Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Haya maisha ni hayatabiriki. Kuna jamaa mmoja alikuwa anafanya kazi na mkewe ni mama wa nyumbani. Juzi juzi kafukuzwa kazi . Mbaya zaidi akapelekwa polisi. Hela alizokuwa nazo inabidi azitumie ili aweze kuachiwa. Sasa hivi hana hata mia, yaani ni shida tupu nyumbani. Hata kama mume ana hela jitahidi sana na wewe kujua namna ya kuzitafuta pamoja na mumeo. Huwezi jua kitatokea nini kwenye haya maisha.
 
Mie hayanikuti sababu siwezi ruhusu upuuzi[emoji28] wa kutembea na mwanamke maskini wa roho na akili!Hawa wanakuwaga pretenders sana.

A woman with a rich heart loves for real!
Mkuuu nakuamini katika kutoa elimu kwaumma,hebu nielimishe Kua masikini wa Akili naroho Nimwanamke wa Aina gani,japokua naunga mkono hoja ya Kua to most women ndoa ni Ajira aisee,huu kiukweli usiopingika naunakuta kabisa mwamba before marriage alikua fresh Tu lkn, after marriage anakumbana nahatima mbaya Yamaisha yake Kwa mgongo wawatoto
 
Nahitaji MTU ajibu Hili swali ambalo ndio msingi wakua mwanamke hapaswi kukaa Tu kama golikipa Bali aaangali shuguri yoyote yakumuingiza kipato nakujua halo yauchumi inaendaje
 
Typical alpha male,nazidi kufyonza elimu adimu ambayo hata viongozi wangu wadini wasingenipatia
 
Mwanamke maskini wa akili huwa anaamini kuwa mwanaume yupo kwa ajili ya kumfurahisha yeye tu.
She think a man owes her the world, hataki kuwa responsible in anyhow.

Maskini wa roho maana yake ni kukosa utu to the deadend. Mwanamke maskini wa roho anafikiria pesa ndio thamani zaidi ya utu. Atatanguliza maslahi in every aspect bila kujali utu. This is the worst kind of partner ever sababu tamaa yake itamfanya ashindwe kusettle siku zote na ubaya wa hawa wahivi huwa pia hawapendi wengine wapate.
 
Nafikiri sio mbaya ilimradi mmekubaliana tuu. Kwasababu mwanaume ana wajibu wa kumtunza Mwanamke kwahiyo Sio Ajira ndio mfumo ulivyo.. sasa akuzalie tuu watoto iwe halafu yeye ajitegemee impossible . Maana ya kuwa mime your responsible



Hii lugha ya “akuzalie Mtoto au watoto inatokana na nini?

Siielewagi!

Kwani inatumika surrogate procedure?

Je mwanamke anaweza kubeba mimba peke yake bila mbegu za Mwanaume?!
 
[emoji585][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
 
Nashukuru Sana mkuu,Kwa ushauri uliojaa misuli,zaidi usoache kutupia shule whenever you get time!
 
Kijana husika na kichwa hapo juu.

Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la vijana wa kileo nikiwemo Mimi kwamba katutaki kuoa kutokana na masekeseke mengi waliyonayo hawa mademu.

Ila ukweli mchungu ni kwamba tutaoa Tu.. tutake tusitake tujiandae tu Kwa hilo hakuna namna sasa.

Narudia tena... TUTAKE TUSITAKE TUTAOA TUUU.

NI WAY OUT.
 

Nilipoona unaongeza bia tu nikajua zikikolea utaanza mada zako za ajabu ajabu[emoji23]
 
Acha kutia kichwani maandishi ya humu ndani, kumbuka hii ni JamiiForums watu wanaropaka ropoka tu nyuma ya keyboard. Ukifuatilia zaidi wao wameoa ama wako kwenye michakato ya kuoa. Kikubwa za kuambiwa changanya na zako, simple tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…