Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anything is possible na dawa hiyo kwa vile ni mkono wa shetani unaofanya kazi.Yeyote anayekunywa dawa hiyo ajiandae for the worst.Ni bora kumkimbilia Mungu wa kweli kwa uponyaji kuliko shetani.Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.
Generali is right.ustaarabu wa karne hii hauendani na utumbo anaofanya babu.
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.
"(MHADHIR)I" wa kijiweni ama???, huyo GF wako ulimchokonoa sana au pengine anajiandaa kwa kale kasafari ka kila mwezi! hacha watu wapone, "walioenda kwa babu ni wengi sana" so ikitokea defect kwa mtu mmoja au kumi wala sioni ajabu: muulize vizuri labda AKULIPIA DAWA au amevuruga sharti!! siyo vema kukurupuka- WANANZUONI hawakurupuki!! labda wewe ni MWANACHUO! TUPE DATA AMBAZO NI REPRESENTATIVE hapo tutakuelewa!:lol:
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.
Mkuu mwambie huyu mungu ni mmoja,awe wa babaake ama wake yeye.Je anaweza kuelezea kwa nini wachungaji au mapdre hubariki kwa maji ya bararaka? Yana kemikali yale? Na kwa dua za waislamu je zinafanyaje kazi? Zinaweza kupimwa zile..ama anaona baba yake kujaribu tiba atapoteza nin? Anaweza kucompare nauli na mateso anayopata?
acha udini. Lkn hata yesu hakuwahi kuwahdaa wanachi kama anavyofanya babu,. Baya zaidi hata majitu yaliosoma udms wakiw na maprof lkn kwa kuwa wakiristo wanaingia kwenye tego huu.
Kwani wanaompinga babu ni gazeti la waislamu la ANNUR peke yao au?mbona hata kakobe kamuita ni Deci?au naye alipata kwenye annur?he!! We una lako jambo na huna muda mrefu hapa, we si upo kule unatetea gazeti la ANNUR? Kwanza ushajiandaa kesho kwenda kuandamana?
Pengine si muumini huyo kama wewe na mimi!Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.
pengine si muumini huyo kama wewe na mimi!
Kwani wanaompinga babu ni gazeti la waislamu la ANNUR peke yao au?mbona hata kakobe kamuita ni Deci?au naye alipata kwenye annur?