Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kwakuwa maisha hayana uhakika wewe amua tu utakachoamua. Unaweza ukaoa ila uzeeni ukabaki mwenyewe huku duniani na unaweza usioe ila uzeeni ukawa na watoto huku duniani.Na uzeeni je? Tutasavaivu vipi?
KUBALI NDOA.Nyie si mnapenda muolewe ili mpate urahisi wa maisha mtunyonye na kale kamsemo kenu kakitapeli eti pesa ya mwanamke ni yake ya mume ya wote
KATAA NDOA
NDOA NI UNYONYAJI
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Kweli mzee watu waongo sana vijana wanaishi fresh tu na wake halafu kuna mijitu humu inasema inawalaUkifatilia Story za Mitandaoni, unaweza amini wanawake wote/karibia wote walioolewa wanagongwa nje.
Ila mtaani mambo hayako hivyo.
Boss tema mate chini.
Namjua mwanamke aliyeamua kuchepuka baada ya miaka 10 ya ndoa.
Hapana mkuu,sina mbanga hizo kabisaLabda kama kuna ulozi uliomfanyia aonekane zombie mbele ya wakware nitakubali.
HakikaUkifatilia Story za Mitandaoni, unaweza amini wanawake wote/karibia wote walioolewa wanagongwa nje.
Ila mtaani mambo hayako hivyo.
Ila Wanawake wa Mtandaoni wengi wao hawana utulivu wa akili na wana wenge sana mpaka inapelekea hata ule muonekano wa miili yao kuchakaaUkifatilia Story za Mitandaoni, unaweza amini wanawake wote/karibia wote walioolewa wanagongwa nje.
Ila mtaani mambo hayako hivyo.
Na vizazi vyako vyote mata-callMatak baba ako na mama ako
Kijana kataa ndoa.
Ndoa ni utapeli.
Ndoa ni hatari kwa afya ya mwanaume.
Ndoa haimnufaishi mwanaume.
Ndoa ipo kwa ajili ya kumnufaisha mwanamke kwa sababu kwake ni ajira ya kudumu!
Ndoa humfanya mwanaume kufa mapema. Nimeona jinsi baba Mdogo alivyokufa kizembe.
Kataa Kabisa katakata!
Kataa kwa herufi kubwa na kwa sauti nzito ya kiume.
The point is "MWANAMKE KACHEPUKA"Una uhakika gani kwamba mwanamme wake nae hajawahi kuchepuka ndani ya hyo miaka 10?
PM niliona mapicha picha yamezidi.Mbona mimi nipo? Alafu mbona umefunga mlango wa Private Administration?
Kama watoto wa baba na mama mmoja wanaweza wasipatane sembuse mtu wa kutoka culture nyingine kabisa huko utaiva naye?Idadi ya wakataa ndoa inazidi kuongezeka sababu ya kutaka uhuru.
Ukiwa kwenye ndoa umejiingiza gerezani ukitumikia masharti mpaka kufa kwako.
Si rahisi kwenye ndoa kufanya unachotaka ukilinganisha na wasio kuwa na ndoa maana ujiamlia wanachotaka.
Leo uwezi kukesha bar ovyo,kutumia pesa ovyo,starehe zisizo na sababu.
Ndio maana unaulizwa mara tatu tatu utakubari kwenye shida na rahaa.
Hapo kwenye mke sahihi wa kuoa ndio shida na wanabadilikagaBado hii si uhalalishaji wa kutokuoa.. Kuoa ni lazima changamoto ni kutafuta mtu sahihi, ukikosea we tulia tu..
Na ya nini kulalamika mtu anatombewa mke wakati yeye anatomba nje vizuri tu, kwenye suala la kusalitiana kila mmoja huwa anajiona ananhaki ya kusaliti lakini sio kusalitiwa.
Tuanze kwanza sisi kuwa waaminifu, ukitomba ujue kutombewa kupo, ukigawa utamu nje ujue nawe kuibiwa kupo.
Wote tulipaswa tujue ndoa ni nini, tunaoa kwa sababu zipi, kilq mtu anaoa kwa sababu zake binafsi,
Mie naona ndoa imeanzia katika vitabu vya dini tumeamriwa tuoe, ila tunajiolea bila kufata taratibu za dini za kumpata huyo wa kuoelewa..
Pili, tunafata baadhi ya sheria sababu zinatufavor kama vile ndoa, ila mambo mengine tunaweka kando, hatuwezi kufika.
Wote tunaotaraji kuoa siku moja tuyafanyie kazi haya..
Naijua hiyooo 🤣
Mmmh!! Nimejikaza sana ili nisicheke ila kwa hii comment sina mbavu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kijana kataa ndoa.
Ndoa ni utapeli.
Ndoa ni hatari kwa afya ya mwanaume.
Ndoa haimnufaishi mwanaume.
Ndoa ipo kwa ajili ya kumnufaisha mwanamke kwa sababu kwake ni ajira ya kudumu!
Ndoa humfanya mwanaume kufa mapema. Nimeona jinsi baba Mdogo alivyokufa kizembe.
Kataa Kabisa katakata!
Kataa kwa herufi kubwa na kwa sauti nzito ya kiume.