Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala la upendo na ndoa ni vitu viwili tofauti kwa wanawakeKwa hiyo watu wasioe au?
Yupo ampendaye kikweli hayo maneno ya mdomoni ni utapeliMwanamke huyu huyu unaoa anakutamkia "nakupenda sana
Sawa tu kwani nani kasema ina makombo....mnavoongeaga ivo mjue mna Mama zenuMwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa.
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Huyo mwanamke uliyemuoa sio kwamba anakupenda ni wewe tu ulikuwa na kimbelembele cha kumuoa ulikuwa available man.
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Mwanamke kuwa tayari kuolewa nawe sio kwamba anakupenda ni utapeli tu.
Yule mwanaume aliyempenda lakini hakuolewa naye atakuchapia sana mkeo.
Lazima ukweli usemwe mkuuVijana mliozaliwa miaka ya 2000 mna matatizo mengi mpaka basi.
"Mwanamke kuwa tayari kuolewa na wewe sio kwamba anakupenda, ni utaperi"Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa.
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Huyo mwanamke uliyemuoa sio kwamba anakupenda ni wewe tu ulikuwa na kimbelembele cha kumuoa ulikuwa available man.
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Mwanamke kuwa tayari kuolewa nawe sio kwamba anakupenda ni utapeli tu.
Yule mwanaume aliyempenda lakini hakuolewa naye atakuchapia sana mkeo.
Tafsiri tafadhali kwa vilaza
Kwa hiyo tuwafurushe majumbani mwetu au unashauri nini ndugu mnasihi?Acheni kujipa mawazo yaliyo hasi kila muda.Mtakufa kwa sonona.Yafanyeni maisha yenu yawe mepesi.Kila muda mnatafuta kasoro tu badala ya kujipa matumaini.Kifo ki malangoni penu.Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa.
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Huyo mwanamke uliyemuoa sio kwamba anakupenda ni wewe tu ulikuwa na kimbelembele cha kumuoa ulikuwa available man.
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Mwanamke kuwa tayari kuolewa nawe sio kwamba anakupenda ni utapeli tu.
Yule mwanaume aliyempenda lakini hakuolewa naye atakuchapia sana mkeo.
Hawawezi kukukimbia wote.Huyo aliyekimbia ana malaria imepanda kichwani.Tulia.Jipe muda na utampata mwenye afya njema ya akili.Ni UKWELI MTUPU! Juzi mwanamke wangu amenikimbia. NDOA NI UTAPELI! UTAPELI! SITAKI KUSIKIA TENA MAMBO YA NDOA. IT IS VERY VERY DANGEROUS. MARRIAGE IS EVIL! NI UPUUZI MTUPU. Ndoa za kweli zilikuwa zamani. Siku hizi ni utapeli tu!
The poor one is grieving heavily!And,that's where who laughs last laughs longer!😂😂😂