Unaandika kisha unabonyeza Reply kwa kila moja...Naomba kuuliza
Hivi ukitaka ku-reply watu wengi kama hv kwa mara moja kama ulivofanya hapa unafanyeje fanyeje?
Km hivi hapo umeona lakini?Naam,, mwamba huyu hapa [emoji4] kikosi kinazidi kukua tu.
Hivi km hivi si unaona?Ongeza volume mkuu, kule nyuma kuna watu hawajakusikia vizuri...
Makaratasi = Cheti cha Ndoa
PiGA TEMBEAHawa viumbe sio wa kuwatendeaa haki
Wewe unawatendea haki, wao wanakutendea unyama, utapeli & wizi.
Mafantasy yote anayoona aibu kufanya na mumewe anafanyiwa anainjoiSi mpaka umkamate sasa, unagongewa na wewe hujui, anaaga yupo kwa Church kumbe yupo Kiraracha Lodge anapakwa mafuta na mjuba mmoja hivi
NakaziaMafantasy yote anayoona aibu kufanya na mumewe anafanyiwa anainjoi
Tuko REAL we falaPole sana ila nikushauri
Kama umefata mkumbo wa humu nakupa pole.... Wenzio ni entertainer humu, wakilog off , wana go there and hug their wives and kids.
Usichukue kila kitu kwenye hii mitandao unless umeridhia.
Pole sana
Aisee ! Hii kali zaidi ya bangiEwe mwanaume mbishi mbishi ambae hutaki kusikia.. nakuambia hivi oa alafu tukugongee mke wako na tukusaidie kumjaza mimba na kumzalisha ili akili ikukae sawa ....
Sasa endelea kushupaza shingo tutakuchapia mpaka ujue kwanini tunasema wanawake ni mapepo
Shauri yenu waoaji...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hili jambo linafikirisha sana yaani sometimes unaweza ukaikataa ndoa ukawa sawa lakini sometimes ukiwaza sana inaonekana kama hatuwatendei haki Wanawake
Bila Shaka unafanana na watoto wa jirani yenu! Hii issue kwako ni inborn. Unataka kulipizia ufala wa Baba yakoEwe mwanaume mbishi mbishi ambae hutaki kusikia.. nakuambia hivi oa alafu tukugongee mke wako na tukusaidie kumjaza mimba na kumzalisha ili akili ikukae sawa ....
Sasa endelea kushupaza shingo tutakuchapia mpaka ujue kwanini tunasema wanawake ni mapepo
Shauri yenu waoaji...
Unakula si gumzo baada ya muda tunakuona TV na magazeti na ww umeliwa.Ewe mwanaume mbishi mbishi ambae hutaki kusikia.. nakuambia hivi oa alafu tukugongee mke wako na tukusaidie kumjaza mimba na kumzalisha ili akili ikukae sawa ....
Sasa endelea kushupaza shingo tutakuchapia mpaka ujue kwanini tunasema wanawake ni mapepo
Shauri yenu waoaji...
Imeeleweka hyooooo1. KATAA NDOA ( HII KITU NI SAFI SANA)
2. KATAA KUNUNUA MALAYA
3. KATAA NEGOTIATION NA MASHOGA
4. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA SINGLE MATHER/SINGLE MATHER PROMAX
5. KATAA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU
6. KATA KUFANYA MASTURBATION
7. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WACHEZA NGOMA, VIGODORO NA WATU WA SHUHURI(MADERA WACHEZA UCHI)
8. KATAA KUTUMA NAURI NA PESA ZA SALON, ISIPOKUWA KAMA NA YEYE ANATUMA NA YA KUTOLEA
9. KATAA KUONGEA SANA, KUJIBISHANA NA WANAWAKE
10. KATAA KUWATAFUTA WATU, WASIO KUTAFUTA
11. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WAVAA VIPINI NA VIKUKU, BREACH,SIKIO MOJA, HERENI 6, WAPIGA TATOO,
12. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WANAWAKE WASIO JISHUGHULISHA, MIZIGO PROMAX
13. KATAA KUSOMESHA MPENZI, MKE
14. KATAA KUJIBEMBELEZA SANA, KWA WANAWAKE ( TAFUTA PESA)
15. KATAA KUBEBA POCHI YA MWANAMKE NJIANI NI USALITI WA CHAMA
16. MWANAMKE AKIKUACHA, HAKUNA KURUDI TENA, KATAA UBWEGE
NI kupiga kazi, tafuta pesa, tafuta kibunda, wakumbuke wazazi wako, kula vizuri, fanya mazoezi, tembelea Mbuga za wanyama, Mrudie Mungu wako,nunua asset za viwanja na mashamba, anzisha biashara zako, weka mbali ndoa, weka mbali wanawake hawa sio ndugu zako wapende watoto wako.
Kama ilivyo mama yake alivyoliwa akapatikana yeye!!!Analyse leo alisema kinachouma ni ule ushirikiano mke anauonyesha kitandani anapoliwa na kidume cha nje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukikaà ukitafakari inaumiza sana