Mpumbavu wewe. Uko busy kuzuia ndoa ili kuhamasisha ndoa za jinsia moja. Una akili timamu?
Kama ndoa imekushinda ni wewe. Pambana na hali yako. Acha wanaofaidi ndoa zao wafaidi. Kwanini uwakataze?
Definition ya Malaya sio mtu ambaye hana ndoa, ni mtu yeyote ambaye anaweza kulika na mtu yeyote kulingana na situation husika.Kampeni ya kataa ndoa ina malengo yafuatayo mbadala wa ndoa unaleta vitu vifuatavyo
- Kuhimiza watu kununua malaya kama hutakua na mahusiano ya kudumu ya mwanamke ni ngumu sana kuepukana na hii tabia
- Kuhimiza biashara ya umalaya kama mtoto anazaliwa anajua baba au mama anabadilisha partner kila siku nayeye pia atafuata hizo nyendo
😂🤣 Asa kwani ni uongo? Ndoa inataka mwanaume mwenye akili kwan mlivyoambiwa muishi nasi kwa akili mlielewa vipi?Ndio maana kwenye huu mjadala ni bora nijadiliane na mwanamume mwenzangu.
Wanawake wakiona umeandika KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI wanaanza kutunanga eti sisi mabwabwa.
Tena Kelsea anaenda mbali zaidi ana msemo wake "ndoa ni kwa ajili ya wanaume wenye akili tu" 🤣🤣🤣
We unapinga ndoa mbadala wa ndoa ni upiDefinition ya Malaya sio mtu ambaye hana ndoa, ni mtu yeyote ambaye anaweza kulika na mtu yeyote kulingana na situation husika.
Hata mkeo/mumeo anaweza akawa Malaya
Hata humu wengi waliooa ndio wanaoongoza kuleta mada za michepuko (umalaya)
Kupitia video hii hapa chini, niambie ni ndoa ngapi za kisasa zinaweza ku pass zoezi hili?
View attachment 2526158
Ndoa ni nini?We unapinga ndoa mbadala wa ndoa ni upi
Are you married or bach sugu? Just askinMnaopinga ndoa ni dhaifu, waoga wa changamoto, mmeoa au mnadate vimeo...
Jay z anandoa naye ni maskin,Ndoa ni kwa wanaume maskini. Ukiwa na hela wala hujisumbui na mambk ya ndoa. Wanawake wanjilengesha wenyewe tuu. Wee ni kabamiza bamiza tuu mbususu zao.
Nimekuuliza nijibu mbona unakwepa swali, watu wasioe mbadala wake ni upiNdoa ni nini?
Ndoa ni kiapo?
Ndoa ni sex?
Ndoa ni kuishi pamoja?
Niambie Ndoa ni nini?
natumia jF kwenye browser, na hii ndiyo options inazonipaHalafu boss wngu dronedrake naomba unifundishe jinsi ya kuandika kwa 'red colour' ili tuwasisitize kabisa juu ya kukataa Ndoa.
Hii kampeni imeshika kasi sana. Malengo yake ni nini? Na kwa nini?Jamaa katoa hoja yake nzuri, kuna sababu gani ya kumtusi?
CR7 hana ndoa, Aliko Dangote hana ndoa, Elon hana ndoa, Bezo hana ndoa, Gates hana ndoa, DiCaprio hana ndoa, Platinumz, etcJay z anandoa naye ni maskin,
Akili ya minyanduano kuwafikisha kileleni 😅😂🤣 Asa kwani ni uongo? Ndoa inataka mwanaume mwenye akili kwan mlivyoambiwa muishi nasi kwa akili mlielewa vipi?
Ndoa Ni Wizi, Na Wajinga Ndiyo wanaopigwaNinasisitiza hii kampeni hii ni hatari. Ikome.
Bill Gate kampiga china Melinda kaona ndoa michosho tuCR7 hana ndoa, Aliko Dangote hana ndoa, Elon hana ndoa, Bezo hana ndoa, Gates hana ndoa, DiCaprio hana ndoa, Platinumz, etc
wewe mchimba chumvi wa Kisewe ndiyo wa kuona umuhimu wa ndoa(Wizi)
Punguza font size basi
Nimekuuliza maana ya ndoa kwasababu najua wengi hamjui ndio maana kama umefatilia quote yangu niliyokujibu nimefuta baadhi ya maneno yakoNimekuuliza nijibu mbona unakwepa swali, watu wasioe mbadala wake ni upi
Naam,, binafsi mke wa boya yoyote akishoboka habari za kunipenda huwa naishi nae tena 6*6 huwa nahakikisha nambanjua haswa mpaka akirudi kwa mume wake wa mchongo amuone kama fu*kn boya tu..si wanatushobokea kinama [emoji16][emoji16]Wachapwe tu hamna namna unaoaje jitu limechakazwa huko weeeeh afu linakuja na mawigi yake kama msukule, piga mpini tupa huko na mawigi yao
Tena ukute CR7 ana enjoy mahusiano yake kuliko hata hao walioahidiana kifo kiwatenganisheCR7 hana ndoa, Aliko Dangote hana ndoa, Elon hana ndoa, Bezo hana ndoa, Gates hana ndoa, DiCaprio hana ndoa, Platinumz, etc
wewe mchimba chumvi wa Kisewe ndiyo wa kuona umuhimu wa ndoa(Wizi)