Mfumo walioutumia wazazi wetu, Kanuni wanazozitumia ndani ya Ndoa mpaka wamefikisha uzee sio mfumo wa sasa na sio Kanuni za sasa zinazotumiwa na Vijana WA SASA.
Hiyo ndio Sababu ya hoja za wanao kataa ndoa.
Wewe huoni kuwa wanahoja?
Kama watoto wa baba na mama mmoja wanaweza wasipatane sembuse mtu wa kutoka culture nyingine kabisa huko utaiva naye?
Finland binti na kijana wanaishi pamoja kabla ya kuoana ili wachunguzane tabia, na hiyo imewasaidia kuona kama wanafaana au laa
Huku kwetu tunauziana mbuzi kwenye gunia na tunauziana punda akiwa shambani, matokeo yake ndiyo hizo ndoa 300 zinazovunjika Dar kwa mwezi
Uzi maalumu kwa wazee wenzangu wa kukataa ndoa hapa tunajarili changamoto zetu na jinsi ya kuzikabili.
Tuliokataa ndoa, tunaenda na hizi hashtag(#).
#kataandoa
#ndoaniutapeli
#ndoaniunyonyaji
#ndoaniwizi
Liverpool VPN
dronedrake
Na wengineo
Kweli mzee watu waongo sana vijana wanaishi fresh tu na wake halafu kuna mijitu humu inasema inawala
Nashukuru Mkuu SYBUmeongea kitu cha maana sana mkuu
punguza Vitisho mkuu !Jazaneni tu ujinga, Maisha ya Mwanaume kuanzia miaka 50 nakuendelea, yanamuhitaji sana Mke .
Kumuhitaj mwanamke kwa lipi?Jazaneni tu ujinga, Maisha ya Mwanaume kuanzia miaka 50 nakuendelea, yanamuhitaji sana Mke .
Uko sahihi ni kupambana tujenge harafu tuanze kufaidi chuchu konzi hamna kuoa ni kupiga mimba tuHello balaa linaendelea hatupoi wa hatuboi.
continued assurance of excess supply of nice women and chicks in the markets can not be spoiled with marriage absurdity no no surely.
Nina ujumbe mfupi kwenu, mimi siwezi kuoa na kukiuka kanuni ya uchumi, how do we bother keeping goods in stores or stocks especially these inflammatory goods when the markets has assurance and trends ever shows extremely and excess supply of goods, the warehouses arent enough, soko itaamua itakavokuwa.
Watoto wazuri wanaingia soko kila siku tena Kwa wingi kuliko uhitaji wa soko wewe unachukua kamoja au wanne unahifidhi kama toshelevu una akili. no no
We are sure the markets is fine and from the source the farmland fertility has shown that.
If you don't have cash to buy goods on daily basis keep yours in stores, leave us those with cash and who knows the markets supply trends on our own.
Regrets is not our language we know how to behave as per market situations surely.
Ukiwaambia Mbuzi sema meeee meeee nao wakijibu meee meeee somo limeenda vizuri.
Unajuwaje utatoboa 80punguza umalaya dunia haijawai kuishiwa wanawake wazuri toka enzi za kina delila,hawa, n.k
Tafuta chombo smart ishi nayo....
Aje akuogeshe ukiishiwa nguvu 80+ age
Hio namba mbili haipo serious2 - Kampeni ya kijinga ya kataa ndoa
Hili swala la ndoa ni swala binafsi sio swala la umma. Hawajamaa wa kataa ndoa nawashangaa kwa nini wanaforce sana wenzao nini agenda nyuma ya pazia?
Watu wako kwenye ndoa kwa sababu
1. Ndoa ni Ibada
2. Ndoa inakuepusha na magonjwa
3. Ndoa inaleta familia bora. Watoto wa ndoa na walio nje ya ndoa wanatofaut kubwa sana. Malezi bora yanaanzia ndani ya ndoa. .
4. Hata nikifa leo najua hakuna mwenye kuwalea wanangu vizuri kama mama yao. Ana uchungu na damu yao
5. Kama nikoangika leo najua hakuna wa kunisimamia na kunitunza kama mke wangu. Sio mara ya kwanza ila huyu mwanamke Mungu ampe maisha marefu. Wakati nikiwa chini sana lowest of my life she was there. Niliumwa nikalazwa modern hospital hata ndugu zangu waliondoka alikesha kwenye mabench hajala hakutaka hata kupndola hospital. Namshukuru sana kwa kwel hakuwah niacha kwenye shida zangu. .
6. Toka niingie kwenye ndoa nimenawiri sana. Nimepata mafanikio makubwa sqna mbali na kujenga nimefanya maendeleo makubwa sana. .
7. Tafuta mtu sahihi ndoa sio mbaya. Unaokota wanawake au wanaume wa hovyo unakuja kulalamika. Wewe mwenyew ni mtu wa hovyo unataka upate mtu sahihi. .
KUBALI NDOA
NDOA NA MTU SAHIHI
NDOA NI MAISHA. .
Ndoa ipo kwaajili ya faida ya mke, hata watoto unaowahangaikia watakuja kukutelekeza na kumjali mama Yao, cha muhimu ni kuwa na cash na kuwapelekea moto ma pisikali kama DiamondFor sure,kaja kishabiki tuu bila hoja ya msingi saabu ya huu upepo unaopita wa kataa ndoa.
Wanadhani sifa sana kumbe ni ujinga mwingi.
Nilijua huu uzi utakuja huku [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Vijana wanaokataa ndoa wanayo hoja moja nzito sana japo wengi wao hawawezi kusema kwa sababu wanahisi jamii itawaona dhaifu vijana wengi hawana ajira rasmi yaani ajira za uhakika wengi wao wamejipanga yaani unakuta kijana ana kila kitu kama ni makazi anayo
Wanakimbilia kusema ndoa ni utapeli😂😂😂😂😂😂 kumbe hawana job/money securityVijana wanaokataa ndoa wanayo hoja moja nzito sana japo wengi wao hawawezi kusema kwa sababu wanahisi jamii itawaona dhaifu vijana wengi hawana ajira rasmi yaani ajira...
Stamina anahudhuria vikao vya wanaume na kuchua notes