Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameoteshwa na marehemu mama yake mzazi.Huyu nae kaoteshwa na nani!??
Wafunge mpaka wao...
Hizo tafiti zilifanyika kabla ya babu hajaanza kutibu?
Hazikufanyika Tanzania?
...Maandiko matakatifu yanasemaje ukiona dalili kama hizi..?!
Nilishakuuliza kama umeokoka siku hzi...mbona hukunijibu?watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
kwa walijuao neno la mungu wala haya sio mageni masikioni mwao maana kama vile nabii isaya alivyotabiri kuzaliwa na kufa kwa mwokozi wetu Yesu miaka mingi kabla ya kuzaliwa kwa mwokozi ndivyo manabii walivyoturahisishia mambo kwa kututabiria mambo haya.
wenye macho ya rohon wataweza kupaona penye nuru na palipo na giza.
mwenye macho na aone,mwenye masikio na asikie.
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
kwa walijuao neno la mungu wala haya sio mageni masikioni mwao maana kama vile nabii isaya alivyotabiri kuzaliwa na kufa kwa mwokozi wetu Yesu miaka mingi kabla ya kuzaliwa kwa mwokozi ndivyo manabii walivyoturahisishia mambo kwa kututabiria mambo haya.
wenye macho ya rohon wataweza kupaona penye nuru na palipo na giza.
mwenye macho na aone,mwenye masikio na asikie.