Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hi friends.

Nasikitika kwamba I have to make this on public domain, offcourse I have healed, but just to share experience with young friends who wants to get into this Devine calling[emoji3]
Been married for something like 13 yrs na huu ni uzoefu wangu.

Wakat vijana wengi wakiamini kwamba ukioa maisha ya ndoa ni Mazur, ya kujenga maisha na familia, asilimia kubwa ni one man army.

Miaka Mitano iliyopita nikahamishwa kikaz nikahamia Kanda ya Kati, Shiraka moja la kimataifa, perdiem daily (hardship allowance), mileage na facilitation fund, nikasema kimoyo moyo, bhana hapa nikimaliza contract nikaendelea kufanya kaz za kitumwa kutuma report kila siku, nimelaaniwa[emoji3]

Nikaanza harakat, mimi ni hard-core hustler, tukaelewana na mwenzangu, bhana..

Hapa na hapa, nikafungua kampuni, mauzo,miez miwil ming bhana, yamenyooka.. nikasema sasa nifungue offic Kat Kat ya mji.. hapa na pale, nikiwa natafuta nikapata mtu anauza same business, kisa mismanagement na kupandishiwa kodi(offcorse I have deep knowledge of the industry).. hapa na hapa tukakubaliana.. nikalipa cash...


Na wala hela sikutoa kwenye business, hapo hapo Director ni my life partner.. niogope nin. Nikafanya renovation Safi, nikaemploy then nikasepa.

Mwez wa kwanza,wapil,game ikaitika.. sasa nikasema ili capital igrow kitu chochote nisitoe dukan, nikampa bi mkubwa Access ya Baadhi ya account zangu za Bank.. ,yani allowance zikiingia 70% naweka huko wasipate shida ndogo ndogo... the rest nakula bia.. a man full of happiness and a purpose..au vp[emoji3]

Bhana,
Muda ukaenda, contract inataka kukata na me Nina kibri, salary ya mwaka mzima ni profit ya siku mbil tatu... nikasema here we go... maneno ndogo ndogo kwa offc sijali.

Office wakanistukia, maana Kuna tender tumewah supply pale.. ila alienda bimkubwa.. me wala sikujal maana it was from my hard work and nobody can tell me nothing[emoji3].. I can leave them anytime.

Ikaenda majungu kwamba team yangu is highly paid of the entire organization... nikasema no problem, if the call comes I will take it..sio shida zangu.

Nikichek kwa system daily revenue ni mwendo wa kaz kaz.. nikasema thank you Almight.

Fast forward contract inakata, kumbuka nothing I'm taking from the company.. nothing.. hadi kiberit ni cash from other source.. sio business.

Sasa Kuna deal nikapata mahal, Kuna mtu anauza business yake, my close friend.. wanataka kuhama the amount waliotaja nikamwambia director... akaniambia we don't need any more business what we have is enough.

Bhana, jamaa kanionesha profit statement imenyooka hiv.. ila mwamba kapiga Chini, I felt so bad kwamba I will loose this good money and yet tent my relationship with the friend.

Contract ikakata buana, narud zangu town.
Nikaomba bank statements... nilichokikuta... duh... nikaombs auditing& investigation... bhana bhana resutls were devastating [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]kumbuka I buy everything hata car fuels for the "life partner" and blalblah away from my business.. good guy right?

Operating costs are clear..40% from the GP.. so the minimum balance to be saved was enogh to do alot you can imagine of...(samahan sitaj number maana Kuna watu watajisikia vibaya,)

Then, to my surprise naangalia Bank statement nalia.. .I decided to go far.. kutafakari... sina cha kufanya.

My close friends and my family advice me to forgive, and i did.

Nikaanza upyaaaa... like a beginner my guy[emoji28]

Baadae naambiwa kwaza mali hamna, madeni ya stock kama yote, yet kwenye account Kuna peanut... duh.

Bhana... kufuatilia kidogo bimkubwa ashajenga hekalu mbil na gar kwa ndugu kama wawil.

Tukiwa tunazozana kuhusu hizo issue, my son called me the other morning, and I quote him

"Dad, nilisikia jana unagombana na mama, naomba usiondoke, nakupenda sana nampenda sana na mama mkiachana mimi nitateseka sana"

... I sat down and cried and said still its not the end of life.

