Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli nchi za magaribi itakuwaje! Inavyoelekea watu wanapona sema ushahidi bado! Tunahitaji mtu aliyepona aje live atuhabarishe!
Kama ni kweli nchi za magaribi itakuwaje! Inavyoelekea watu wanapona sema ushahidi bado! Tunahitaji mtu aliyepona aje live atuhabarishe!
hahahahhaha fanyeni mazoezi acheni ujinga wa kuleta heshima za muda mfupi:lol:
Kwa maana hiyo hakuna hatammoja atakae pona, maana watu wote pamoja na Babu wamejaa zambi
kafanya nini baada ya kukerwa? Nikawaida yake tu kutembele sehemu kama hizo akikosa mialiko ya nje.