Kentsuhcy Wrudate
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,075
- 653
Hii ni sheria ya Tanzania tu nafkir...Ukihishi na mwanamke zaid ya miezi sita au mwaka ni ndoa tayari sikujua una upeo mdogo hivi
Tatizo lako mmekariri ndoa mpaka msikitini au kanisani niambie christiano na mtu aliyefunga ndoa kanisan au msikitin ni ipi sababu anaishi na girlfriend wake ana lala nae yaan anafanya mambo yote sawa na mtu mwenye ndoa ya kanisani au msikitini
Ndoa ni ile hali ya kuishi na mwenza wako, ukiishi na mwanamke mwaka bila hata kurashimisha kanisani au msikitini hio ni ndoa tayari sasa mtu anasema kataa ndoa kwa maana nyingine anapinga mahusiano kwa ujumla wake kama wewe unapinga mahusiano wewe ni shogaHujamuelewa mtoa mada
Dhumuni la mtoa mada limejikita kwenye sheria za kisasa ambazo zinamkandamiza zaidi mwanaume
Kama ndoa ni kusudio la Mungu ebu angalia mazingira ya ndoa zile tunazosoma kwenye vitabu vya dini na sheria zake, ndio hizi ambazo zipo sasa?
Point ya mleta mada ipo hapo
Makasiriko fcMpumbavu wewe. Uko busy kuzuia ndoa ili kuhamasisha ndoa za jinsia moja. Una akili timamu?
Kama ndoa imekushinda ni wewe. Pambana na hali yako. Acha wanaofaidi ndoa zao wafaidi. Kwanini uwakataze?
Wapi ulisikia pameandikwa MUNGU ALIOA au MUNGU ALIFUNGA NDOA ?Ndoa ni wito. Kupinga ndoa ni mpango shetani.. ili aje aintroduce ndoa zake za kishetani shetani.. kupinga ndoa ni kumpinga Mungu na mapenzi yake ya ndoa kwa mwanadamu na makusudi anayotaka yapitisha kupitia ndoa
PM mkuu 😀Naipataje niione[emoji41][emoji41][emoji41]
Sio sheria kiasili adam na hawa walivyofunga ndoa hakukua na pete, sheria wala nin lakin walifunga ndoa
😂😂😂😂Mungu alipotuweza suala la toilet halina Rihanna wa jay z ni kazi moja hivo Sina stress kabisa😂😂😂jamaa nilijua ni Timberlake mwanzoni, jamaa kamshika shika sana Rihanna, natamani ningekua yeye na wasinilipe hata senti moja
jamaa kala lita za kutosha aisee, lita za Rihanna ni Cherries iliyosagwa na kukamuliwa,
siyo za akina sophy27 wa Chanika
Mtetezi wa mashoga amekujaWapi ulisikia pameandikwa MUNGU ALIOA au MUNGU ALIFUNGA NDOA ?
Wapi ulisikia pameandikwa SHETANI ALIKATAA KUFUNGA NDOA ?
Mboni mnajimpakazia MUNGU kitu ambacho hakuwahi kukifanya na SHETANI pia mnampakazia kwa kitu ambacho hakuwahi kukifanya?
Itoshe kusema SHERIA YA NDOA ni mpango wa wanadamu sio mpango wa MUNGU wala SHETANI
Mimi mleta mada nimemuelewa amelenga nini sheria ya Ndoa inayafanya watu kupewa Cheti cha Ndoa ni sehemu ya UTAPELI WA NDOA
Sheria ya Ndoa ni MBOVU ukiiangalia kwa JICHO makini utatambua kwamba ni sheria ambayo imeegemea upande mmoja tu wa wanawake kuwanufaisha wanawake na sio vinginevyo, yaan ni sawa na sehemu ya kuwawezesha wanawake
KATAA NDOA
KATAA CHETI CHA NDOA
NDOA NI UTAPELI
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
Inategemea na wewe ulivyochagua maisha yako kuyaishiSasa "kataa ndoa" inaleta solutions kwa anachosema mleta mada?
Sasa mbona tusio na ndoa ndo tunaishi na wake za watu kwa akil kuliko wame zao????[emoji23][emoji1787] Asa kwani ni uongo? Ndoa inataka mwanaume mwenye akili kwan mlivyoambiwa muishi nasi kwa akili mlielewa vipi?
Mungu, Malaika, pamoja na shetani ni pure spirit zinakosa sifa ya ndoa. Maana ndoa ni kwa ajiri ya mwenye mwili..Wapi ulisikia pameandikwa MUNGU ALIOA au MUNGU ALIFUNGA NDOA ?
Wapi ulisikia pameandikwa SHETANI ALIKATAA KUFUNGA NDOA ?
