Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hongereni sana. Mdumu hivyo hivyo

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Nakazia hapa.
 
Yaani nasema umemfuma mkeo anagegedwa ...unamla tigo jamaa alafu wewe unamchukuwa mkeo na kurudi nae nyumbani?
Mke anakuwa kakimbia, jamaa atashughulikiwa na wahuni kama watatu hivi chini ya usimazi wa Mume wa huyo Mke[emoji28]
 
Nimecheka ila kuna ukweli
 
[emoji848][emoji134][emoji144]
 
Usiwatishe bhana,oa mwanamke unaye mmudu hasa kwenye body,ili hata akianzisha mtiti mara moja moja unamuonyesha kuwa wewe ni mwanaume,kama hakuna fimbo charaza hata kwa mkanda wa suruali,akishajua kuwa humo ndani anaishi na mwanume basi atatulia, wakati mwingine watoto wa mjini unakuwa hata na vyuma vya kunyanyua, unapiga chuma angalau mara tatu kwa juma ili awe na ka uwoga flani na wewe,lakini unaenda kuoa mke amepanda, huna zoezi hata kidogo, siku upepo ukibadilika wewe ndio unaikimbia nyumba...
 
Duh hawa viumbe ni balaa sana.....huyo kiboko mpaka kakuletea mimba ndani?
 
Wanaoa sana,huku mitaani kila siku ndoa
Ndoa za siku hizi mara nyingi wanaooa ni wanawake......yaani ni wale wenye uwezo wa kujinunulia pete , kujitolea mahari , kugharimia sherehe nk nk ili na wao waonyeshe wameolewa....lakini hakuna mwanaume mwenye pesa zake akazipoteza kwa kuoa hasa hao wanawake muchknows wakati anajua anaenda kuzimu.....labda aoe very ordinary woman ambaye hantomsumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…