Wajumbeeee salama?
Ni yuleyule Mfichua maovu ili awanusuru vijana na hili JANGA la Ndoa..!!!
Si mlishaambiwa ndoa NDOANO na MSIOE? Ila mmekuwa WABISHI..
Kwa ukweli halisi bila kuongeza Wala Kupunguza naomba kuongea na wewe ambaye .................
1. Mkeo ni askari magereza anasoma chuo Iringa na wewe ni mwalimu Songea.
Mkeo umempa ruhusa ya kusoma, akaishi off campus.
Sasa huko ghetoni kwake kuna baharia anajilalia kama yeye ndio katoa mahari.
2. Mkeo ni mwalimu ndani ya moja ya wilaya mkoa wa Songwe, mkeo ni mweupe na anashape fulani amaizing.
Basi Kuna kijana ni mtendaji wa kijiji kimoja yupo ndani ya kata hiyo hiyo anayofundisha mkeo.
Baharia anasugua mbususu ya mkeo kama kaoa yeye.
3. Mkeo anafanyia kazi moja ya chuo Iringa, na wewe upo kazini Sumbawanga.
Basi huko Iringa huko raia wanampindukia balaa na mkeo.
4. Mkeo ni askari magereza (rafiki wa 01) ambae anasoma chuo kimoja na 01.
Na wewe mwanaume ni mwanajeshi JWTZ huko Morogoro.
Yaaani baharia pamoja na kuwa una vaa magwanda yanayo ogopesha ila raia wanachomfanya mkeo huko Iringa, Dah ni machungu sanaa.
5. Mkeo anafanya Kazi private company ya kilimo huko Mngeta (Morogoro >> Ifakara ndani ndani hukoo) na wewe unaishi Morogoro mjini.
Basi bana Kuna mabosi wa kampuni wanajilia kama wao ndio wamemuoa.
6. Mkeo ni mwalimu huko Iringa, Kilolo ndani ndani huko na wewe upo sijui wapi.
Aisee mabaharia wanaruka nae hasaa.
Na mkeo ana bahasha wake mtu mzima hasa.
Mkeo anasemaga "Yule Mzee nimpeleke wapi mi nataka pesa zake tu".
Basi bana mkeo hua anasafiri kutoka Iringa mpaka Dodoma ili akakutane na huyo babu.
Mkeo anatoa utamu, babu anatoa pesa.
7. Mkeo ni Nesi ndani ya Songwe na wewe ni mwalimu Tabora.
Bana eeh Nesi bana anatibu mpaka visivyotibika huko.
7. Mkeo ni mwalimu ajira mpya za juzi ndani mkoa uliokaribu na mkoa wa Mbeya.
Sasa bana mkeo kaolewa huko, Kuna baharia alimpokea na kamfanya mkewe.
8. Mkeo ni HR, mweusi na ana chura fulani hivi amaizing.
Wewe ni muuza magodoro huko mjini ya wilaya aliyopo mkeo kama HR wa halmashauri.
Bana eeh huko kazini mabaharia nao Wana mHR chumbani..!!
9. Mkeo ni mfanyakazi bandarini Tanga na wewe upo Dar.
Aisee wasambaa wanaenda nae sawaa hasaaa.
10. Mkeo ana duka kubwaa Iringa mjini na wewe unaishi mafinga unafanya Kazi kampuni ya simu.
Bana bana mabaharia huwa wanachangia sanaa mtaji pale.
11. Mkeo ni mama mchungaji. Ni mweupe na mzuri hasaa.
Anasoma uchungaji moja ya chuo hapa nchini.
Aisee Kuna raia ni mwanafunzi mmoja wapo hapo Chuoni huwa wanakemea sanaa nae mapepo chumbani.
12. Mkeo ni engineer na kapata ajira juzi tu.
Aisee mkuu wa Idara ya ujenzi (Engineer mwenzake) kamuoa kabisaaa.
13. Mmmmh ni wengine aiseee ni wengi sanaaaa.
Nimetembea sanaa na nimejionea mengii wafanyayo wake zenu walio mbali na upeo wa macho yenu.
Hawa ndio niliokutana nao kwenye kuzurula kwangu na wengine nimewasahau.
Nachotaka kusema ni kwamba ""Wewe unayeishi mbali na mkeo, aiseee mabaharia A.K.A wakurungwa wanaruka nae hasaa""
Mabaharia hawana hurumaa kabisa na zile laki kadhaa wengine mpaka milioni huko mlizotoa za mahari.
Wao wanaruka nae bureee.
Note:-
1. Ukiamua kuoa hebu kaa na mkeo ndani ya paa moja.
2. Kama wote ni wafanyakazi basi lazima mmoja akubali kuacha Kazi ili kulea hiyo ndoa.
Vinginevyo mwanaume mwenzangu utasaidiwa sanaaa.
Na ushauri uliomkuu ni kwamba...
ACHA KUOA KABISA, MTAKUFA KWA MAWAZO NA MATESO YA NAFSI.
Nikutonye kitu;
Nimekua na safiri sanaa kununua mpunga mikoa ya Moro, Mbeya na Songwe.
Sasa ipo siku nitawaletea NYUZI ya wake zenu wanayoyafanya tunapokua nao tukinunua mpunga.
Aisee wanachofanya na huku mmewaoa tena kwa ndoa halali dah sina la kusema zaidi ya ""Mungu saidia ndoa za hawa mabaharia wenzangu""
Halafu msisahau kutafuta hela;
Yes money can't buy everything, ila HAKIKISHA una pesa nyingi kabla hujaropoka huu ujinga..!!!!
#YNWA