Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanawake wawe nazo hizo Akili sasa sio hawa wa kushikiwa Akili na wenzao
Sahihi pia. Tunaanza na Me sababu nyie ndio vichwa vya familia. Ujue mwanaume ukiwa unajitambua unaweza kumshape Ke akakaa kwenye mstari.Na wanawake wawe nazo hizo Akili sasa sio hawa wa kushikiwa Akili na wenzao
Ni kweli lakini wachache wapo tayar kubadilika wanawake wa saiv wengi much know ukimuelekeza hivi anaona ka unamnyanyasa unakuta anaamini zaid ushauri anaopewa na ma shoga zake huko kuliko kukusikiliza ww mume wake sasa uta mshape vipi??Sahihi pia. Tunaanza na Me sababu nyie ndio vichwa vya familia. Ujue mwanaume ukiwa unajitambua unaweza kumshape Ke akakaa kwenye mstari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule Askari wa Zanzibar alieliwa juzi alikua mwana ndoa em leteni facts zitazowabadilisha vijana ili waoe lakini sio kuleta nonsense ka hiziNyuma ya ajenda yenu ya kukataa ndoa ndio mnahimiza U-LGBTQ.....wazee wa upinde kasi yenu kubwa sana
Ikifika hapo basi tena hakuna namna unakua umeoa kimeo.Ni kweli lakini wachache wapo tayar kubadilika wanawake wa saiv wengi much know ukimuelekeza hivi anaona ka unamnyanyasa unakuta anaamini zaid ushauri anaopewa na ma shoga zake huko kuliko kukusikiliza ww mume wake sasa uta mshape vipi??
Ndio hapo sasa wanawake wa saiv wanapofeli ni kuanza kumchukulia mme wake kama mshindani sio mume anayatakiwa kumsikiliza nadhani wanaharibiwa Sana na hawa ma feminist ambao wao mahusiano yao na wanaume yalishawashinda
Hakika.Ndio hapo sasa wanawake wa saiv wanapofeli ni kuanza kumchukulia mme wake kama mshindani sio mume anayatakiwa kumsikiliza nadhani wanaharibiwa Sana na hawa ma feminist ambao wao mahusiano yao na wanaume yalishawashinda
Hzo ni zuga tu,lgbtq wanaingia kwenye ndoa kuzuga tu ila ukweli marinda washatatuliwa na wengi wanaingia ili kutojulikana na kupunguza pressure kwao ila mlioamua kujilipua ndio kama hvyo mmekuja nYule Askari wa Zanzibar alieliwa juzi alikua mwana ndoa em leteni facts zitazowabadilisha vijana ili waoe lakini sio kuleta nonsense ka hizi
Kula vizuriMaana ya Ndoa
Ndoa ni muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke, walio amua kwa ridhaa yao wenyewe kuishi pamoja kama mke na mume mpaka mwisho wa maisha yao ya ndoa.
Aina za ndoa kwa mujibu wa sheria
Kuna aina mbili tu za ndoa zinazotambulika na sheria ya ndoa Tanzania
Ndoa hizo zinaweza kusherehekewa kufuatana na misingi na taratibu za kidini, kimila au kiserekali, kushuhudiwa na watu wasiopungua wawili na kusajiliwa kwa mujibu wa sheria.
- Ndoa ya mke mmoja na mume mmoja tu.
- Ndoa ya wake wengi.
Hatua za kuchukua kabla ya ndoa kufungwa
KUSAJILI NDOA
- Lazima taarifa ya nia ya kufunga ndoa itolewe siku 21 kabla ya ndoa kufungwa, kama kutakuwa na mwenye pingamizi budi litolewe itoe kabla ya ndoa kufungwa
- Majina ya wale wanaotarajia kufunga ndoa, umri, majina ya wazazi wao na mahali wanapoishi yatajwe.
