Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Aisee ! Hii kali zaidi ya bangi
 
NDOA NI UTAPELI KAMA WA QNET TU KATAA KWA MOYO WOTE wanawake washakua wangese siku hizi tamaa mbele kujikuta kina kim kardashian wanataka mapenz ya wakorea wakat tuko TZ aisee kwa mliioa miaka ya 80 huko hongera kwenu ila kuanzia 90 huku usijaribu KATAA NDOA KATAA NDOA NASEMAJEEE KATAA NDOA NASEMAJEE KATAA WANAWAKE ZENU TUNAWALA MNO NA WANAWASEMA VIBAYA SANA
 
Bila Shaka unafanana na watoto wa jirani yenu! Hii issue kwako ni inborn. Unataka kulipizia ufala wa Baba yako
 
Unakula si gumzo baada ya muda tunakuona TV na magazeti na ww umeliwa.
🤣🤣🤣Kama nakuona vile.
 
Analyse leo alisema kinachouma ni ule ushirikiano mke anauonyesha kitandani anapoliwa na kidume cha nje 🤣🤣🤣

Ukikaà ukitafakari inaumiza sana
 
Imeeleweka hyooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…