Mjadala kuhusu visima vya mafuta

Mjadala kuhusu visima vya mafuta

Omela Odongo

Member
Joined
Mar 26, 2021
Posts
47
Reaction score
67

Salam wanajukwaa,.

Ninaomba tupeani elimu kuhusu visima vya mafuta kwa sababu mafuta yanatumika sana,ukiona Magari,pikipiki,bajaji,mitambo mingi ya viwanda inategemea mafuta.

Tumeshuhudia migogoro mingi hasa mashariki ya Kati kwa sababu ya mafuta sasa swali ambalo nimejiuliza hata mafuta tangu yachotwe hayaishi? au kuna bahari ya mafuta huko chini ya ardhi kama ilivyo kwenye maji na kama kuna bahari ya mafuta huko yanakopatikana kwa nini sehemu nyingine hayo mafuta yasiwepo?

Mafuta yanatokana na nini hasa? Wenye elimu kuhusu mafuta namba mnielimishe?
 
Duuuh subiria gazeti kabisa kuelezea hii mada..
 
Scientifically inasemekana ( na ndivyo ilivyo) Rufuji delta iko more ‘matured’ kwenye petroleum reservoirs kuliko hata ‘Niger delta’ ya west africa inayo mimina mafuta kweli kweli. Lakini sera mbovu na ukiritimba za Tz juu ya tafiti na uwekezaji wa petroleum industry inawakimbiza wawekezaji kuja kuitafiti na kuwekeza mafuta siyo tuu rufiji delta bali hata kwenye potential petroleum reservoirs nyingi tuu zilizopo nchini. Leo hii Uganga na hata Kenya wamefanikiwa kugundua mafuta nchini mwao kwa kushirikiana na ‘vikampuni’ vidogo vidogo vya utafiti wa mafuta, lakini sisi tumeweka vikwazo vya kufa mtu kwa makampuni makubwa na yenye uwezo kama BP, Total, petrobas etc kwa kujaribu kuilinda TPDC iliyo zeeka na kijifia kitambo..................,............,,,ila tujipe moyo labda ipo siku wajukuu na vitukuu wetu/vyetu wata elimika na kupata ujuzi wa kutafiti na kuyachimba mafuta kama alivyo kuwa anaamini Mzee Nyerere!!
 
Scientifically inasemekana ( na ndivyo ilivyo) Rufuji delta iko more ‘matured’ kwenye petroleum reservoirs kuliko hata ‘Niger delta’ ya west africa inayo mimina mafuta kweli kweli. Lakini sera mbovu na ukiritimba za Tz juu ya tafiti na uwekezaji wa petroleum industry inawakimbiza wawekezaji kuja kuitafiti na kuwekeza mafuta siyo tuu rufiji delta bali hata kwenye potential petroleum reservoirs nyingi tuu zilizopo nchini. Leo hii Uganga na hata Kenya wamefanikiwa kugundua mafuta nchini mwao kwa kushirikiana na ‘vikampuni’ vidogo vidogo vya utafiti wa mafuta, lakini sisi tumeweka vikwazo vya kufa mtu kwa makampuni makubwa na yenye uwezo kama BP, Total, petrobas etc kwa kujaribu kuilinda TPDC iliyo zeeka na kijifia kitambo..................,............,,,ila tujipe moyo labda ipo siku wajukuu na vitukuu wetu/vyetu wata elimika na kupata ujuzi wa kutafiti na kuyachimba mafuta kama alivyo kuwa anaamini Mzee Nyerere!!
Sasa hayo mafuta yanatokana na nini?nini sifa za eneo kuwa na hayo mafuta?
 
Scientifically inasemekana ( na ndivyo ilivyo) Rufuji delta iko more ‘matured’ kwenye petroleum reservoirs kuliko hata ‘Niger delta’ ya west africa inayo mimina mafuta kweli kweli. Lakini sera mbovu na ukiritimba za Tz juu ya tafiti na uwekezaji wa petroleum industry inawakimbiza wawekezaji kuja kuitafiti na kuwekeza mafuta siyo tuu rufiji delta bali hata kwenye potential petroleum reservoirs nyingi tuu zilizopo nchini. Leo hii Uganga na hata Kenya wamefanikiwa kugundua mafuta nchini mwao kwa kushirikiana na ‘vikampuni’ vidogo vidogo vya utafiti wa mafuta, lakini sisi tumeweka vikwazo vya kufa mtu kwa makampuni makubwa na yenye uwezo kama BP, Total, petrobas etc kwa kujaribu kuilinda TPDC iliyo zeeka na kijifia kitambo..................,............,,,ila tujipe moyo labda ipo siku wajukuu na vitukuu wetu/vyetu wata elimika na kupata ujuzi wa kutafiti na kuyachimba mafuta kama alivyo kuwa anaamini Mzee Nyerere!!
Kwa maendeleo ya sayansi unaweza kukuta miaka 100 ijayo mafuta yatakuwa hayana issue.
 
