BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Unajifariji..,ni jambo jema pia.Mnawagonga wanawake wa ovyo sio kama huyu wangu
Ukifatilia Story za Mitandaoni, unaweza amini wanawake wote/karibia wote walioolewa wanagongwa nje.Mnawagonga wanawake wa ovyo sio kama huyu wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Utajua sasa sisi huku bible tu plus kukupaka wese utashushia water la mwamposa
Kikosi kinapanukaaaaa tu
Kama unatumia web au ile app mpya kwenye kila message unayoona bonyeza +quote baada ya kubonyeza kwa message zote ulizoona unataka kureply rudi chini sehemu ya kuandika reply bonyeza insert quote kisha insert baada ya hapo unajibu moja moja unareply
Message==reply==comment;
Hehehe et walewale poleeeee
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu hivyo ni kupoteza mda huwezi quote message nyingi kwa njia hiyo
Kabisaaaa mkuu
Asee nahisi hii feature ni kwa web users only. Mana nimedanlod app mpya lakn haina option ya ku add quote.,, wakat nikiingia Kupitia web napata option ya ku add quote.
Kutumia web hua nakereka na ile pagenation.
Hao vijana wa hovyo usukumani hawapo.Vijana wengi wakataa ndoa ni wasukuma kutoka mwanza. Uko mwanza kuna nini?! Mbona lile jitu lenu mwendazake aliwaambia mfyatue watoto?
"Sitaki ushauri kwa akili zangu timamu wala sijalazimishwa nimeamua kuwa balozi wa chama"Pole sana ila nikushauri
Kama umefata mkumbo wa humu nakupa pole.... Wenzio ni entertainer humu, wakilog off , wana go there and hug their wives and kids.
Usichukue kila kitu kwenye hii mitandao unless umeridhia.
Pole sana
🤣🤣🤣🤣🤣Kama hutaki ndoa Hakikisha unatengeneza pesa za kutosha uweke na mfanyakazi awe anakusaidia kwenye ishu ndogo ndogo.
Yaani unakuta kijana wa makamo miaka 30+ na upara kichwani anakomaa kusugua sufuria
Naomba kadi kwenye chama, nimejiridhisha ndoa ni ulaghai"Sitaki ushauri kwa akili zangu timamu wala sijalazimishwa nimeamua kuwa balozi wa chama"
Mleta uzi alianza mwanzoni kwa maneno hayo
Kataa utumwaPole sana ila nikushauri
Kama umefata mkumbo wa humu nakupa pole.... Wenzio ni entertainer humu, wakilog off , wana go there and hug their wives and kids.
Usichukue kila kitu kwenye hii mitandao unless umeridhia.
Pole sana
Amini mnagonga wanawake wa ovyo kuwahi kutokeaUnajifariji..,ni jambo jema pia.
Karibu sana mkuu kadi yako inafanyiwa mchakato.Naomba kadi kwenye chama, nimejiridhisha ndoa ni ulaghai
Labda kama kuna ulozi uliomfanyia aonekane zombie mbele ya wakware nitakubali.Amini mnagonga wanawake wa ovyo kuwahi kutokea
Ahahahhaaha sawaKaribu sana mkuu kadi yako inafanyiwa mchakato.
Ndoa ni ujambazi ndugu yangu
Yaani unakuta kijana wa makamo miaka 30+ na upara kichwani anakomaa kusugua sufuria