Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Jenerali anajaribu kuwaonya tu kutorukia vitu bila kufanya uchunguzi, hata kama babu anasema ameoteshwa na Mungu, Je hii ni sababu tosha ya kuamini kweli uwezo wake umetoka kwa Mungu wa Abraham, Isakah na Yakobo, Mungu wa ISRAEL, je akitokea mwingine na mwingine tena je ni dhambi kuhoji kama wametumwa na Mungu huyu wa kwenye BIBLIA, Kumbuka hata shetani anaijua mistari yote ya kwenye biblia, wala haitaji kuisoma, anaitoa kichwani, tuwe waangalifu ndugu zanguni, tumezungukwa na uovu kila kona na unakuja kwa njia tofauti tofauti.
 
leo nimemdharau generali lol....huu ni wivu tena wa hali yua juu sana..........

mzee wangu miaka 9 ana kisukari.....leo amepona halafu generali anabeza?

NIMEMDHARAU SANA......kwa nini asiende loliondo huko akajionea?!!!!

mambo ya ajabu kabisa haya
 
Serikali ilipiga marufuku watu kwenda Loliondo, lakini baadaye ikasema imetengua "stop" hiyo kwa kudai kuwa, suala la tiba ya mzee huyu, inahusisha mambo ya kiimani pia.

Kitu ambacho walipaswa kufanya kujiridhisha na kutoa tamko rasmi ni:
  • Wangechukua wagonjwa kama wanne hivi kutoka katika hospitali kubwa pale Arusha; waliothibitika kuwa na maradhi makubwa kama Ukimwi, Kisukari, Kansa na Msukumo wa juu wa damu.
  • Wangewagharimia kuwapeleka Loliondo (kama wafanyavyo kugharamia tiba za kisayanzi - India)
  • Wagonjwa wangekunywa kikombe
  • Wangeondoka na wagonjwa wao, baada ya wiki moja, wangewapeleka Hospital kupima kuthibitisha kama tiba imejibu ama la
  • Then majibu wangeyaweka wazi
  • Hii ingeondoa assumptions zote za akina generali na wale wote wanaoongea kwa kutumia historia
Serikali iliyolala hata haijui ifanye nini katika case study nyepesi kama hii.
 
Taarifa umeipata chumbani kwako ukiwa na GF wako halafu unakuja kutuletea hapa...hebu toa upupu wako hapa
 
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI

he!! We una lako jambo na huna muda mrefu hapa, we si upo kule unatetea gazeti la ANNUR? Kwanza ushajiandaa kesho kwenda kuandamana?
 
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI

Hata hujui unachoandika rudi madrasa Al mdhamir kajifunze upya!
 
Aisee kazi imeanza!
Jamangu toa evidence kuwa athari za hiyo dawa ndo hizo,otherwise huu ni muendelezo wa uzushi kutoka loliondo
 
Isingekua ufisadi unaotumaliza basi Bongo ingepata bonge la Title, swali moja tu, vp redio Khery wanaendelea kubisha? ndio vizuri wasitumalizie dawa!!!! sio jini lile ni Mungu!!!!

Kwa vyovyote vile hizi ni habari nzuri.

pia

ni wakati wa watafiti makini kujichukulia fursa....kujaribu kuja na kitu more objective!!!
 
Nilijua lazima wavimbe matumbo asante kakobe kwa kutushutuwa la sivyo na mimi ningekuwa mmoja wao
 
"MHADHIRI" wa kijiweni ama???, huyo GF wako ulimchokonoa sana au pengine anajiandaa kwa kale kasafari ka kila mwezi! hacha watu wapone, "walioenda kwa babu ni wengi sana" so ikitokea defect kwa mtu mmoja au kumi wala sioni ajabu: muulize vizuri labda AKULIPIA DAWA au amevuruga sharti!! siyo vema kukurupuka- WANANZUONI hawakurupuki!! labda wewe ni MWANACHUO! TUPE DATA AMBAZO NI REPRESENTATIVE hapo tutakuelewa!:lol:

acha udini. Lkn hata yesu hakuwahi kuwahdaa wanachi kama anavyofanya babu,. Baya zaidi hata majitu yaliosoma udms wakiw na maprof lkn kwa kuwa wakiristo wanaingia kwenye tego huu.
 
mtoa mada hana thinking capacity naona akili yake imeishiwa akili aachanae na imani za watu.
 
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.

Huyo ndugu yako alikuwa mz**zi kakatazwa yeye karudia..... na bado sio kuuma tu atahara utumbo!!!!! Kwanza mlikatazwa kwenda na wenzenu mlienda kutafuta nini!!!! Kwanini hakwenda magomeni kagera kule mlikoelekezwa?????
 
Back
Top Bottom