Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Ukiwa MWANAUME na si mtoto wa kiume,kuanzia huyo mwanamke na hilo dawati hakuna rangi wangeacha kuona, tatizo hujasimama kama MWANAUME.

Tembelea kanda ya ziwa tukufunze namna ya kuitwa MWANAUME
 
Acha ujinga ijue sheria vitu vya kugawana ni vile ambavyo hakukuta navyo namaanisha ulivipata uko nae na sio alivyo kukuta navyo
 
Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Kwani vipi mkuu, Mali mlichuma wote...?? Na huko dhehebu gani. .
 
Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Tunaomba mkasa mzima ili kuweka uzito juu ya hoja yako.
 
Ni bora kuishi na mbwa atakusaidia kushika hata wezi..binadam tuna roho mbaya zaidi ya hayawani!Ndoa ni zaid kifungo..
 
Mtoa mada acha kututisha, yaliyokukuta wewe si lazima yatukute sisi.
 
Mali hazinyang'anywi ustawi. Anzisha ugomvi wasikuzingue
 
Kama ndoa imekushinda ni wewe, usiwakatishe tamaa wengine wanaotaka kuingia huko.
 
Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Bila shaka ulioa mwanamke mwenye kikuku, tuviatu twa manyoya, na sim yenye cover yenye tumdoli [emoji1787]
 
Mwanamke anahitaji mwanaume mbabe, mshenzi asiye na huruma

Ukijifanya Mr.love umekwenda na maji.

Usiwajali watoto kuliko kujijali wewe MWENYEWE. Hawatakusaidia lolote.

Jifunze kuwa Mwanaume ndipo uoe.

Usiendeshwe na maneno ya Mwanamke.

Akikuzingua mara moja tambaa naye mara elfu mpaka Ajue amekosea njia.

Timua
Usipotimua utatimuliwa.

Mtu ni mwanaume bado mwanamke akusumbue huo ni upumbavu
Hii naifanyia lamination [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wewe nawe usiwafokee wenzako.
Kama huna hela ya kuoa usioe, waache wenzako waoe usiwapangie.
TAFUTA HELA

Kuoa muhimu sana. Ila usiwe boya. Usiruhusu mwanamke akutie mpaka masingi. Mungu ndio maana katupa sauti ya besi, muscles [emoji1491]. Kakileta ujinga kabane ukutani huku ukiaangalia usoni kaambie in the deepest of those male voices “Don’t dare me!” Tutafute hela.
 
Back
Top Bottom