Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
-
- #961
Dear Husband,
Ni miaka Sasa hujawahi hata kunifinya nikosea unanionya kwa sauti ya msisitizo,
siku zinasonga ninazidi kuwa kijana, mapenzi nayafurahia,
nakupenda mpenzi wangu😘
umemaliza kifala sana
Kila mara aandikapo uzi wa kupinga kuoa au kuolewa anakuja na mambo yenye utata tu.Hajui na hawezi kutetea ila kukomaa tu.
Hiyo mbona kawaida.
Brother wangu alimfanyia sherehe mchepuko wake ya sendoff alikua anaolewa na kijana mwingine na amemla siku moja kabla ya send off na akaendelea kumla baada ya harusi hadi bro alipohamishwa kikazi kitoka huo mkoa.
Wake za watu ama girl friend kuendelea kuliwa na boyfriend wake wa zamani hata baada ya ndoa ni mambo ya kawaida sana.
sasa kama ndoa ni Q-net .wewe umazaliwa nje ya ndoa
Ninajua mwanaume mchicha mwiba ana mke na mtoto. Sisemi wewe ndo uko hivyo 🥴.l
Nyie kuhusu ushoga "Msijali Mimi ni lijari na Nina watoto wawili wazuri kabisaa"
Ninajua mwanaume mchicha mwiba ana mke na mtoto. Sisemi wewe ndo uko hivyo 🥴
Me nakanusha hoja yako ya kuhusianisha urijali na kuzaa.Kwahiyo wanatombew-er huwa ni mashoga?
#YNWA6
Me nakanusha hoja yako ya kuhusianisha urijali na kuzaa.
Pole kwa kutombewa Mkuu maana mawimbi ya kupigwa tukio ndo haya tunayaona 🥴
Nani kasema hivyo 🥴Kuoa hakuthibitishi urijali broo..
Mashoga wapo kila Kona, kanisani, msikitini, mtaani, makazini wapo.
Sasa unaposema "Usipooa unakuwa shoga hapo ndio nashangaa"
#YNWA
Fanya uoe kijana ukifika 40 na bado upo hapo manispaa ,utakuwa maendeleo hauna na msaidizi hauna..
Fanya uoe hao wanao watakuja kuwa na tabia za ovyo mpaka ushangae.
Sio zame izo mkuu, tafuta upendo na familia bora kwa wanao uhuni mwingine ni utoto bado akili Ina matope ..Ngoja ugonge hata 40 utakuja hapa kutafuta mke ukiwa na watoto wanne kila mmoja na mama ake.Kwani mtu mwenye Maendeleo JF unamjuaje?
Sisi kwetu hatukulelewa na wazazi,
Sisi tulilelewa na single parent MBONA HIZO TABIA HATUNA?
#YNWA
Sio zame izo mkuu, tafuta upendo na familia bora kwa wanao uhuni mwingine ni utoto bado akili Ina matope ..Ngoja ugonge hata 40 utakuja hapa kutafuta mke ukiwa na watoto wanne kila mmoja na mama ake.
Ni kweli kabisaUsiombe ukutane na mwanamke mwenye mdomo.
Utaikimbia nyumba uliyojenga mwenyewe kwa pesa zako.
#YNWA
Na mara nyingi huwa hawaoni umuhimu wa ndoaKwani wewe nawe ni zao la singo maza?
Exactly angekuwa hataman ndoa angesha move on, yaan ana conflict na nafsi yake na akili yake vinashindana kimoja kinataka ndoa kingine hakitaki tatizo ni nguvu za asili na ndoa ni kitu cha asiliNdani ya nafsi yako unakitamani sana hiki kitu ndomaana huachi kukiongelea, una mgogoro wa nafsi