My parents called me, asked for what happened, explained to them and ask me to hold my head up, they know it gonna be alright, devel can challenge you and you will lose everything,

called my "life patner" and ask us to hold hands and forgive each other life must go on.. we prayed and life keep on keeping on..

...but trust in her went down to zero.

Eventually I kept my promise leave the job and take my shot for my call..

Business only.


Fast forward takeover the business, prayed and back to normal strong and kicking.

My point to any kid who want to Mary.

1. Marriage isn't for the weak, kama una viwivu na has Ira za kijinga kataa ndoa.

2. Marriage isn't for constant sex.. kwanza hutainjoy kama mlivokuwa wachumba.

3. Hakuna mjanja wa ndoa, watu wanavumila weakness tu.

4. Marriage can have you jailed or killed... tafuta unaemudu hasira zake Lakin as I said earlier usioe kama ni mtu wa hasira na visasi.

5. Marriage is a bad business.. unaweza kama unaweza ishi mwenyewe the better.. maisha ni Mazur sana ukiwa mwenyewe Lakin mwenye focus na life yako..

6. Money is the king.. achana na maneno ya watu.. tafuta hela sana.. hizi story za mke wangu hiv au vile ni za kijinga na wapumbavu.

7. Wanaosema ndoa tamu hawatak kuwaambia ukwel ni Jehanam ambayo kuchomoka ni kidonda cha kudumu.

8. Wanaosema nikikuta mke wangu sijui anacheat nitaua sijui amefanya hiv au vile nitafanya hiv au vile ni vijana wanaobalehe.. hayajawakuta.

9. Ndoa ni nyumba ya msamaha... na vingine ni kupotezea.

10. Stop being investigation officer.. msishikiane simu for any thing good or bad.. kila mtu awe na Sim yake...

11. Learn to carry your business yourself.. cry, fall, fall again, carry on.. it gonna be alright.

Last.
Marriage is the home of hope and forgiveness sio sehem ya starehe na utam... a matter of fact it's a bad business,.

ndio maana wenzetu wote wenye utajir wa kutosha are either single or divorced... and the list is endless.

My few cents.
Mzee una points ujue!
 
Mkuu bora uewapa ukweli watarajiwa, marriage is hard tofauti na inavyoaminishwa. Sijaoa na sitarajii hivi karibuni (I have kid na ndio kitu muhim kwangu) lakini migogoro ninayoisuluhisha aisee wenye ndoa bigup kwennu. Kutoka kwenye sample yangu only 10% seems like they are enjoying and because wake wao ni wa mama wa nyumbani with no formal education, the rest are regreting.
 
Hi friends.

Nasikitika kwamba I have to make this on public domain, offcourse I have healed, but just to share experience with young friends who wants to get into this Devine calling😀
Been married for something like 13 yrs na huu ni uzoefu wangu.

Wakat vijana wengi wakiamini kwamba ukioa maisha ya ndoa ni Mazur, ya kujenga maisha na familia, asilimia kubwa ni one man army.

Miaka Mitano iliyopita nikahamishwa kikaz nikahamia Kanda ya Kati, Shiraka moja la kimataifa, perdiem daily (hardship allowance), mileage na facilitation fund, nikasema kimoyo moyo, bhana hapa nikimaliza contract nikaendelea kufanya kaz za kitumwa kutuma report kila siku, nimelaaniwa😀

Nikaanza harakat, mimi ni hard-core hustler, tukaelewana na mwenzangu, bhana..

Hapa na hapa, nikafungua kampuni, mauzo,miez miwil ming bhana, yamenyooka.. nikasema sasa nifungue offic Kat Kat ya mji.. hapa na pale, nikiwa natafuta nikapata mtu anauza same business, kisa mismanagement na kupandishiwa kodi(offcorse I have deep knowledge of the industry).. hapa na hapa tukakubaliana.. nikalipa cash...


Na wala hela sikutoa kwenye business, hapo hapo Director ni my life partner.. niogope nin. Nikafanya renovation Safi, nikaemploy then nikasepa.

Mwez wa kwanza,wapil,game ikaitika.. sasa nikasema ili capital igrow kitu chochote nisitoe dukan, nikampa bi mkubwa Access ya Baadhi ya account zangu za Bank.. ,yani allowance zikiingia 70% naweka huko wasipate shida ndogo ndogo... the rest nakula bia.. a man full of happiness and a purpose..au vp😀

Bhana,
Muda ukaenda, contract inataka kukata na me Nina kibri, salary ya mwaka mzima ni profit ya siku mbil tatu... nikasema here we go... maneno ndogo ndogo kwa offc sijali.

Office wakanistukia, maana Kuna tender tumewah supply pale.. ila alienda bimkubwa.. me wala sikujal maana it was from my hard work and nobody can tell me nothing😀.. I can leave them anytime.

Ikaenda majungu kwamba team yangu is highly paid of the entire organization... nikasema no problem, if the call comes I will take it..sio shida zangu.

Nikichek kwa system daily revenue ni mwendo wa kaz kaz.. nikasema thank you Almight.

Fast forward contract inakata, kumbuka nothing I'm taking from the company.. nothing.. hadi kiberit ni cash from other source.. sio business.

Sasa Kuna deal nikapata mahal, Kuna mtu anauza business yake, my close friend.. wanataka kuhama the amount waliotaja nikamwambia director... akaniambia we don't need any more business what we have is enough.

Bhana, jamaa kanionesha profit statement imenyooka hiv.. ila mwamba kapiga Chini, I felt so bad kwamba I will loose this good money and yet tent my relationship with the friend.

Contract ikakata buana, narud zangu town.
Nikaomba bank statements... nilichokikuta... duh... nikaombs auditing& investigation... bhana bhana resutls were devastating 😭😭😭😭kumbuka I buy everything hata car fuels for the "life partner" and blalblah away from my business.. good guy right?

Operating costs are clear..40% from the GP.. so the minimum balance to be saved was enogh to do alot you can imagine of...(samahan sitaj number maana Kuna watu watajisikia vibaya,)

Then, to my surprise naangalia Bank statement nalia.. .I decided to go far.. kutafakari... sina cha kufanya.

My close friends and my family advice me to forgive, and i did.

Nikaanza upyaaaa... like a beginner my guy😅

Baadae naambiwa kwaza mali hamna, madeni ya stock kama yote, yet kwenye account Kuna peanut... duh.

Bhana... kufuatilia kidogo bimkubwa ashajenga hekalu mbil na gar kwa ndugu kama wawil.

Tukiwa tunazozana kuhusu hizo issue, my son called me the other morning, and I quote him

"Dad, nilisikia jana unagombana na mama, naomba usiondoke, nakupenda sana nampenda sana na mama mkiachana mimi nitateseka sana"

... I sat down and cried and said still its not the end of life.

My parents called me, asked for what happened, explained to them and ask me to hold my head up, they know it gonna be alright, devel can challenge you and you will lose everything,

called my "life patner" and ask us to hold hands and forgive each other life must go on.. we prayed and life keep on keeping on..

...but trust in her went down to zero.

Eventually I kept my promise leave the job and take my shot for my call..

Business only.


Fast forward takeover the business, prayed and back to normal strong and kicking.

My point to any kid who want to Mary.

1. Marriage isn't for the weak, kama una viwivu na has Ira za kijinga kataa ndoa.

2. Marriage isn't for constant sex.. kwanza hutainjoy kama mlivokuwa wachumba.

3. Hakuna mjanja wa ndoa, watu wanavumila weakness tu.

4. Marriage can have you jailed or killed... tafuta unaemudu hasira zake Lakin as I said earlier usioe kama ni mtu wa hasira na visasi.

5. Marriage is a bad business.. unaweza kama unaweza ishi mwenyewe the better.. maisha ni Mazur sana ukiwa mwenyewe Lakin mwenye focus na life yako..

6. Money is the king.. achana na maneno ya watu.. tafuta hela sana.. hizi story za mke wangu hiv au vile ni za kijinga na wapumbavu.

7. Wanaosema ndoa tamu hawatak kuwaambia ukwel ni Jehanam ambayo kuchomoka ni kidonda cha kudumu.

8. Wanaosema nikikuta mke wangu sijui anacheat nitaua sijui amefanya hiv au vile nitafanya hiv au vile ni vijana wanaobalehe.. hayajawakuta.

9. Ndoa ni nyumba ya msamaha... na vingine ni kupotezea.

10. Stop being investigation officer.. msishikiane simu for any thing good or bad.. kila mtu awe na Sim yake...

11. Learn to carry your business yourself.. cry, fall, fall again, carry on.. it gonna be alright.

Last.
Marriage is the home of hope and forgiveness sio sehem ya starehe na utam... a matter of fact it's a bad business,.

ndio maana wenzetu wote wenye utajir wa kutosha are either single or divorced... and the list is endless.

My few cents.
Deadly mistake, how the hell did you give her the chance to be a director of your company? Thats giving a woman such power that she can never handle at all!
 
Hi friends.

Nasikitika kwamba I have to make this on public domain, offcourse I have healed, but just to share experience with young friends who wants to get into this Devine calling😀
Been married for something like 13 yrs na huu ni uzoefu wangu.

Wakat vijana wengi wakiamini kwamba ukioa maisha ya ndoa ni Mazur, ya kujenga maisha na familia, asilimia kubwa ni one man army.

Miaka Mitano iliyopita nikahamishwa kikaz nikahamia Kanda ya Kati, Shiraka moja la kimataifa, perdiem daily (hardship allowance), mileage na facilitation fund, nikasema kimoyo moyo, bhana hapa nikimaliza contract nikaendelea kufanya kaz za kitumwa kutuma report kila siku, nimelaaniwa😀

Nikaanza harakat, mimi ni hard-core hustler, tukaelewana na mwenzangu, bhana..

Hapa na hapa, nikafungua kampuni, mauzo,miez miwil ming bhana, yamenyooka.. nikasema sasa nifungue offic Kat Kat ya mji.. hapa na pale, nikiwa natafuta nikapata mtu anauza same business, kisa mismanagement na kupandishiwa kodi(offcorse I have deep knowledge of the industry).. hapa na hapa tukakubaliana.. nikalipa cash...


Na wala hela sikutoa kwenye business, hapo hapo Director ni my life partner.. niogope nin. Nikafanya renovation Safi, nikaemploy then nikasepa.

Mwez wa kwanza,wapil,game ikaitika.. sasa nikasema ili capital igrow kitu chochote nisitoe dukan, nikampa bi mkubwa Access ya Baadhi ya account zangu za Bank.. ,yani allowance zikiingia 70% naweka huko wasipate shida ndogo ndogo... the rest nakula bia.. a man full of happiness and a purpose..au vp😀

Bhana,
Muda ukaenda, contract inataka kukata na me Nina kibri, salary ya mwaka mzima ni profit ya siku mbil tatu... nikasema here we go... maneno ndogo ndogo kwa offc sijali.

Office wakanistukia, maana Kuna tender tumewah supply pale.. ila alienda bimkubwa.. me wala sikujal maana it was from my hard work and nobody can tell me nothing😀.. I can leave them anytime.

Ikaenda majungu kwamba team yangu is highly paid of the entire organization... nikasema no problem, if the call comes I will take it..sio shida zangu.

Nikichek kwa system daily revenue ni mwendo wa kaz kaz.. nikasema thank you Almight.

Fast forward contract inakata, kumbuka nothing I'm taking from the company.. nothing.. hadi kiberit ni cash from other source.. sio business.

Sasa Kuna deal nikapata mahal, Kuna mtu anauza business yake, my close friend.. wanataka kuhama the amount waliotaja nikamwambia director... akaniambia we don't need any more business what we have is enough.

Bhana, jamaa kanionesha profit statement imenyooka hiv.. ila mwamba kapiga Chini, I felt so bad kwamba I will loose this good money and yet tent my relationship with the friend.

Contract ikakata buana, narud zangu town.
Nikaomba bank statements... nilichokikuta... duh... nikaombs auditing& investigation... bhana bhana resutls were devastating 😭😭😭😭kumbuka I buy everything hata car fuels for the "life partner" and blalblah away from my business.. good guy right?

Operating costs are clear..40% from the GP.. so the minimum balance to be saved was enogh to do alot you can imagine of...(samahan sitaj number maana Kuna watu watajisikia vibaya,)

Then, to my surprise naangalia Bank statement nalia.. .I decided to go far.. kutafakari... sina cha kufanya.

My close friends and my family advice me to forgive, and i did.

Nikaanza upyaaaa... like a beginner my guy😅

Baadae naambiwa kwaza mali hamna, madeni ya stock kama yote, yet kwenye account Kuna peanut... duh.

Bhana... kufuatilia kidogo bimkubwa ashajenga hekalu mbil na gar kwa ndugu kama wawil.

Tukiwa tunazozana kuhusu hizo issue, my son called me the other morning, and I quote him

"Dad, nilisikia jana unagombana na mama, naomba usiondoke, nakupenda sana nampenda sana na mama mkiachana mimi nitateseka sana"

... I sat down and cried and said still its not the end of life.

My parents called me, asked for what happened, explained to them and ask me to hold my head up, they know it gonna be alright, devel can challenge you and you will lose everything,

called my "life patner" and ask us to hold hands and forgive each other life must go on.. we prayed and life keep on keeping on..

...but trust in her went down to zero.

Eventually I kept my promise leave the job and take my shot for my call..

Business only.


Fast forward takeover the business, prayed and back to normal strong and kicking.

My point to any kid who want to Mary.

1. Marriage isn't for the weak, kama una viwivu na has Ira za kijinga kataa ndoa.

2. Marriage isn't for constant sex.. kwanza hutainjoy kama mlivokuwa wachumba.

3. Hakuna mjanja wa ndoa, watu wanavumila weakness tu.

4. Marriage can have you jailed or killed... tafuta unaemudu hasira zake Lakin as I said earlier usioe kama ni mtu wa hasira na visasi.

5. Marriage is a bad business.. unaweza kama unaweza ishi mwenyewe the better.. maisha ni Mazur sana ukiwa mwenyewe Lakin mwenye focus na life yako..

6. Money is the king.. achana na maneno ya watu.. tafuta hela sana.. hizi story za mke wangu hiv au vile ni za kijinga na wapumbavu.

7. Wanaosema ndoa tamu hawatak kuwaambia ukwel ni Jehanam ambayo kuchomoka ni kidonda cha kudumu.

8. Wanaosema nikikuta mke wangu sijui anacheat nitaua sijui amefanya hiv au vile nitafanya hiv au vile ni vijana wanaobalehe.. hayajawakuta.

9. Ndoa ni nyumba ya msamaha... na vingine ni kupotezea.

10. Stop being investigation officer.. msishikiane simu for any thing good or bad.. kila mtu awe na Sim yake...

11. Learn to carry your business yourself.. cry, fall, fall again, carry on.. it gonna be alright.

Last.
Marriage is the home of hope and forgiveness sio sehem ya starehe na utam... a matter of fact it's a bad business,.

ndio maana wenzetu wote wenye utajir wa kutosha are either single or divorced... and the list is endless.

My few cents.
Positive thinking, marriage is not for everyone.
 
Mkuu bora uewapa ukweli watarajiwa, marriage is hard tofauti na inavyoaminishwa. Sijaoa na sitarajii hivi karibuni (I have kid na ndio kitu muhim kwangu) lakini migogoro ninayoisuluhisha aisee wenye ndoa bigup kwennu. Kutoka kwenye sample yangu only 10% seems like they are enjoying and because wake wao ni wa mama wa nyumbani with no formal education, the rest are regreting.

Na ukitaka ku enjoy mahusiano yako
Tafuta mtu asie na kitu na ikibidi hata elimu tu
Anatakusikiliza
SIO WOTE ila ni ngumu sana kum control mwanamke mwenye fedha ni ngumu! Narudia ni ngumu!
 
Na ukitaka ku enjoy mahusiano yako
Tafuta mtu asie na kitu na ikibidi hata elimu tu
Anatakusikiliza
SIO WOTE ila ni ngumu sana kum control mwanamke mwenye fedha ni ngumu! Narudia ni ngumu!

Hata mwanamke akiwa maskini na mjinga.. ndoa sheria inambeba.. ndugu zake watamshauri maujinga kibao.. mdogo mdogo anaanza maseke seke
 
NDo maana hua nakaa naangalia kiberiti changu kikiwa kinapiga mayowe, nawazaaa, nasonya, nampiga miti af life linasonga.
 
Deadly mistake, how the hell did you give her the chance to be a director of your company? Thats giving a woman such power that she can never handle at all!
Lakini hii ndio ilitakiwa iwe maana halisi ya ndoa "ushirikiano, uaminifu na kujitoa for each other" kukiwa na doubt ktk haya sioni kama kuna umuhim wa ndoa, ile meaning ya mwili moja inakua haipo mnabaki wawindanaji 😃😃
 
kufuga toto la mtu ulilokutana nalo ukubwani sio kazi nyepesi.. tena kwa dunia ya sasa?
team kataa ndoa, sidhani kama wamekurupuka, kuna kitu wamekiona.
 
Nipe namba ya simu ya huyo waifu wako!!!nimeuleze Jambo!!!
 
Ulikosea kumwachia biashara mwanamke,Baba ndio controller wa Kila kitu kwenye familia mke ni msaidizi,mwanamke acontrol kama haipo Duniani ulikosea kugawa full madaraka.

Just imagine?
wanaume siku hizi Tunazidi kupungua. eti mtu anamuachia biashara mwanamke kisha mwanamke huyohuyo anaiba pesa na kujenga mijengo miwili na gari kwa ndugu, halafu linakuja hapa eti “Marriage iz not eazy” si ajabu pengine mke wako alikuwa anamtunuku kiben-10 huko nje

pumbavuuuu ATASEEEE!!!!!

So stupid
 
Hi friends.

Nasikitika kwamba I have to make this on public domain, offcourse I have healed, but just to share experience with young friends who wants to get into this Devine calling😀
Been married for something like 13 yrs na huu ni uzoefu wangu.

Wakat vijana wengi wakiamini kwamba ukioa maisha ya ndoa ni Mazur, ya kujenga maisha na familia, asilimia kubwa ni one man army.

Miaka Mitano iliyopita nikahamishwa kikaz nikahamia Kanda ya Kati, Shiraka moja la kimataifa, perdiem daily (hardship allowance), mileage na facilitation fund, nikasema kimoyo moyo, bhana hapa nikimaliza contract nikaendelea kufanya kaz za kitumwa kutuma report kila siku, nimelaaniwa😀

Nikaanza harakat, mimi ni hard-core hustler, tukaelewana na mwenzangu, bhana..

Hapa na hapa, nikafungua kampuni, mauzo,miez miwil ming bhana, yamenyooka.. nikasema sasa nifungue offic Kat Kat ya mji.. hapa na pale, nikiwa natafuta nikapata mtu anauza same business, kisa mismanagement na kupandishiwa kodi(offcorse I have deep knowledge of the industry).. hapa na hapa tukakubaliana.. nikalipa cash...


Na wala hela sikutoa kwenye business, hapo hapo Director ni my life partner.. niogope nin. Nikafanya renovation Safi, nikaemploy then nikasepa.

Mwez wa kwanza,wapil,game ikaitika.. sasa nikasema ili capital igrow kitu chochote nisitoe dukan, nikampa bi mkubwa Access ya Baadhi ya account zangu za Bank.. ,yani allowance zikiingia 70% naweka huko wasipate shida ndogo ndogo... the rest nakula bia.. a man full of happiness and a purpose..au vp😀

Bhana,
Muda ukaenda, contract inataka kukata na me Nina kibri, salary ya mwaka mzima ni profit ya siku mbil tatu... nikasema here we go... maneno ndogo ndogo kwa offc sijali.

Office wakanistukia, maana Kuna tender tumewah supply pale.. ila alienda bimkubwa.. me wala sikujal maana it was from my hard work and nobody can tell me nothing😀.. I can leave them anytime.

Ikaenda majungu kwamba team yangu is highly paid of the entire organization... nikasema no problem, if the call comes I will take it..sio shida zangu.

Nikichek kwa system daily revenue ni mwendo wa kaz kaz.. nikasema thank you Almight.

Fast forward contract inakata, kumbuka nothing I'm taking from the company.. nothing.. hadi kiberit ni cash from other source.. sio business.

Sasa Kuna deal nikapata mahal, Kuna mtu anauza business yake, my close friend.. wanataka kuhama the amount waliotaja nikamwambia director... akaniambia we don't need any more business what we have is enough.

