Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Ukihishi na mwanamke zaid ya miezi sita au mwaka ni ndoa tayari sikujua una upeo mdogo hivi
Tatizo lako mmekariri ndoa mpaka msikitini au kanisani niambie christiano na mtu aliyefunga ndoa kanisan au msikitin ni ipi sababu anaishi na girlfriend wake ana lala nae yaan anafanya mambo yote sawa na mtu mwenye ndoa ya kanisani au msikitini
Hii ni sheria ya Tanzania tu nafkir...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujamuelewa mtoa mada

Dhumuni la mtoa mada limejikita kwenye sheria za kisasa ambazo zinamkandamiza zaidi mwanaume

Kama ndoa ni kusudio la Mungu ebu angalia mazingira ya ndoa zile tunazosoma kwenye vitabu vya dini na sheria zake, ndio hizi ambazo zipo sasa?

Point ya mleta mada ipo hapo
Ndoa ni ile hali ya kuishi na mwenza wako, ukiishi na mwanamke mwaka bila hata kurashimisha kanisani au msikitini hio ni ndoa tayari sasa mtu anasema kataa ndoa kwa maana nyingine anapinga mahusiano kwa ujumla wake kama wewe unapinga mahusiano wewe ni shoga
 
Mpumbavu wewe. Uko busy kuzuia ndoa ili kuhamasisha ndoa za jinsia moja. Una akili timamu?

Kama ndoa imekushinda ni wewe. Pambana na hali yako. Acha wanaofaidi ndoa zao wafaidi. Kwanini uwakataze?
Makasiriko fc
 
Ndoa ni wito. Kupinga ndoa ni mpango shetani.. ili aje aintroduce ndoa zake za kishetani shetani.. kupinga ndoa ni kumpinga Mungu na mapenzi yake ya ndoa kwa mwanadamu na makusudi anayotaka yapitisha kupitia ndoa
Wapi ulisikia pameandikwa MUNGU ALIOA au MUNGU ALIFUNGA NDOA ?

Wapi ulisikia pameandikwa SHETANI ALIKATAA KUFUNGA NDOA ?

Mboni mnajimpakazia MUNGU kitu ambacho hakuwahi kukifanya na SHETANI pia mnampakazia kwa kitu ambacho hakuwahi kukifanya?

Itoshe kusema SHERIA YA NDOA ni mpango wa wanadamu sio mpango wa MUNGU wala SHETANI

Mimi mleta mada nimemuelewa amelenga nini sheria ya Ndoa inayafanya watu kupewa Cheti cha Ndoa ni sehemu ya UTAPELI WA NDOA

Sheria ya Ndoa ni MBOVU ukiiangalia kwa JICHO makini utatambua kwamba ni sheria ambayo imeegemea upande mmoja tu wa wanawake kuwanufaisha wanawake na sio vinginevyo, yaan ni sawa na sehemu ya kuwawezesha wanawake

KATAA NDOA
KATAA CHETI CHA NDOA
NDOA NI UTAPELI
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
 
jamaa nilijua ni Timberlake mwanzoni, jamaa kamshika shika sana Rihanna, natamani ningekua yeye na wasinilipe hata senti moja
jamaa kala lita za kutosha aisee, lita za Rihanna ni Cherries iliyosagwa na kukamuliwa,
siyo za akina sophy27 wa Chanika
😂😂😂😂Mungu alipotuweza suala la toilet halina Rihanna wa jay z ni kazi moja hivo Sina stress kabisa😂😂😂
 
Wapi ulisikia pameandikwa MUNGU ALIOA au MUNGU ALIFUNGA NDOA ?

Wapi ulisikia pameandikwa SHETANI ALIKATAA KUFUNGA NDOA ?

Mboni mnajimpakazia MUNGU kitu ambacho hakuwahi kukifanya na SHETANI pia mnampakazia kwa kitu ambacho hakuwahi kukifanya?

Itoshe kusema SHERIA YA NDOA ni mpango wa wanadamu sio mpango wa MUNGU wala SHETANI

Mimi mleta mada nimemuelewa amelenga nini sheria ya Ndoa inayafanya watu kupewa Cheti cha Ndoa ni sehemu ya UTAPELI WA NDOA

Sheria ya Ndoa ni MBOVU ukiiangalia kwa JICHO makini utatambua kwamba ni sheria ambayo imeegemea upande mmoja tu wa wanawake kuwanufaisha wanawake na sio vinginevyo, yaan ni sawa na sehemu ya kuwawezesha wanawake

KATAA NDOA
KATAA CHETI CHA NDOA
NDOA NI UTAPELI
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
Mtetezi wa mashoga amekuja
 
Sasa "kataa ndoa" inaleta solutions kwa anachosema mleta mada?
Inategemea na wewe ulivyochagua maisha yako kuyaishi

Kama yeye kipaumbele chake ni furaha basi lazima aangalie namna anayoweza kuipata furaha

Furaha ina define vitu vingi, ikiwemo hata nafasi ya kuishi miaka mingi.

Pengine kabla hajaoa alikuwa akiwaza maisha ya ndoa yatamuongezea furaha zaidi

Sasa kama anaona maisha ya ndoa yanamletea stress kuliko alivyokuwa akiishi awali wakati hajaoa, si lazima afanye maamuzi anayoona kwake ni sahihi?
 
Wapi ulisikia pameandikwa MUNGU ALIOA au MUNGU ALIFUNGA NDOA ?

