Kama ni mtu wakufuatilia hii kampeni ipo karibu kila nchi ingila club house mbalimbali utakuta hii mijadala nchi tofautiHii kampeni imeshika kasi sana. Malengo yake ni nini? Na kwa nini?
Tunapaswa kuwafunza vijana namna bora ya kuishi katika ndoa na siyo kuwakatisha tamaa kuingia kwenye ndoa.
Kwani hiyo sheria kama imekosewa haiwezi kurekebishwa bila kupinga ndoa kwa vijana?
Mrengo wa kampeni hii utaleta madhara makubwa kwa vijana na nia ya kampeni hii si njema kwa vijana na taifa letu.
Ninasisitiza hii kampeni hii ni hatari. Ikome.
Kabisa Sophy.Bora umeongea ukweli hata wanawake somtym tunaaminishna hivo ni ujinga
Alafu Kuna watu wanaenjoy ndoa mbona hawawatolei mifano
Wanaume mmebakia wachache sana mzee wangu๐๐๐๐Unapinga ndoa then unapromote nini? Ushoga au unapinga ndoa na huna suluhu yake?
Kweli ndoa sio kwa kila mtu lakini usije na mabango yako hapa kupinga kusudi la Mungu, unataka tuwe na kizazi gani kisicho na wazazi wote wa kuwalea?
Kama hakukuwa na sheria tuambie maana halisi ya ndoa ni nini?Sio sheria kiasili adam na hawa walivyofunga ndoa hakukua na pete, sheria wala nin lakin walifunga ndoa
Wana stress ๐Ndoa nzuri hawaziletagi humu. Kuna mtu siku alianzisha uzi anamsifia mke wake, ndoa yake kiujumla ni nzuri anaifurahia heee kuna genge lilivamia ooh subiri mkae miaka 20 ndio uje useme ndoa nzuri [emoji23] nikasema kwa hizi akili ni haki yao kukataa ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu mwenzangu nakusabahi๐Ndoa ni wito. Kupinga ndoa ni mpango shetani.. ili aje aintroduce ndoa zake za kishetani shetani.. kupinga ndoa ni kumpinga Mungu na mapenzi yake ya ndoa kwa mwanadamu na makusudi anayotaka yapitisha kupitia ndoa
Sema tena tofauti inakuja mazingira ya unapofanyia hilo tukio sasa ๐ ๐ ๐๐๐๐๐Mungu alipotuweza suala la toilet halina Rihanna wa jay z ni kazi moja hivo Sina stress kabisa๐๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwakwel mambo ni mengii..
[emoji91] Watu hawataki ndoa ila wanataka kuzaa na kuwa na watoto[emoji16]
[emoji91]alafu hawataki single mothers[emoji23][emoji23][emoji23],
[emoji91]wala kuwa na watu waliolelewa na single parent kwamba watakua na malezi mabaya[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23]
[emoji91]wonders shall never end[emoji111]
Ndoa ni utapeli kwako, kwako ww unaouona huo utapeli. Ila kuna wengine ndoa ni baraka na wanaziona hizo baraka. Sasa la muhimu kuheshimiana maamuzi. Kama ambavyo inakera kushawishiwa uoe ndivyo inavyokera kushawishi watu wasioe. Kila mtu avune anachopanda.Haya ya kuambiwa ukichanganya na akili yako utaona kwel ndoa ni utapel
Sheria ya Ndoa na kufunga Ndoa ni mfumo wa wanadamu sio MUNGU wala SHETANI kwa hio usichanganye mada kwamba wanaopinga Ndoa basi wanapingana na MUNGU, wanadamu wameunda hio sheria ya Ndoa sio MUNGU wala SHETANI alieunda SHERIA YA NDOA amka kutoka kwenye huo usingizi wa kifo,Mungu, Malaika, pamoja na shetani ni pure spirit zinakosa sifa ya ndoa. Maana ndoa ni kwa ajiri ya mwenye mwili..
Nikianza weka uthibitisho wa maandiko bado mtapinga..
Kwasababu mmeamua kumpigia kampeni shetani
Wewe ni wale wanaochukia wanawake, watu toxic Km nyingi mlitakiwa msiwepo kny hii forum kuwa influence wengine upuuziPia ndoa ni kwa wanawake mabikra tu, wenye mabwawa wabaki kuchapwa na kutupwa.View attachment 2526119
Wewe ni team kataa ndoa hatuwezi kuelewana.Ungeangalia kipndi cha dadaz jana east Africa tv vile vidada vilivyokuwa vinashadadia vitapata nn ndoa ikivunjika au me akifa , ndo utajua sasa iv ndoa ni mitaji na utapel kwa wanaume .
Oooh! Halleluja ...mwanadamu mie mzima kabisaa.. Mungu ni mwema. Waendeleaje ewe mwanadamu.. nasikia mmeishapokea mishahara nije kuomba hela ๐ ๐ ๐Binadamu mwenzangu nakusabahi๐
Wadada kamwe hawawezi potezea cheti , wanavificha hatariKuna mtu humu amesema kama cheti kingekuwa kinatolewa miezi kadhaa baada ya ndoa basi %kubwa ya vyeti hivyo vingetelekezwa vinakotolewa
Wewe ni wale wanaochukia wanawake, watu toxic Km nyingi mlitakiwa msiwepo kny hii forum kuwa influence wengine upuuzi
Hata ukiandika kigalatia hakuna ndoa.Sisi tumejikalia zetu single tunaendelea na shuguli zetu tulipe tozo,
ghafla tunasikia makelele nje kataa ndoa kataa ndoa,
Tunakaa kuuliza kwani nani anataka kuolewa na hawa watu? Nani anawalazimisha waoe?
Hatuoni mtu hata!!!!
Itakuwa ni wagonjwa wa akili wanasikia sauti zinawaambia waoe!!
Nendeni Mirembe kwa msaada zaidi tafadhali.
Be free!!!
Live your lives!!!
Mmezaliwa peke yenu mtazikwa peke yenu,
no one is forcing you to do anything!
Mngekuwa kutwa mnatuandikia experiences zenu mnavyotumia maisha yenu naturally tungewafwata ili na sisi tuishi maisha fulfilling kama yenu.
Lakini ni makasiriko na matusi tu na connections za malaya wenye gono na HIV.
You guys are depleted in everyway,
physically, mentally, emotionally, psychologically, spiritually!!!
I repeat umezaliwa peke yako, utazikwa peke yako,
Do as you wish!!!!!
Wenye familia (watoto) na mnapenda familia zenu,
We see you and when we grow up we want to be like you!!! ๐๐
Mzee nakuheshimu jiheshimu, sio kila unaemuona humu JF ni saizi yako kumsemea vile unavyojisikia kumsemea wewe jitunzie heshima yako, niheshimu nikuheshimu usivuke mipaka kumdandia kila mtu usiemjua utakuja kuumia vibayaMtetezi wa mashoga unayepinga vikali ndoa hutafanikiwa unataka kila mtu awe shoga hutafanikiwa
Ni kweli kabisaWadada kamwe hawawezi potezea cheti , wanavificha hatari