Bhana, jamaa kanionesha profit statement imenyooka hiv.. ila mwamba kapiga Chini, I felt so bad kwamba I will loose this good money and yet tent my relationship with the friend.

Contract ikakata buana, narud zangu town.
Nikaomba bank statements... nilichokikuta... duh... nikaombs auditing& investigation... bhana bhana resutls were devastating 😭😭😭😭kumbuka I buy everything hata car fuels for the "life partner" and blalblah away from my business.. good guy right?

Operating costs are clear..40% from the GP.. so the minimum balance to be saved was enogh to do alot you can imagine of...(samahan sitaj number maana Kuna watu watajisikia vibaya,)

Then, to my surprise naangalia Bank statement nalia.. .I decided to go far.. kutafakari... sina cha kufanya.

My close friends and my family advice me to forgive, and i did.

Nikaanza upyaaaa... like a beginner my guy😅

Baadae naambiwa kwaza mali hamna, madeni ya stock kama yote, yet kwenye account Kuna peanut... duh.

Bhana... kufuatilia kidogo bimkubwa ashajenga hekalu mbil na gar kwa ndugu kama wawil.

Tukiwa tunazozana kuhusu hizo issue, my son called me the other morning, and I quote him

"Dad, nilisikia jana unagombana na mama, naomba usiondoke, nakupenda sana nampenda sana na mama mkiachana mimi nitateseka sana"

... I sat down and cried and said still its not the end of life.

My parents called me, asked for what happened, explained to them and ask me to hold my head up, they know it gonna be alright, devel can challenge you and you will lose everything,

called my "life patner" and ask us to hold hands and forgive each other life must go on.. we prayed and life keep on keeping on..

...but trust in her went down to zero.

Eventually I kept my promise leave the job and take my shot for my call..

Business only.


Fast forward takeover the business, prayed and back to normal strong and kicking.

My point to any kid who want to Mary.

1. Marriage isn't for the weak, kama una viwivu na has Ira za kijinga kataa ndoa.

2. Marriage isn't for constant sex.. kwanza hutainjoy kama mlivokuwa wachumba.

3. Hakuna mjanja wa ndoa, watu wanavumila weakness tu.

4. Marriage can have you jailed or killed... tafuta unaemudu hasira zake Lakin as I said earlier usioe kama ni mtu wa hasira na visasi.

5. Marriage is a bad business.. unaweza kama unaweza ishi mwenyewe the better.. maisha ni Mazur sana ukiwa mwenyewe Lakin mwenye focus na life yako..

6. Money is the king.. achana na maneno ya watu.. tafuta hela sana.. hizi story za mke wangu hiv au vile ni za kijinga na wapumbavu.

7. Wanaosema ndoa tamu hawatak kuwaambia ukwel ni Jehanam ambayo kuchomoka ni kidonda cha kudumu.

8. Wanaosema nikikuta mke wangu sijui anacheat nitaua sijui amefanya hiv au vile nitafanya hiv au vile ni vijana wanaobalehe.. hayajawakuta.

9. Ndoa ni nyumba ya msamaha... na vingine ni kupotezea.

10. Stop being investigation officer.. msishikiane simu for any thing good or bad.. kila mtu awe na Sim yake...

11. Learn to carry your business yourself.. cry, fall, fall again, carry on.. it gonna be alright.

Last.
Marriage is the home of hope and forgiveness sio sehem ya starehe na utam... a matter of fact it's a bad business,.

ndio maana wenzetu wote wenye utajir wa kutosha are either single or divorced... and the list is endless.

My few cents.
Tatizo unatusimulia na kutushauri kwa kizungu hivyo tunaona kama una famasiala tu
 
O
Lakini hii ndio ilitakiwa iwe maana halisi ya ndoa "ushirikiano, uaminifu na kujitoa for each other" kukiwa na doubt ktk haya sioni kama kuna umuhim wa ndoa, ile meaning ya mwili moja inakua haipo mnabaki wawindanaji 😃😃
Ofcourse mwili mmoja ni kisiasa but lazma ujiongeze ndio maana ya matumizi ya akili ukiwa na mwanamke. Mpende mwanamke sana ila usimfanye priority when it comes to sensitive issues zinazohusu hela. Let her be somewhere below your neck.
 
Back
Top Bottom