na kwa wale wasio na virusi!.
 
huu ni ushirikina na usanii tu .Hakuna atayepona hii ni DECI part II ni mradi wa wakubwa, kumbukeni katika utawala wa JK kila uchaguzi unapokamilika kunaibuka miradi ya kitapeli tulianza na DECI leo tuna Loliondo.Mimi nasema SIDANGANYIKI.Kesho mtanikumbuka ninayosema leo.Kuna mafisadi watatu wamejificha hapo:
  1. Yule babu mganga
  2. Kile kijiji kinacho-host kwani kuna ushuru wa shs.20,000 kwa kila mgonjwa
  3. Wenye vyombo vya usafiri
Hebu fikiria kuna kadiriwa watu 5000 wamekwisha fika (watu 5,000 x shs.20,000) Tayari kijiji kimejikusanyia shs.100,000,000
Kwa yule mganga atakuwa ameweka kibindoni shs.2,500,000

Huu ni wizi mkubwa
 
waislamu ni wengi huko kwa sababu wana "KITI". KITI amewaruhusu waende huko. ila mwanangu kiti wakti mwingine anakuwa-ga mkaliiii...akisema mimi KITI nimesema stokiii na hatoki kweli mpaka mchinje jogoo wa kijani. kama huna toa milioni moja wapewe waungwana...teh teh teh teh!
 
Picha za pilikapilika za watu wakijaribu kupata tiba za magonjwa sugu maeneo ya Loliondo:



Picha hisani ya Mzee wa Mshitu

Mungu babaeee watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa Baba wa Mbinguni!!!! kweli Ujinga na Umaskini ni kitu mbaya sana..CCM imejua kweli ni vip waendelee kutawala wadanganyika..wape ujinga na umaskini...kwishnee khabari yao
 

Good account but is caesarian session a normal delivery?
 

TATIZO WHO hawafanyi kazi kwa kuoteshwa. watu wamejifungia labaratory wanafanya testing saa hizi wewe ukalete mambo yako ya kuoteshwa nani atakuskia?? kinjekitike at work. wewe risasi ikipigwa sema majiiiii na risasi itageuka kuwa maji na tutamshinda jerumani.....tatizo lilikuja pale jerumani katili alipoaanza kuwamiminia risasi...du!du!du, kilichoonekana ni uharo tuuuu, na hiyo ndo dawa ya kubwa jinga
 
babu anasema mtu mwingine akichuma au chimba huo mzizi wa dawa hawezi pona mpaka achimbe yeye....sasa swali je?, kuna nguvu za giza?

ndo manakee, pigia mstari, unauliza mtori uchagani?? weee vip??

pia jiulize akifa leo na dawa imekufa au??
 

hiv yule wa uganda aliyewakaanga wenzake kama mishkaki naye alikuwa mchungajieeeee???!! ok, well......
 
Juzi hapa kuna wana JF walienda huko sasa wamefikia wapi kuhusu hayo mambo maana hapa tunataka more pics na habari zaidi maana so far habari ni zile zile....tupeni more news guys.....
 
Watu wataambukizana ukimwi huko huko

natabiri huko mbeleni babu atakuja kubadilisha masharti. lazima aipake dawa kwenye nanii yake alafu akuingizie. kwa kina Hawa haitakuwa tabu, tatizo kina Adamu sasa!!!! Lazima ubong'oe....hapo chacha hapo!!!
 
Yesu alitema mate kwenye udongo, akafanya tope na kumpaka kipofu, na mara akaona.
Je wewe waweza fanya hivyo na kipofu akaona?
Je kuna maelezo scientific ya kueleza tukio hilo?
Huyu mchungaji wanasema alioteshwa na Mungu dawa hii, sasa nyinyi mnataka scientific explanation! Fikiria dawa ni moja tu kwa magonjwa yote hayo! (haya kisayansi ni magonjwa tofauti kabisa - ukimwini virus, kisukari si virus wala bacteria, kansa hivyo hivyo nk.
Mti wenyewe siyo siri amewaonyesha watu wote, ila mtu mwingine akichemshahiyo dawa maji yanabaki meupe tu ila akichemsha mganga maji yanageuka rangi na kuwa kama chai - shangaa hapo!
Kuna testmony za watu waliotumia na kupona; muanzisha thread anasema mzee wake alikuwa na kisukari na sasa kapona kabisa na wako wengi wanaokiri hivyo katika thread hizi; mwataka nini zaidi? Asiyeamini asiende anayeamini aende.
Hata wakati wa Yesu wapo ambao hawakumwamini; hata wakati wa gharika kuu wapo wengi waliokaidi, na wakati wa sodoma na gomora hivyo hivyo na wa mwisho aligeuka nguzo ya chumvi! MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Nakubaliana nawewe;
mganga hajamwambia mtu aache dozi yake ya kila siku? Wewe endelea nayo na ya mganga kunywa halafu kapime upate majibu current.
 
muulize jeikei maana amekwishaitumia kama unataka namba yake nibeepu nikupigie uongee naye

huyu alishatabiriwa na shehe yahya kuwa akilogwa tu akala dawa za hospitalini Dr Slaa anampindua hapo hapo. ameambiwa dawa yake ni ya kienyeji(sema kiafirika) na itatoka kule kung'aapo nyota ya maji ya bahari nako ni kule kuliko ule unyayo wa mtu wa kale zaid dunia umzolopagaaaaaz wa nyota ya urari, hakika ni kaskazini mashariki ya tanganyika kule walipomwaga ile damu ya Wana Wa Nchi kwa ajili ya chakula cha jini makata
 

kwanza nieleze vizuri nijue yesu ni nani/nini!! mimi ni mhindu ila wazazi wangu walikuwa wabudha

pili hilo la yesu tumeliskia jee kinjekitile alipowa-corn babu zetu waseme "majiiiiii" unajua kilichotokea jeruman alipokunya risasi zake???.......ilikuwa ni uharo tu kwa ku-go front

na kibwetere je unajua aliwafanyia nini wale wajinga wa kule uganda????........halafu bwana kibwetere sku hizi naskia yupo sehemu flan(spataji mtaenda mkamata nyie wafitini) anakula wine yake kimyaaaaaa baada ya kuwa resitisha in peace wale jamaa kwa kuwapeleka mbinguni kinamna.....kweli wajinga ndiyo waliwao!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…