Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...and vice versa is true.Jamani waacheni wenye imani zao wapone.
Imani ndo inatibu sio maji wala mizizi
Tatizo kubwa sana la maendeleo Africa ni kuwa na tafiti nyingi ambazo hazifanyiwi kazi. Tuna taarifa ya tafiti nyingi katika fani nyingi lakini taarifa hizo zinabaki mapambo katika maktaba!.
Kwa kweli ni huzuni.
. Kaka siku hizi research za promo kama redet au steadman. Ottherwise wengine Copy and paste kupata cheti tuWatafiti wengi wamekimbia hiyo fani maana wamekuwa wakifanya kazi ya bure na kuishia makabatrini
Nilishakuuliza kama umeokoka siku hzi...mbona hukunijibu?
Ndipo usiku huo huo kijana yule akatoweka kwa miezi mingi huku ndugu zake wakimtafuta kwa muda mrefu bila mafanikio.
Sasa amerudi kutoka katika 'kozi; hiyo na ndipo ameanza rasmi kutoa tiba na kinga hiyo.
Sijakuelewa mantiki ya kuleta hii thread humu,hadi sasa unaleta hii habari bado hauna imani na ndio maana unasaka watu walete ushahidi ili wajiridhishe.Babu kule yuko wazi ukichakachua unakunywa maji.Mwenyewe umelonga kuwa hakuna dawa ya kuponya kifo kwa hiyo unacholaumu ni nini!!!Unaogopa kusema ukweli kuwa huwa imani na tiba ya babu ila unatumia lugha rafiki ili usishambuliwe humu.Hakuna mtu ambae hataonja mauti hivyo kubali matokeo tu kwani hata wale waliofufuliwa na yesu(kwa imani yangu) mwishoe walikufa.na hata ambao watajitokeza kutoa ushuhuda wa babu mwisho wa siku watakufa tu.suala ni timeframe huyu kakaa siku ngapi huyu miaka mingapi.huo ndio ukweli