Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hii kampeni imeshika kasi sana. Malengo yake ni nini? Na kwa nini?

Tunapaswa kuwafunza vijana namna bora ya kuishi katika ndoa na siyo kuwakatisha tamaa kuingia kwenye ndoa.

Kwani hiyo sheria kama imekosewa haiwezi kurekebishwa bila kupinga ndoa kwa vijana?

Mrengo wa kampeni hii utaleta madhara makubwa kwa vijana na nia ya kampeni hii si njema kwa vijana na taifa letu.

Ninasisitiza hii kampeni hii ni hatari. Ikome.
Kama ni mtu wakufuatilia hii kampeni ipo karibu kila nchi ingila club house mbalimbali utakuta hii mijadala nchi tofauti
 
Unapinga ndoa then unapromote nini? Ushoga au unapinga ndoa na huna suluhu yake?

Kweli ndoa sio kwa kila mtu lakini usije na mabango yako hapa kupinga kusudi la Mungu, unataka tuwe na kizazi gani kisicho na wazazi wote wa kuwalea?
Wanaume mmebakia wachache sana mzee wangu😍😍😍😍
 
Ndoa nzuri hawaziletagi humu. Kuna mtu siku alianzisha uzi anamsifia mke wake, ndoa yake kiujumla ni nzuri anaifurahia heee kuna genge lilivamia ooh subiri mkae miaka 20 ndio uje useme ndoa nzuri [emoji23] nikasema kwa hizi akili ni haki yao kukataa ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wana stress 😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwakwel mambo ni mengii..
[emoji91] Watu hawataki ndoa ila wanataka kuzaa na kuwa na watoto[emoji16]
[emoji91]alafu hawataki single mothers[emoji23][emoji23][emoji23],
[emoji91]wala kuwa na watu waliolelewa na single parent kwamba watakua na malezi mabaya[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23]
[emoji91]wonders shall never end[emoji111]

Umenena vyema sis[emoji119]

Na wanawake wakikataa kuwabebea mimba itakuaje?
 
Haya ya kuambiwa ukichanganya na akili yako utaona kwel ndoa ni utapel
Ndoa ni utapeli kwako, kwako ww unaouona huo utapeli. Ila kuna wengine ndoa ni baraka na wanaziona hizo baraka. Sasa la muhimu kuheshimiana maamuzi. Kama ambavyo inakera kushawishiwa uoe ndivyo inavyokera kushawishi watu wasioe. Kila mtu avune anachopanda.

Hatuwezi kufanana na HAKUNA KAMPENI INAYOWEZA KUFANIKISHA BINADAMU WAFANANE MAAMUZI.
 
Mungu, Malaika, pamoja na shetani ni pure spirit zinakosa sifa ya ndoa. Maana ndoa ni kwa ajiri ya mwenye mwili..

Nikianza weka uthibitisho wa maandiko bado mtapinga..

Kwasababu mmeamua kumpigia kampeni shetani
Sheria ya Ndoa na kufunga Ndoa ni mfumo wa wanadamu sio MUNGU wala SHETANI kwa hio usichanganye mada kwamba wanaopinga Ndoa basi wanapingana na MUNGU, wanadamu wameunda hio sheria ya Ndoa sio MUNGU wala SHETANI alieunda SHERIA YA NDOA amka kutoka kwenye huo usingizi wa kifo,

Sheria ya Ndoa ni mbovu kuwahi kutokea ni Ina mambo yaliyopitwa na wakati inabidi ifanyiwe maboresho (updates), hicho ndicho kitu watu wanakizungumzia haswa wakihitaji sheria ya Ndoa ifanyiwe marekebisho maana kwa jinsi ilivyo ni sawa na sheria ambayo haitendi haki ni sheria ambayo bias zaidi kwa kuegemea upande mmoja tu, jaribu kuelewa kwanza ndio utoe maelezo
 
Tatizo ni namna ya kumpata mwenza wako, hakika ukipata mwanamke mwema anaejitambua maisha ya ndoa ni matamu sana, tena sana. Hebu chunguza kwa makini ili uone watu wanaoishi kwa upendo wa hali ya juu. Jaribu kutafuta ukaribu na wao ili uwaulize kuwa walifanya nini, au ni bahati tu katika maisha?
 
Sisi tumejikalia zetu single tunaendelea na shuguli zetu tulipe tozo,

ghafla tunasikia makelele nje kataa ndoa kataa ndoa,

Tunakaa kuuliza kwani nani anataka kuolewa na hawa watu? Nani anawalazimisha waoe?

Hatuoni mtu hata!!!!

Itakuwa ni wagonjwa wa akili wanasikia sauti zinawaambia waoe!!

Nendeni Mirembe kwa msaada zaidi tafadhali.

Be free!!!

Live your lives!!!

Mmezaliwa peke yenu mtazikwa peke yenu,

no one is forcing you to do anything!

Mngekuwa kutwa mnatuandikia experiences zenu mnavyotumia maisha yenu naturally tungewafwata ili na sisi tuishi maisha fulfilling kama yenu.

Lakini ni makasiriko na matusi tu na connections za malaya wenye gono na HIV.

You guys are depleted in everyway,

physically, mentally, emotionally, psychologically, spiritually!!!

I repeat umezaliwa peke yako, utazikwa peke yako,

Do as you wish!!!!!

Wenye familia (watoto) na mnapenda familia zenu,

We see you and when we grow up we want to be like you!!! 💗💗
Hata ukiandika kigalatia hakuna ndoa.
 
Mtetezi wa mashoga unayepinga vikali ndoa hutafanikiwa unataka kila mtu awe shoga hutafanikiwa
Mzee nakuheshimu jiheshimu, sio kila unaemuona humu JF ni saizi yako kumsemea vile unavyojisikia kumsemea wewe jitunzie heshima yako, niheshimu nikuheshimu usivuke mipaka kumdandia kila mtu usiemjua utakuja kuumia vibaya
 
Back
Top Bottom