- Tamko kwamba wanaotarajia kufunga ndoa hawana uhusiano unaokatazwa kisheria kufunga ndoa
Ndoa inaweza kufungwa Kiserikali au kwa madhehebu ya Kikristo au Kiislam au kufuatana na mila na desturi za wale wanaofunga ndoa.
Msajili wa ndoa atatoa cheti cha ndoa. Kila Ndoa inapofungwa lazima iwe na mashahidi wawili
Mambo ambayo sheria ya ndoa inakataza katika suala zima la kuoa au kuolewa
Haki za mume na mke katika ndoa
- Mwanamke na au mwanaume kuolewa/kuoa bila ridhaa yake mwenyewe
- Mwanamke na mwanaume wenye undugu wa damu kuoana
- Mwanamke na mwanaume kuoana kabla ya kutimiza umri unaoruhusiwa kisheria (kwa mwanaume miaka 18 na kwa mwanamke miaka 18 au 15 kwa idhini ya wazazi/mlezi wake)
- Kuoana watu wa jinsia moja
- Mwanamke na mwanaume kutaka kuoana kwa mkataba wa kipindi maalum.
Ukomo wa ndoa Ukomo wa ndoa uko wa aina mbili:
- Wote wana haki ya kumiliki mali kama nyumba, shamba n.k. kwa majina yao binafsi;
- Wote wana haki ya kutoa idhini katika uuzaji au kwa pamoja kuweka dhamana mali yoyote ya familia;
- Wote wana haki ya kuishi katika nyumba ya familia iwapo mume/mke amemkimbia;
- Mke ana haki ya kupewa matunzo yake na ya watoto wakati wa ndoa au iwapo mume amemkimbia, wameachana kwa amri ya mahakama. Na mume ana haki ya kupewa matunzo iwapo ana ulemavu hawezi kujiingizia kipato kutokana na ulemavu au ugonjwa wake;
- Wote wana haki ya kutokupigwa na au kufanyiwa ukatili wa aina yoyote;
- Wote wana haki ya kupeana unyumba;
- Wote wana haki ya kutumia mali ya ndoa;
- Wote wana haki kuomba amri ya talaka.
Baraza la usuluhishi la Ndoa
- Kifo cha mwanandoa mmoja wapo
- Talaka ambayo imetolewa na Mahakama pekee pale inapojiridhisha kwamba kuna sababu ya msingi kufanya hivyo.
Baraza la usuluhishi la Ndoa, ni baraza lililoanzisha na kifungu 102 cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, sura ya 29 kama sheria zilizopitiwa mwaka 2002, kwa madhumuni ya kusuluhisha wanandoa ambao wanaingia kwenye migogoro ya Ndoa. Kazi za Baraza la Usuluhishi la Ndoa:-
MUHIMU: Mahakama peke yake ndiyo ina mamlaka ya kutoa amri ya kutengana au talaka
- Kusuluhisha Wanandoa walioko kwenye Ndoa baada ya kupokea lalamiko toka kwa mmoja wapo wa Wanandoa
- Kutoa hati maalum kuthibitisha kuwa suluhu imeshindikana na kuelekeza wanandoa kwenda Mahakamani kwa amri zaidi.
Sababu zinazopelekea au kuishawishi mahakama kuvunja ndoa:-
Haki za wanandoa zinazoambatana na amri ya talaka
- Uzinzi kati ya wanandoa
- Ukatili kati ya wanandoa au watoto wa ndoa
- Dharau au kupuuza kulikokidhiri dhidi ya mwenzi
- Kumtelekeza mwenzi kwa zaidi ya miaka mitatu Pale mwenzi anapofungwa kifungo cha maisha au kwa kipindi kisicho pungua miaka miaka mitano
- Ikiwa mwenzi ameugua ugonjwa wa akili na imedhibitishwa na daktari kwamba hakuna uwezekano wa kupona.
- Kubadili dini baada ya ndoa kufungwa pale wanandoa wote walikuwa wakifuata imani ya dini moja.
Haki ya Mgawanyo wa mali za familia/ ndoa Mali yoyote ambayo imepatikana wakati wa uhai wa ndoa na kwa nguvu na au machango wa pamoja wa wanandoa.
- Mgawanyo wa mali za ndoa /familia
- Matunzo ya mke Hifadhi na matunzo ya watoto
- Kizuizi cha kutobugudhiwa
- Kuoa/Kuolewa tena
- Fidia ya uzinzi
- Gharama za kuendesha Shauri la Talaka
Iwapo mali iliyopatikana na mwanandoa mmoja wapo kabla ya ndoa au kwa nguvu zake mwenyewe lakini imeboresha/imetunzwa na mwanandoa mwingine mali hiyo itatambulika kama mali ya ndoa.
Lakini kama kuna mali yoyote ambayo mwanandoa mmoja amempa mwanandoa mwenzake kama zawadi, mali hiyo itakuwa ya yule aliyepewa pekee.
Aina za mchango
Kutekeleza kazi nyumbani hasa kutunza familia; mfano kuosha vyombo, kupika, kufua nguo, kubeba maji na kazi zingine zinazofanana na hizo kwa maslahi ya familia.
Kutunza mali za ndoa: mfano kufyeka, kulima, kuvuna shamba, kufanya marekebisho ya mali za ndoa kwa maslahi ya familia.
Mchango wa fedha wa mwanandoa katika kununua mali.
Haki ya Matunzo ya mwanandoa
Jukumu la kutoa matunzo kwa mke na watoto ni la mume, jukumu hilo litatekelezwa wakati wa uhai wa ndoa na baada ya talaka.
Haki ya Hifadhi na matunzo ya watoto
Hifadhi ya watoto hutolewa kwa mume au mke au mtu baki (mlezi) hasa kwa kuzingatia ustawi na maslahi ya wale watoto. Zaidi ya hayo, mahakama pia inaweza kuzingatia yafuatayo:
Umri wa wale watoto, mfano, watoto walio chini ya miaka saba kipaumbele cha hifadhi hupewa mama mzazi; labda kama kutakuwa na sababu za msingi za kuto fanya hivyo. Mfano kama mama mzazi ana matatizo ya kiakili, anaishi katika mazingira hatarishi.
Mazingira ya mahali watakapoishi watoto, mfano, kama mazingira ya upande mmoja ni hatarishi kwa ustawi wa mtoto, basi haki ya hifadhi atapewa mzazi mwingine bila kujali umri.
Matakwa ya wazazi wa mtoto nani kati yao angependa kupewa hifadhi ya watoto Mila na desturi za jamii ambayo wanandoa wametokea.
Kama mtoto anaumri zaidi ya miaka saba na ana uelewa wa kutoa mapendekezo yake, basi matakwa/maoni yake yatasikilizwa zaidi.
Haki ya hifadhi ya mtoto haimnyimi mzazi mwenza haki ya kumuona na au kumtembelea mtoto/watoto. Haki ya hifadhi ya mtoto haiondowi jukumu la baba kutoa matunzo.
![]()
----------
Baadhi ya hoja za wanaokataa ndoa
==========
- Ndoa ni utumwa
- Ndoa ni kitega uchumi kwa wanawake
- Ongezeke la usaliti kwenye ndoa
- Ndoa huondoa uhuru binafsi wa mtu
- Ndoa ni utapeli
Wajumbeeee salama?
Ni yuleyule Mfichua maovu ili awanusuru vijana na hili JANGA la Ndoa.
Si mlishaambiwa ndoa NDOANO na MSIOE? Ila mmekuwa WABISHI..
Kwa ukweli halisi bila kuongeza Wala Kupunguza naomba kuongea na wewe ambaye .
1. Mkeo ni askari magereza anasoma chuo Iringa na wewe ni mwalimu Songea. Mkeo umempa ruhusa ya kusoma, akaishi off campus. Sasa huko ghetoni kwake kuna baharia anajilalia kama yeye ndio katoa mahari.
2. Mkeo ni mwalimu ndani ya moja ya wilaya mkoa wa Songwe, mkeo ni mweupe na anashape fulani amaizing. Basi Kuna kijana ni mtendaji wa kijiji kimoja yupo ndani ya kata hiyo hiyo anayofundisha mkeo. Baharia anasugua mbususu ya mkeo kama kaoa yeye.
3. Mkeo anafanyia kazi moja ya chuo Iringa, na wewe upo kazini Sumbawanga. Basi huko Iringa huko raia wanampindukia balaa na mkeo.
4. Mkeo ni askari magereza (rafiki wa 01) ambae anasoma chuo kimoja na 01. Na wewe mwanaume ni mwanajeshi JWTZ huko Morogoro. Yaaani baharia pamoja na kuwa una vaa magwanda yanayo ogopesha ila raia wanachomfanya mkeo huko Iringa, Dah ni machungu sanaa.
5. Mkeo anafanya Kazi private company ya kilimo huko Mngeta (Morogoro >> Ifakara ndani ndani hukoo) na wewe unaishi Morogoro mjini. Basi bana Kuna mabosi wa kampuni wanajilia kama wao ndio wamemuoa.
6. Mkeo ni mwalimu huko Iringa, Kilolo ndani ndani huko na wewe upo sijui wapi. Aisee mabaharia wanaruka nae hasaa. Na mkeo ana bahasha wake mtu mzima hasa.
Mkeo anasemaga "Yule Mzee nimpeleke wapi mi nataka pesa zake tu". Basi bana mkeo hua anasafiri kutoka Iringa mpaka Dodoma ili akakutane na huyo babu. Mkeo anatoa utamu, babu anatoa pesa.
7. Mkeo ni Nesi ndani ya Songwe na wewe ni mwalimu Tabora. Bana eeh Nesi bana anatibu mpaka visivyotibika huko.
7. Mkeo ni mwalimu ajira mpya za juzi ndani mkoa uliokaribu na mkoa wa Mbeya. Sasa bana mkeo kaolewa huko, Kuna baharia alimpokea na kamfanya mkewe.
8. Mkeo ni HR, mweusi na ana chura fulani hivi amaizing. Wewe ni muuza magodoro huko mjini ya wilaya aliyopo mkeo kama HR wa halmashauri. Bana eeh huko kazini mabaharia nao Wana mHR chumbani.
9. Mkeo ni mfanyakazi bandarini Tanga na wewe upo Dar. Aisee wasambaa wanaenda nae sawaa hasaaa.
10. Mkeo ana duka kubwaa Iringa mjini na wewe unaishi mafinga unafanya Kazi kampuni ya simu. Bana bana mabaharia huwa wanachangia sanaa mtaji pale.
11. Mkeo ni mama mchungaji. Ni mweupe na mzuri hasaa. Anasoma uchungaji moja ya chuo hapa nchini. Aisee Kuna raia ni mwanafunzi mmoja wapo hapo Chuoni huwa wanakemea sanaa nae mapepo chumbani.
12. Mkeo ni engineer na kapata ajira juzi tu. Aisee mkuu wa Idara ya ujenzi (Engineer mwenzake) kamuoa kabisaaa.
13. Mmmmh ni wengine aiseee ni wengi sanaaaa. Nimetembea sanaa na nimejionea mengii wafanyayo wake zenu walio mbali na upeo wa macho yenu. Hawa ndio niliokutana nao kwenye kuzurula kwangu na wengine nimewasahau.
Nachotaka kusema ni kwamba ""Wewe unayeishi mbali na mkeo, aiseee mabaharia A.K.A wakurungwa wanaruka nae hasaa""
Mabaharia hawana hurumaa kabisa na zile laki kadhaa wengine mpaka milioni huko mlizotoa za mahari.
Wao wanaruka nae bureee.
Note:-
1. Ukiamua kuoa hebu kaa na mkeo ndani ya paa moja.
2. Kama wote ni wafanyakazi basi lazima mmoja akubali kuacha Kazi ili kulea hiyo ndoa. Vinginevyo mwanaume mwenzangu utasaidiwa sanaaa.
Na ushauri uliomkuu ni kwamba...
ACHA KUOA KABISA, MTAKUFA KWA MAWAZO NA MATESO YA NAFSI.
Nikutonye kitu: Nimekua na safiri sanaa kununua mpunga mikoa ya Moro, Mbeya na Songwe. Sasa ipo siku nitawaletea NYUZI ya wake zenu wanayoyafanya tunapokua nao tukinunua mpunga.
Aisee wanachofanya na huku mmewaoa tena kwa ndoa halali dah sina la kusema zaidi ya ""Mungu saidia ndoa za hawa mabaharia wenzangu""
Halafu msisahau kutafuta hela; Yes money can't buy everything, ila HAKIKISHA una pesa nyingi kabla hujaropoka huu ujinga..!!!!
#YNWA
Pia soma: Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
AmenKula vizuri
Kuvaa vizuri
Kufanya mazoezi
Kunywa maji mengi
Kulala mapema
Lkn hakikisha pochi lako si la kinyongee.
#kataa ndoa# tunza afya ya akili
Kwa hiyo umeshindwa kumpiga talaka?Hi friends.
Nasikitika kwamba I have to make this on public domain, offcourse I have healed, but just to share experience with young friends who wants to get into this Devine calling[emoji3]
Been married for something like 13 yrs na huu ni uzoefu wangu.
Wakat vijana wengi wakiamini kwamba ukioa maisha ya ndoa ni Mazur, ya kujenga maisha na familia, asilimia kubwa ni one man army.
Miaka Mitano iliyopita nikahamishwa kikaz nikahamia Kanda ya Kati, Shiraka moja la kimataifa, perdiem daily (hardship allowance), mileage na facilitation fund, nikasema kimoyo moyo, bhana hapa nikimaliza contract nikaendelea kufanya kaz za kitumwa kutuma report kila siku, nimelaaniwa[emoji3]
Nikaanza harakat, mimi ni hard-core hustler, tukaelewana na mwenzangu, bhana..
Hapa na hapa, nikafungua kampuni, mauzo,miez miwil ming bhana, yamenyooka.. nikasema sasa nifungue offic Kat Kat ya mji.. hapa na pale, nikiwa natafuta nikapata mtu anauza same business, kisa mismanagement na kupandishiwa kodi(offcorse I have deep knowledge of the industry).. hapa na hapa tukakubaliana.. nikalipa cash...
Na wala hela sikutoa kwenye business, hapo hapo Director ni my life partner.. niogope nin. Nikafanya renovation Safi, nikaemploy then nikasepa.
Mwez wa kwanza,wapil,game ikaitika.. sasa nikasema ili capital igrow kitu chochote nisitoe dukan, nikampa bi mkubwa Access ya Baadhi ya account zangu za Bank.. ,yani allowance zikiingia 70% naweka huko wasipate shida ndogo ndogo... the rest nakula bia.. a man full of happiness and a purpose..au vp[emoji3]
Bhana,
Muda ukaenda, contract inataka kukata na me Nina kibri, salary ya mwaka mzima ni profit ya siku mbil tatu... nikasema here we go... maneno ndogo ndogo kwa offc sijali.
Office wakanistukia, maana Kuna tender tumewah supply pale.. ila alienda bimkubwa.. me wala sikujal maana it was from my hard work and nobody can tell me nothing[emoji3].. I can leave them anytime.
Ikaenda majungu kwamba team yangu is highly paid of the entire organization... nikasema no problem, if the call comes I will take it..sio shida zangu.
Nikichek kwa system daily revenue ni mwendo wa kaz kaz.. nikasema thank you Almight.
Fast forward contract inakata, kumbuka nothing I'm taking from the company.. nothing.. hadi kiberit ni cash from other source.. sio business.
Sasa Kuna deal nikapata mahal, Kuna mtu anauza business yake, my close friend.. wanataka kuhama the amount waliotaja nikamwambia director... akaniambia we don't need any more business what we have is enough.
Bhana, jamaa kanionesha profit statement imenyooka hiv.. ila mwamba kapiga Chini, I felt so bad kwamba I will loose this good money and yet tent my relationship with the friend.
Contract ikakata buana, narud zangu town.
Nikaomba bank statements... nilichokikuta... duh... nikaombs auditing& investigation... bhana bhana resutls were devastating [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]kumbuka I buy everything hata car fuels for the "life partner" and blalblah away from my business.. good guy right?
Operating costs are clear..40% from the GP.. so the minimum balance to be saved was enogh to do alot you can imagine of...(samahan sitaj number maana Kuna watu watajisikia vibaya,)
Then, to my surprise naangalia Bank statement nalia.. .I decided to go far.. kutafakari... sina cha kufanya.
My close friends and my family advice me to forgive, and i did.
Nikaanza upyaaaa... like a beginner my guy[emoji28]
Baadae naambiwa kwaza mali hamna, madeni ya stock kama yote, yet kwenye account Kuna peanut... duh.
Bhana... kufuatilia kidogo bimkubwa ashajenga hekalu mbil na gar kwa ndugu kama wawil.
Tukiwa tunazozana kuhusu hizo issue, my son called me the other morning, and I quote him
"Dad, nilisikia jana unagombana na mama, naomba usiondoke, nakupenda sana nampenda sana na mama mkiachana mimi nitateseka sana"
... I sat down and cried and said still its not the end of life.
My parents called me, asked for what happened, explained to them and ask me to hold my head up, they know it gonna be alright, devel can challenge you and you will lose everything,
called my "life patner" and ask us to hold hands and forgive each other life must go on.. we prayed and life keep on keeping on..
...but trust in her went down to zero.
Eventually I kept my promise leave the job and take my shot for my call..
Business only.
Fast forward takeover the business, prayed and back to normal strong and kicking.
My point to any kid who want to Mary.
1. Marriage isn't for the weak, kama una viwivu na has Ira za kijinga kataa ndoa.
2. Marriage isn't for constant sex.. kwanza hutainjoy kama mlivokuwa wachumba.
3. Hakuna mjanja wa ndoa, watu wanavumila weakness tu.
4. Marriage can have you jailed or killed... tafuta unaemudu hasira zake Lakin as I said earlier usioe kama ni mtu wa hasira na visasi.
5. Marriage is a bad business.. unaweza kama unaweza ishi mwenyewe the better.. maisha ni Mazur sana ukiwa mwenyewe Lakin mwenye focus na life yako..
6. Money is the king.. achana na maneno ya watu.. tafuta hela sana.. hizi story za mke wangu hiv au vile ni za kijinga na wapumbavu.
7. Wanaosema ndoa tamu hawatak kuwaambia ukwel ni Jehanam ambayo kuchomoka ni kidonda cha kudumu.
8. Wanaosema nikikuta mke wangu sijui anacheat nitaua sijui amefanya hiv au vile nitafanya hiv au vile ni vijana wanaobalehe.. hayajawakuta.
9. Ndoa ni nyumba ya msamaha... na vingine ni kupotezea.
10. Stop being investigation officer.. msishikiane simu for any thing good or bad.. kila mtu awe na Sim yake...
11. Learn to carry your business yourself.. cry, fall, fall again, carry on.. it gonna be alright.
Last.
Marriage is the home of hope and forgiveness sio sehem ya starehe na utam... a matter of fact it's a bad business,.
ndio maana wenzetu wote wenye utajir wa kutosha are either single or divorced... and the list is endless.
My few cents.