Wapi ulisikia pameandikwa SHETANI ALIKATAA KUFUNGA NDOA ?

Mboni mnajimpakazia MUNGU kitu ambacho hakuwahi kukifanya na SHETANI pia mnampakazia kwa kitu ambacho hakuwahi kukifanya?

Itoshe kusema SHERIA YA NDOA ni mpango wa wanadamu sio mpango wa MUNGU wala SHETANI

Mimi mleta mada nimemuelewa amelenga nini sheria ya Ndoa inayafanya watu kupewa Cheti cha Ndoa ni sehemu ya UTAPELI WA NDOA

Sheria ya Ndoa ni MBOVU ukiiangalia kwa JICHO makini utatambua kwamba ni sheria ambayo imeegemea upande mmoja tu wa wanawake kuwanufaisha wanawake na sio vinginevyo, yaan ni sawa na sehemu ya kuwawezesha wanawake

KATAA NDOA
KATAA CHETI CHA NDOA
NDOA NI UTAPELI
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
Mungu, Malaika, pamoja na shetani ni pure spirit zinakosa sifa ya ndoa. Maana ndoa ni kwa ajiri ya mwenye mwili..

Nikianza weka uthibitisho wa maandiko bado mtapinga..

Kwasababu mmeamua kumpigia kampeni shetani
 
😂😂😂 Kwakwel mambo ni mengii..
🔥 Watu hawataki ndoa ila wanataka kuzaa na kuwa na watoto😁
🔥alafu hawataki single mothers😂😂😂,
🔥wala kuwa na watu waliolelewa na single parent kwamba watakua na malezi mabaya😂😂😂 😂
🔥wonders shall never end✌
 
Mimi nipo kwenye ndoa na ninapambana bila kuchoka nichomoke kwenye ndoa kutokana na mambo ya ndani ya ndoa yalivyo.

Nilikuwa kimya nasoma maoni ya wanaokataa ndoa na wanaoipa chapuo ndoa.

Hoja yangu imebase kwenye mantiki zolizowekwa na sheria. Sheria ya ndoa ya Tanzania inapeleka hasara kubwa kwa wanaume na kumfaidisha sana mwanamke.

  1. Sheria ya ndoa inamtaka mwanaume kumtunza mke wakati wote wawapo kwenye ndoa
  2. Sheria ya ndoa inammilikisha mwanamke mali za mwanaume za ndani ya ndoa. Hapa maana yake jasho la mwanaume linagawanywa kuwa jasho la wanandoa wote wakati wa ndoa
  3. Endapo wakaamua kutalikiana, mwanaume hupewa gawio lisiloakisi jasho lake na mwanamke hupata gawiwo zaidi ya jasho lake.
  4. Sheria ya ndoa haimpi jukumu mwanamke ndani ya ndoa bali majukumu.yote anapewa.mwanamume
KUna vitu vingi havijakaa sawa kwenye ndoa ambavyo vinawasababisha vijana kuwa bold and clear kukataa ndoa.


Tuzungumze maboresho ya sheria ya ndoa ndipo vijana waanze kurejea ndoani.

Mie.mwenyewe nataka leo kesho.kutemana na mwanandoa mwenzangu..
Duh!...another man down...

Sheria inaweza kubadilishwa tu hivyo bado sio sababu yenye mantiki, ndoa zilikuwepo miaka mingi kabla ya hiyo sheria.

labda ipo sababu nyingine inayokukimbiza kuikataa ndoa yako ila hutaki kuisema.
 
Sisi tumejikalia zetu single tunaendelea na shuguli zetu tulipe tozo,

ghafla tunasikia makelele nje kataa ndoa kataa ndoa,

Tunakaa kuuliza kwani nani anataka kuolewa na hawa watu? Nani anawalazimisha waoe?

Hatuoni mtu hata!!!!

Itakuwa ni wagonjwa wa akili wanasikia sauti zinawaambia waoe!!

Nendeni Mirembe kwa msaada zaidi tafadhali.

Be free!!!

Live your lives!!!

Mmezaliwa peke yenu mtazikwa peke yenu,

no one is forcing you to do anything!

Mngekuwa kutwa mnatuandikia experiences zenu mnavyotumia maisha yenu naturally tungewafwata ili na sisi tuishi maisha fulfilling kama yenu.

Lakini ni makasiriko na matusi tu na connections za malaya wenye gono na HIV.

You guys are depleted in everyway,

physically, mentally, emotionally, spiritually!!!

I repeat umezaliwa peke yako, utazikwa peke yako,

Do as you wish!!!!!

Wenye familia (watoto) na mnapenda familia zenu,

We see you and when we grow up we want to be like you!!! [emoji175][emoji175]

Yeah this is so right!
Kama hutaki kuoa its fine tutaolewa na wanaotaka...

Using'ang'anize watu wote wakatae ndoa.

Unaez kuta ni watu wenye trauma zao za udogoni wamezaliwa kwenye familia zilizo na mpasuko.
Hawajawahi kuona what a good famy is.
 
😂😂😂 Kwakwel mambo ni mengii..
🔥 Watu hawataki ndoa ila wanataka kuzaa na kuwa na watoto😁
🔥alafu hawataki single mothers😂😂😂,
🔥wala kuwa na watu waliolelewa na single parent kwamba watakua na malezi mabaya😂😂😂 😂
🔥wonders shall never end✌
Identity crisis
 
Back
Top Bottom