Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Ewe mwanaume mbishi mbishi ambae hutaki kusikia.. nakuambia hivi oa alafu tukugongee mke wako na tukusaidie kumjaza mimba na kumzalisha ili akili ikukae sawa ....

Sasa endelea kushupaza shingo tutakuchapia mpaka ujue kwanini tunasema wanawake ni mapepo

Shauri yenu waoaji...
Aisee ! Hii kali zaidi ya bangi
 
NDOA NI UTAPELI KAMA WA QNET TU KATAA KWA MOYO WOTE wanawake washakua wangese siku hizi tamaa mbele kujikuta kina kim kardashian wanataka mapenz ya wakorea wakat tuko TZ aisee kwa mliioa miaka ya 80 huko hongera kwenu ila kuanzia 90 huku usijaribu KATAA NDOA KATAA NDOA NASEMAJEEE KATAA NDOA NASEMAJEE KATAA WANAWAKE ZENU TUNAWALA MNO NA WANAWASEMA VIBAYA SANA
 
Ewe mwanaume mbishi mbishi ambae hutaki kusikia.. nakuambia hivi oa alafu tukugongee mke wako na tukusaidie kumjaza mimba na kumzalisha ili akili ikukae sawa ....

Sasa endelea kushupaza shingo tutakuchapia mpaka ujue kwanini tunasema wanawake ni mapepo

Shauri yenu waoaji...
Bila Shaka unafanana na watoto wa jirani yenu! Hii issue kwako ni inborn. Unataka kulipizia ufala wa Baba yako
 
Ewe mwanaume mbishi mbishi ambae hutaki kusikia.. nakuambia hivi oa alafu tukugongee mke wako na tukusaidie kumjaza mimba na kumzalisha ili akili ikukae sawa ....

Sasa endelea kushupaza shingo tutakuchapia mpaka ujue kwanini tunasema wanawake ni mapepo

Shauri yenu waoaji...
Unakula si gumzo baada ya muda tunakuona TV na magazeti na ww umeliwa.
🤣🤣🤣Kama nakuona vile.
 
Analyse leo alisema kinachouma ni ule ushirikiano mke anauonyesha kitandani anapoliwa na kidume cha nje 🤣🤣🤣

Ukikaà ukitafakari inaumiza sana
 
1. KATAA NDOA ( HII KITU NI SAFI SANA)
2. KATAA KUNUNUA MALAYA
3. KATAA NEGOTIATION NA MASHOGA
4. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA SINGLE MATHER/SINGLE MATHER PROMAX
5. KATAA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU
6. KATA KUFANYA MASTURBATION
7. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WACHEZA NGOMA, VIGODORO NA WATU WA SHUHURI(MADERA WACHEZA UCHI)
8. KATAA KUTUMA NAURI NA PESA ZA SALON, ISIPOKUWA KAMA NA YEYE ANATUMA NA YA KUTOLEA
9. KATAA KUONGEA SANA, KUJIBISHANA NA WANAWAKE
10. KATAA KUWATAFUTA WATU, WASIO KUTAFUTA
11. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WAVAA VIPINI NA VIKUKU, BREACH,SIKIO MOJA, HERENI 6, WAPIGA TATOO,
12. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WANAWAKE WASIO JISHUGHULISHA, MIZIGO PROMAX
13. KATAA KUSOMESHA MPENZI, MKE
14. KATAA KUJIBEMBELEZA SANA, KWA WANAWAKE ( TAFUTA PESA)
15. KATAA KUBEBA POCHI YA MWANAMKE NJIANI NI USALITI WA CHAMA
16. MWANAMKE AKIKUACHA, HAKUNA KURUDI TENA, KATAA UBWEGE

NI kupiga kazi, tafuta pesa, tafuta kibunda, wakumbuke wazazi wako, kula vizuri, fanya mazoezi, tembelea Mbuga za wanyama, Mrudie Mungu wako,nunua asset za viwanja na mashamba, anzisha biashara zako, weka mbali ndoa, weka mbali wanawake hawa sio ndugu zako wapende watoto wako.
Imeeleweka hyooooo
 
Screenshot_20230223_211907_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom