Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute Dr Mbosha umuulize maswali hayo ya kitabibu...hata hivyo umeonyesha katika maelezo yako kuwa kuna progress changes kwenye afya ya mgonjwa,hicho ndicho muhimu na wagonjwa wanahitaji bila kujali kimetokeaje mkuuJe walijaribu kumpima PCR (Polymerase Chain Reaction) kuona kama kweli hana virusi vya UKIMWI? Maana kupanda kwa CD4+ cells si issue za kupona, kwani hata wanaotumia dawa hizi za HIV pia CD4+ cells hupanda japo kwa rate tofauti kati ya mtu na mtu. Na pia tunategemea mtu aliyepata dawa ambayo vijidudu havijatengeza usugu kuwe na undetectable viral load, ambapo japo virus wanakuwemo lakini vifaa tulivyonazo vina limit ya kuona virus, yaani wakiwa kidogo sana vifaa havitaona na hivyo vinasema huna kirusi. Sipingi dawa hii, tatizo ni mtu ni kama kweli mchakacho wa kujua kama amepona kweli umefanyika vizuri. Na zaidi, je, ni kweli alikuwa na HIV? Isije ikawa hakupimwa sawa mwanzoni na akaanzishiwa dawa. Pia mashine huwa zina False Positives.
Mtafute Dr Mbosha umuulize maswali hayo ya kitabibu...hata hivyo umeonyesha katika maelezo yako kuwa kuna progress changes kwenye afya ya mgonjwa,hicho ndicho muhimu na wagonjwa wanahitaji bila kujali kimetokeaje mkuu
Mkuu ushauri wako ni mzuri sana,lakini kwa kuwa mimi si tabibu ndio maana nikakuambia maswali yako huyu dr Mbosha angeweza kuyajibu kifasaha kama ametumia PCR au la..suala la ugonjwa ni la mtu binafsi na daktari ndio maana hatusikii mengi kutoka kwa wagonjwa.magazeti ni media tu haihitajiki mwandishi kuwa na weledi wa fani fulani yeye anaripoti matukio na wasomaji wanafuatilia kama ambavyo wewe kwa nia yako nzuri na weledi wako wa kitabibu ulitakiwa utafute ukweli huko na kuja kutujuza sio kubezaMkuu kwa sasa issue sio kumtafuta huyu dk. Mbosha, maana taarifa imeshatoka huwezi rudi na kuwaambia watu tofauti na taarifa ya awali na bado ukaeleweka vizuri na wote. Hii sio siasa ni afya ya kila mtanzania. Ku declare mtu amepona bila uthibitisho makini kutaweza kuleta athari kwa wengine na wewe ukiwemo hasa ukizingatia vifaa vya PCR haviwezi kupatikana katika primary health care. Athari kubwa ni kama dawa hii haifanyi kazi na watu wameacha dawa hapa pana uwezekano mkubwa wa kutengenezwa kirusi sugu dhidi ya dawa tulizonazo. Maana kutotumia dawa hata kwa siku mbili tatu tu, kirusi anaweza akajitengenea usugu wa dawa husika. Then what? Hatutakuwa na option nzuri za first choice drugs kwa wagonjwa wengi. Vitu vingine usivifanyie kiherehere kwa kuwa vimetoka kwenye gazeti tena lililoandikwa na mwandishi asiye mtaalamu wa kipengele husika.
Mkuu kwa sasa issue sio kumtafuta huyu dk. Mbosha, maana taarifa imeshatoka huwezi rudi na kuwaambia watu tofauti na taarifa ya awali na bado ukaeleweka vizuri na wote. Hii sio siasa ni afya ya kila mtanzania. Ku declare mtu amepona bila uthibitisho makini kutaweza kuleta athari kwa wengine na wewe ukiwemo hasa ukizingatia vifaa vya PCR haviwezi kupatikana katika primary health care. Athari kubwa ni kama dawa hii haifanyi kazi na watu wameacha dawa hapa pana uwezekano mkubwa wa kutengenezwa kirusi sugu dhidi ya dawa tulizonazo. Maana kutotumia dawa hata kwa siku mbili tatu tu, kirusi anaweza akajitengenea usugu wa dawa husika. Then what? Hatutakuwa na option nzuri za first choice drugs kwa wagonjwa wengi. Vitu vingine usivifanyie kiherehere kwa kuwa vimetoka kwenye gazeti tena lililoandikwa na mwandishi asiye mtaalamu wa kipengele husika.
gazeti halijaripoti mgonjwa kuacha dawa...ila daktari alimshauri aache kutokana na kuwa kinga yake ipo juu na haihitaji tena dawa za kurefusha uhaiMh! Hapo nilipo red hiyo ni point muhimu sana, tuache ushabiki,tuache mambo ya imani utaalam unahitajika jamani.
Mi nawaambia mkatae msikatae mkubali msikubali kwa macho yangu nimeona waliooenda kwa babu wamepona hao ni watu kadhaa na walikuwa na magonjwa unayoyaona kwa macho.
Pia leo mganga mkuu wa hospitali ya Wilaya Ngorongoro(Wasso hospitali ) amekiri kuwa kuna wagonjwa kadha ambao walikuwa wanaugua UKIMWI na sasa baada ya kutumia dawa ya babu wamepona na vipimo vimethibitisha hivyo!.Mmojawapo wa waliopona Ukimwi kaandika katika gazeti la mwananchi la leo, ukurasa wa kwanza!
Asiyeamini halazimishwi. Mwenzangu mmoja kapona kisukari kabis kwa dawa ya babu!
Mkuu ushauri wako ni mzuri sana,lakini kwa kuwa mimi si tabibu ndio maana nikakuambia maswali yako huyu dr Mbosha angeweza kuyajibu kifasaha kama ametumia PCR au la..suala la ugonjwa ni la mtu binafsi na daktari ndio maana hatusikii mengi kutoka kwa wagonjwa.magazeti ni media tu haihitajiki mwandishi kuwa na weledi wa fani fulani yeye anaripoti matukio na wasomaji wanafuatilia kama ambavyo wewe kwa nia yako nzuri na weledi wako wa kitabibu ulitakiwa utafute ukweli huko na kuja kutujuza sio kubeza