Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Now days...
Women are hungry for money.
Men are hungry for pussy.

Kwenye haya mapenzi ya sasa kila mtu akija kwako ujue Kuna jambo kafata then Chunga sanaa.

"Ukiona boya kapendwa ujue Kuna fala katendwa"

Jali maisha yako achana na ya wengine.

#YNWA
 
Ikiwa "HAO WAKE " uliowataja "wanatumia lady pepeta" hakuna shida!

Ilimradi tu wasipige kavu kavu [voda -kwa -voda] siioni shida maana hapo kila mwezi mwanamke anapokaribia siku zake , yaani yai likipevuka hamu "nyege" hapanda na inapaswa apate mtu wa kumtuliza ili akili ikae sawa, kwahiyo tusiwalaumu ila tuwakumbushe tu kutumia "lay pepeta"

Kufanywa ni haki ya msingi ya Mwanamke!
 
Buda unasonona wewe nenda katibiwe..
 
Tuanzie kwanza kwako mkuu, wewe ushaoa, maana ulokole wa namna hii nshaona ukiua, jamaa aliamini mia mia, mke wake hawezi kuguswa na mtu yeyote alovyomdhania kwa msimamo alokuwa nao mkewe. Hatima yake siku anashuhudia mubashara, kunako kitanda chake ndiyo siku aliamini bora angemsikiliza nyoka kuliko mwanamke alokuwa naye. Alimnyonga mke hadi kifo, kisha yeye kujidunga visu.

Moral of the story! Amini nafsi yako pekee ukiwa duniani, maana ndo kitu ambacho hakiwezi kukusaliti!
 
Duh kwahiyo mnaoana ili Mkachepuke kwenye ndoa?!!!
Yaani unajua kabisa hili ni hatari na mnatenda.

#YNWA
Wala hakuna uhatari wowote ule , ukishajua nini cha kufanya hatari inakuwa kawaida tu, kwasababu ni kitu ambacho kwa sasa kukizuia ni asilimia ndogo sana, kuwa mke/mme asichepuke!!
 
Buda unasonona wewe nenda katibiwe..
Buda nipo kamili kwenye viunga vya kutafutia pesa nikiwa timamu.

Buda sina stress hivyo sina Sonoma (stress vs sonona = Cause and Effect relationship).

Buda ni wengi walioghairi kuoa wakina hDangote wenye pesa zao hawataki kuoa.
Hivi bill gate nae anaweza kuwa na stress na kupata sonona kwasababu ya mkewe kuachana?

Buda mtu akikikataa unachoamini wewe ni sahihi HANA KASORO ila ni MAWAZO TU MKO TOFAUTI.

Any way Niko Mbeya wiki hii, karibu MBEYA CARNIVAL tupige bia tule mbususu za kinyakyusa.

This is life LIVE IT.

#YNWA
 
Braza speaking from experience HAO WANAWAKE MNAONA WA MUNGU ni nomaaaa.

Nimesoma chuo kimoja wapo nchini kinatoa course za uchungaji.

Mwamba wakina mama wachungaji waliotoka makanisani kuja kujiendeleza walikua wanabanduliwa balaaa.

Tena mmoja mshikaji wangu alikua anapiga.

Ni mmama kabisa ila mwamba alikua anajilia kila weekend.

Women are crazy dogs except your mother...!!!

Hujaona nyuzi humu, mwanamke ni mlokole hasaa ila kazini jamaa anabandua na mumewe yupo UDOM.

Mumewe aliona mwanamke ni mlokole mwanamaombi na mwenda kanisani kumbe NDIO WALEWALE..!!

Mwamba usije kuamini aitwae mpenzi kabisaaa eti kisa ni CHURCH GIRL, SIJUI GOD FEARING WOMAN.
Ukija kujua ukweli wake UTAKUFA..!!!

#YNWA
 
Umemruhusu mkeo aje asimamie mashamba yako ya Mpunga huku ifakara.?

Basi ngoja nikusanue, kuna baharia fulani anajilia vyake na magunia ya Mpunga anaachiwa na mkeo
Mwamba nadhani hunijui..!!
Mi ni mtu ambae sina mpango wa kuoa kabisaa.

Hebu fatilia nyuzi zangu.

Sina mke na Wala SIHITAJI KUOA.

When you have money YOU HAVE EVERYTHING.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…