Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hivi hizi Kampeni zinazoendeshwa za Wanaume kukataa Ndoa zina fadhiriwa na nani na kwa lengo gani?

Imagine Wazee wetu wasinge mwoa Bi Mkubwa wako, leo hii mngekuwa hapo mlipofikia?

Familia ndiyo Msingi wa Jamii bora, ndiyo msingi wa Serikali imara.

Nadhani badala ya kuhimizana kukataa Ndoa, ni vyema kuhimizana kupiga goti kwa Mungu kuomba akujalie kupata mke mwema. Wanasema Mke mwema hutoka kwa Bwana.

Tukiacha haya mambo yakue na kuchipua kuna hatari ya kuwa na jamii ya hovyo sana huko mbele ya safari.
Ushasema wazee tatizo lilianzia Beijing 1995 hapo ndipo mvurugano ukaingia mpaka 2002 Sheria ya Ndoa ikaongezwa udambwi dambwi wa kumbeba mwanamke, kuanzia hapo mwanaume anaipatapata ya Moto kwenye Ndoa ni mtifuano kwa kwenda mbele
 
UFUNUO 21:8
Bali WAOGA, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
I see. Yani WAOGA+Wasio amini +wachukizao+wauaji+wazinzi +Wachawi+waabu sanamu +waongo =MOTONI..
Therefore :WOGA ni dhambi.
 
Nashangazwa na mnaopenda kutumia mahusiano ya watu ambao sio jamaa zenu wala ndugu zenu. Hivi kwenye ukoo wenu wote umekosa ndugu yako hata mmoja ambaye anaweza kuwa role model wako ?
Huwez kuwa na role model alie ishi kwenye ndoa za mifumo dume , ndoa zinazomnufaisha mwanaume na kumheshimisha mwanamke na kumlinda, ndoa ni mfumo wa zamni ila upo kwenye usasa wa haki sawa huku kisheria mwanaume kakanyagwa shingoni , kataa ndoa mpka serikali ibadili sheria kandamiz za ndoa.
 
Ni yule niliyemshauri mda mwingi tukiwa sehemu za starehe kitambaa cheupe tukipata K vant kubwa na Windhoek za Kopo baridi, mda mwingi tuliwaza pesa na kula bata ila mwenzangu akawa busy kukusanya pesa za Mahali. Nilikwambia hiyo million mbili bora twende kidimbwi tuagize kuku wa kuchoma na jack Daniel kubwa ila akasema mimi sio mtu mzuri namfudisha upumbavu

Vijana nawasihi mjipende wenyewe kwanza, hawa wanawake siku hizi wamekuwa tooo cheap Sasa unaowa ili iweje. Unaleta stress za ajabu tu nakujaza majukumu ndani ya Familia unakosa hata pesa ya kula kitumbua barabarani mda wote unawaza bajeti ya kula na kusomesha watoto

Sasa kwakumalizia jamaa kaja kwangu Jana usiku analia anaomba msaada mke wake kamtoroka alimtumia meseji akasema hawezi ishi na JITU ambalo halina pesa. Ona Sasa haya mambo, kabla ya sasa jamaa alikuwa yupo vzr ila mke ndokamfilisi. Jamaa kawajengea wakwe zake ila wazazi wake wa kumzaa wanaishi kwenye banda la nyasi na kuta la Mavi ya punda. Mke wake waliyeachana saizi yupo Kwa wazazi wake anakaa kwenye mjengo mpyaa ambao jamaa aliwajengea

Finally, jamaa yupo hapa kwangu mda huu Hana hata pakulala mke ameuza kila kitu kodi ya nyumba anadaiwa. Linakoroma tu sijui nilipake mafuta [emoji30][emoji31]🥱
Na story ya kutunga. We mwalimu em tafuta hela
 
Mkuu sina ndoa ila huu ulioongea apa ni ujinga wake za watu kibao wanakuja kukopa kwangu wa kuofa papuchi , mkuu walisheni wake zenu msipowalsha ssi tutawalisha na mimba tutawapa .

hao ni malaya tu wanaoolewa kwa kigezo cha tako na sura
 
Hivi hizi Kampeni zinazoendeshwa za Wanaume kukataa Ndoa zina fadhiriwa na nani na kwa lengo gani?

Imagine Wazee wetu wasinge mwoa Bi Mkubwa wako, leo hii mngekuwa hapo mlipofikia?

Familia ndiyo Msingi wa Jamii bora, ndiyo msingi wa Serikali imara.

Nadhani badala ya kuhimizana kukataa Ndoa, ni vyema kuhimizana kupiga goti kwa Mungu kuomba akujalie kupata mke mwema. Wanasema Mke mwema hutoka kwa Bwana.

Tukiacha haya mambo yakue na kuchipua kuna hatari ya kuwa na jamii ya hovyo sana huko mbele ya safari.

Na hao wasiotaka kuoa moto wao upo hapa hapa chini,labda mtu aombe afe akiwa kijana.
uzeeni anatubu dhambi zote,hata akiona mbuzi anapita anajihisi naye alimkosea anaungama tuu
Marriage is the biggest scam in world's history
 
Kusema ukweli kama huna vitu hivi vitatu muhimu achana kuoa utakufa unalalamika.
1. Mwanaume kama huna akili za kutosha achana na ndoa
2. Mwanaume kama huna wakika wa kipato cha kuendeshea maisha na maendeleo achana na wanawake.
3. Kama huna emotional intelligence, ya kubance ndoa na mke acha kuoa.
📌📌📌🔨🔨🔨 Nakazia
 
Mkuu usfkir hiz kampeni za kataa ndoa mpka znashika kasi hivi , na kuwababaisha malegend wa hapa kama kina mshana mpka wanaanzisha uzi kimihemko hazina mashko., jiulize kwa nin mwanaume akiishi na mwanamke bla ndoa,mwanamke aspo mbana afunge ndoa , me anavunga?
Mbona miaka ya 90 hadi 2000 hakukuwa na mambo hayo, kila familia inajua umuhimu wa kijana wao kuoa/kuolewa.

Turudi kwenye asili yetu wakuu
 
Ushasema wazee tatizo lilianzia Beijing 1995 hapo ndipo mvurugano ukaingia mpaka 2002 Sheria ya Ndoa ikaongezwa udambwi dambwi wa kumbeba mwanamke, kuanzia hapo mwanaume anaipatapata ya Moto kwenye Ndoa ni mtifuano kwa kwenda mbele
Kabla hujaingia kwenye ndoa, vyema kumshirikisha Mungu
 
Kabla hujaingia kwenye ndoa, vyema kumshirikisha Mungu
Nilikua kwenye mahusiano na binti mmoja hivi alikua anajifanya mlokole kumbe ni bonge moja la Mdangaji, siku nmekuta WhatsApp kwenye simu yake kaitumia njemba picha za uchi ndio nilipoona Ndoa ni ubatili

KATAANDOA
NDOANIWIZI
NDOANIUTAPELI
USIOE
 
Nilikua kwenye mahusiano na binti mmoja hivi alikua anajifanya mlokole kumbe ni bonge moja la Mdangaji, siku nmekuta WhatsApp kwenye simu yake kaitumia njemba picha za uchi ndio nilipoona Ndoa ni ubatili

KATAANDOA
NDOANIWIZI
NDOANIUTAPELI
USIOE
Ulimshirikisha Mungu kwenye kuomba huyo mchumba?
 
Back
Top Bottom