Utafiti wa uchimbaji wa mafuta/ crude oil/ petroleum ni expensive sana lakini ni ‘mwepesi’ na unalipa kweli kweli...........
 
Wa marekani walikuwa na fikra kama za ‘nyerere’ za kuto chimba reserve ya mafuta yao lakini miaka ya hivi karibuni walipo kuja gundua kuwa ndani ya miaka 50 ijayo mafuta na fosil fuel zingine zitakuwa hazina thamani tena kwenye ulimwengu huu wa kidigitali kwa sasa wame ya ruhusu makampuni ya utafiti na uwekezaji ya mafuta kuchimba na kuuza akiba ya mafuta walio kuwa wakiyaringia at win - win contract!
 
Mafuta yanatoa bidhaa nyingi sana katika process yake ya kuyasafisha,unapata petrol,oil,greasy,plastic,lami,Diesel mafuta ya taa "Kerosene,Jet fuel na materials kibao,

Ila Pertol toka kuchimbwa kwenye Oil rig na kutoka as a crude oil mpaka kua refined ni process ndefu sana na ni very expensive.
 
Kuna kampuni ilipewa tenda ya kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara,mnamo mwishoni mwa miaka ya 90,lakini matokeo yaliyopatikana haikutangazwa sijui kwanini,au tuseme ndiyo waliyakosa,yeyote anayafahamu atujuze.
 
Wa marekani walikuwa na fikra kama za ‘nyerere’ za kuto chimba reserve ya mafuta yao lakini miaka ya hivi karibuni walipo kuja gundua kuwa ndani ya miaka 50 ijayo mafuta na fosil fuel zingine zitakuwa hazina thamani tena kwenye ulimwengu huu wa kidigitali kwa sasa wame ya ruhusu makampuni ya utafiti na uwekezaji ya mafuta kuchimba na kuuza akiba ya mafuta walio kuwa wakiyaringia at win - win contract!
Kwa hilo namtetea Nyerere,yaani waje wachimbe mafuta halafu Pato linapopatikana wao wachukue asilimia %70,hii isingewezekana
 
Wa marekani walikuwa na fikra kama za ‘nyerere’ za kuto chimba reserve ya mafuta yao lakini miaka ya hivi karibuni walipo kuja gundua kuwa ndani ya miaka 50 ijayo mafuta na fosil fuel zingine zitakuwa hazina thamani tena kwenye ulimwengu huu wa kidigitali kwa sasa wame ya ruhusu makampuni ya utafiti na uwekezaji ya mafuta kuchimba na kuuza akiba ya mafuta walio kuwa wakiyaringia at win - win contract!
Kwa hilo namtetea Nyerere,yaani waje wachimbe mafuta halafu Pato linapopatikana wao wachukue asilimia %70,hii isingewezekana
 
Nyerere aliona mbali,tukipata mafuta mabeberu watatupiganisha vita.na imesaidia mpaka sasa tuna AMANI.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kampuni ilipewa tenda ya kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara,mnamo mwishoni mwa miaka ya 90,lakini matokeo yaliyopatikana haikutangazwa sijui kwanini,au tuseme ndiyo waliyakosa,yeyote anayafahamu atujuze.
Mkuu,research hua inafanyika pia kwa kuangalia kiwango cha mafuta kilichopo ardhini,wakikuta mafuta sio mengi basi hua kuna calculation zake,kama mafuta sio mengi basi unaweza kukuta kua gharama za kuyachimba ni kubwa kuliko thamani ya mafuta yenyewe,huenda hilo pia lilitokea japo sina uhakika na sababu kuu ya huo mpango kusitishwa.
 
Back
Top Bottom