Mboni mnajimpakazia MUNGU kitu ambacho hakuwahi kukifanya na SHETANI pia mnampakazia kwa kitu ambacho hakuwahi kukifanya?
Itoshe kusema SHERIA YA NDOA ni mpango wa wanadamu sio mpango wa MUNGU wala SHETANI
Mimi mleta mada nimemuelewa amelenga nini sheria ya Ndoa inayafanya watu kupewa Cheti cha Ndoa ni sehemu ya UTAPELI WA NDOA
Sheria ya Ndoa ni MBOVU ukiiangalia kwa JICHO makini utatambua kwamba ni sheria ambayo imeegemea upande mmoja tu wa wanawake kuwanufaisha wanawake na sio vinginevyo, yaan ni sawa na sehemu ya kuwawezesha wanawake
KATAA NDOA
KATAA CHETI CHA NDOA
NDOA NI UTAPELI
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
Unanianza upya au sio? Wewe ni Punga mzoefu au sio? Unatafuta bwana wa kukupumulia?Mtetezi wa mashoga amekuja
Mtetezi wa mashoga unayepinga vikali ndoa hutafanikiwa unataka kila mtu awe shoga hutafanikiwaUnanianza upya au sio? Wewe ni Punga mzoefu au sio? Unatafuta bwana wa kukupumulia?
Duh!...another man down...Mimi nipo kwenye ndoa na ninapambana bila kuchoka nichomoke kwenye ndoa kutokana na mambo ya ndani ya ndoa yalivyo.
Nilikuwa kimya nasoma maoni ya wanaokataa ndoa na wanaoipa chapuo ndoa.
Hoja yangu imebase kwenye mantiki zolizowekwa na sheria. Sheria ya ndoa ya Tanzania inapeleka hasara kubwa kwa wanaume na kumfaidisha sana mwanamke.
KUna vitu vingi havijakaa sawa kwenye ndoa ambavyo vinawasababisha vijana kuwa bold and clear kukataa ndoa.
- Sheria ya ndoa inamtaka mwanaume kumtunza mke wakati wote wawapo kwenye ndoa
- Sheria ya ndoa inammilikisha mwanamke mali za mwanaume za ndani ya ndoa. Hapa maana yake jasho la mwanaume linagawanywa kuwa jasho la wanandoa wote wakati wa ndoa
- Endapo wakaamua kutalikiana, mwanaume hupewa gawio lisiloakisi jasho lake na mwanamke hupata gawiwo zaidi ya jasho lake.
- Sheria ya ndoa haimpi jukumu mwanamke ndani ya ndoa bali majukumu.yote anapewa.mwanamume
Tuzungumze maboresho ya sheria ya ndoa ndipo vijana waanze kurejea ndoani.
Mie.mwenyewe nataka leo kesho.kutemana na mwanandoa mwenzangu..
hapana kwa Rihanna, nakataa katakata, bibie anakunya burritos niamini na kukojoa tequila😂😂😂😂Mungu alipotuweza suala la toilet halina Rihanna wa jay z ni kazi moja hivo Sina stress kabisa😂😂😂
Mim mtu anayepinga ndoa aseme mbadala wake
Sisi tumejikalia zetu single tunaendelea na shuguli zetu tulipe tozo,
ghafla tunasikia makelele nje kataa ndoa kataa ndoa,
Tunakaa kuuliza kwani nani anataka kuolewa na hawa watu? Nani anawalazimisha waoe?
Hatuoni mtu hata!!!!
Itakuwa ni wagonjwa wa akili wanasikia sauti zinawaambia waoe!!
Nendeni Mirembe kwa msaada zaidi tafadhali.
Be free!!!
Live your lives!!!
Mmezaliwa peke yenu mtazikwa peke yenu,
no one is forcing you to do anything!
Mngekuwa kutwa mnatuandikia experiences zenu mnavyotumia maisha yenu naturally tungewafwata ili na sisi tuishi maisha fulfilling kama yenu.
Lakini ni makasiriko na matusi tu na connections za malaya wenye gono na HIV.
You guys are depleted in everyway,
physically, mentally, emotionally, spiritually!!!
I repeat umezaliwa peke yako, utazikwa peke yako,
Do as you wish!!!!!
Wenye familia (watoto) na mnapenda familia zenu,
We see you and when we grow up we want to be like you!!! [emoji175][emoji175]
Identity crisis😂😂😂 Kwakwel mambo ni mengii..
🔥 Watu hawataki ndoa ila wanataka kuzaa na kuwa na watoto😁
🔥alafu hawataki single mothers😂😂😂,
🔥wala kuwa na watu waliolelewa na single parent kwamba watakua na malezi mabaya😂😂😂 😂
🔥wonders shall never end✌