Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Ndoa na kuoa ni ubatili mkubwa kwa sababu mwanamke hana permanency na commitment, na pia mwanamke anaeingia kwenye ndoa kwa individual interests hana mutually inclusive benefits .

Kwa asili pia mwanamke ni adui wa mwanaume, anakuwa rafiki kama endapo tu ana manufaa anapata.


Pia wanawake wengi wanazaliwa ni wachawi. Na pia akili zao zinawaombea wanaume wafe haraka. Women are no permanent friends with men.

Bora shetani halisi kuliko shetani anaeishi ndani ya mwanamke.

I see them like rattle snakes
 
Ukishamuoa mwanamke anakuwa kichwa maji...... Jiandae kugongewa,,makasiriko,,kunyimwa K halafu kiumbe huyohuyo wewe ndio unamzingatia kila kitu kwanzia matunzo,matibabu.... nk
 
Binafsi ninayo yashuhudia yanafanywa na wake za watu ndo yananikatisha tamaa, hasa wenye waume masikini na kipato cha kati, Wadau wenye magari. wanakula sana
Acha tu ndugu yangu. Kuna kibopa mmoja alikuwa anachakata mke wa rafiki yake wa toka ujanani ila bahati mbaya akawa kafilisika. Yule fukara watu wakimwambia jamaa yako anamchakata mkeo basi yeye ataenda kwa tajiri kumuuliza mbona watu wanasema unatafuna mke wangu... tajiri atacheka na kumwambia watu wanataka kutugombanisha kwa sababu ya urafiki wetu na tumetoka mbali. Bahati mbaya yule fukara alifariki ghafla mwaka 2010 kwa ugonjwa wa pnemonia. Tajiri alishughulika na msiba na kubeba gharama karibu zote. Haikupita miezi kadhaa mke wa marehemu akajifungua. Kumbe alikuwa na mimba ambayo pia haikuwa ya marehemu bali huyo tajiri. Tunavyoongea kwa sasa tajiri ni kama kaitelekeza familia yake na kuambatana na mjane ili kuwa mwili mmoja..
 
Back
Top Bottom