uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Mpumbavu wewe. Uko busy kuzuia ndoa ili kuhamasisha ndoa za jinsia moja. Una akili timamu?
Kama ndoa imekushinda ni wewe. Pambana na hali yako. Acha wanaofaidi ndoa zao wafaidi. Kwanini uwakataze?
Jamaa katoa hoja yake nzuri, kuna sababu gani ya kumtusi?