hii ni kweli kabisa niliambiwa na jirani yake wa huko loliondo na dose is taken only once.
wakuu hizi habari ni kweli kabisa no joke.....i know mtu wa karibu kaenda kule na kapona ugonjwa mmoja wapo......mganga hataki zaidi ya 500 na huo mti dawa upo kila mahali ila lazima akupe yeye hayo ndio niliosikia ila its true kabisa....uliza watu wa arushab watakuambia ongezeko la magari mjini hapo
ni mti dawa...kwa mujibu wa aliokwenda na kupata matibabu pale ni kwamba unakuja unasema shinda yako then anakupa dawa ya kunywa unasepa....majibu after 7 days......Ni mti ?
... walisema anasalia maji tu! ...and you are done!
WiseLady, hii habari ina ukweli lakini wasije watu wakafunga safari kutoka mbali mpaka arumeru wakakuta patupu!!!:A S 13:
Siyo arumeru mkuu ni loliondo ni habari ya kweli kama Yoyo alivyosema na ni kweli lazma akupe yeye mwenyewe maana alioteshwa na Mungu according to yeye.Watu wamepona sasa hivi ndo habari zinaanza kusambaa kidogo kidogo
yeah man....Anatibu "HIV" au "AIDS/UKIMWI"?
yeah man.....Siyo arumeru mkuu ni loliondo ni habari ya kweli kama Yoyo alivyosema na ni kweli lazma akupe yeye mwenyewe maana alioteshwa na Mungu according to yeye.Watu wamepona sasa hivi ndo habari zinaanza kusambaa kidogo kidogo
Jesus alipewa uwezo huo mamia na maelefu walivuka mpaka kumfuata waponywe....manabii walipewa nguvu watu wavuka mabonde na milima kufuata maponyeo...suala la yeye kutochaji mahela mengi hatujui..I sometimes dont understand these things:
1. Ameoteshwa na Mungu
2.Lazima akuone ndio upone
3.Dawa ni 500 tu.
Hivi Mungu anabagua? yule bibi kizee pale mtwara ana kansa halafu nauli ya kwenda kule hana si utakufa na hiyo kansa!
Ina maana hii ni tiba kwa wenye uwezo wa hiyo 70,000 ya usafiri tu.
kwanini anacharge 500, dawa ambayo angeweza charge 100,000,000,000,000..... na akapata wateja?
I really dont know why am thi much confused any way Blue Balaa will come with the answer.(Tunaomba ukirudi tupe full data mkuu)
ila ninaamini kama Mungu amemuonyesha dawa, awaonyeshe wengine hiyo miti wajitengenezee wenyewe hizo dawa wapone.
wakuu hizi habari ni kweli kabisa no joke.....i know mtu wa karibu kaenda kule na kapona ugonjwa mmoja wapo......mganga hataki zaidi ya 500 na huo mti dawa upo kila mahali ila lazima akupe yeye hayo ndio niliosikia ila its true kabisa....uliza watu wa arushab watakuambia ongezeko la magari mjini hapo
Je anatibu magonjwa tuau anatoa na dawa kwa wenye shida yakupata mtoto? Plz nijuzen jaman nina ndugu yangu anashida hiyo. Na je wenye HIV walioanza kutumia dawa nao wanapona?
Ahsante nitafurahi ukinijuza.Ntakujuza ngoja niulize jamaa aliyeko huko.......